Hajui kujielezea halafu ana mapepe mno akihojiwa yaani hatulii halafu kanaongea haraka haraka, ongea yake tu mtu unajua huyu apa msambinungwa tu hamna lolote
Mwanzo alikuwa na bifu na mama ubaya aka msanii wetu kwa mambo ya kuchukuliana mabwana, sasa ivi tena ana bifu na vannesa kisa bwana, yani huyu mtoto dawa ni kumfumua marinda tu uko nyuma
Mweeee marinda tena! !?!?!! wasanii wengi hawana uwezo wa kuhimili mikiki ya umaarufu wao.
Alaf wakiw kweny intaview anakuwa kama closed mind hv utazani anajua anachotaka kuulizwa toka yupo om, au uwa wanaambiwa cha kuulizwa ndo maana huwa wanameza izo pumb. a
Btn line sijawahi ona uzuri wake