Penzi la Jokate na Ommy Dimpozi lafichuka

Penzi la Jokate na Ommy Dimpozi lafichuka

Diamond atawagongengea Dada zenu mpaka mkome.wewe unadhani unaweza kumtongoza wema kwa kumuonyesha certificate zako.

Kwahiyo wewe maisha kwako ni kutongoza na kugongea watu Dada zao??

Ha ha ha watoto Wa ushenzini mnachekeshaga Sana maana ukijadili nanyi huwa hamtoki nje ya duara la ngono...

Muulize wema Kati ya Domo na Clement nani alikua anamhonga Sana then uje na jibu Kati ya msomi na chokoraa nani anajimudu kimaisha....
 
Diamond atawagongengea Dada zenu mpaka mkome.wewe unadhani unaweza kumtongoza wema kwa kumuonyesha certificate zako.

Akili yako inawaza ngono tu kwa kudhani kuwa ngono na kubadilisha wanawake ni kitu cha maana?
still unasema umesoma UK? BASI VYUO VYA UK KAMA INAFINDISHA KUWA KUBAFILISHA WANAWAKE NA KUFANYA NGONO NA WATU WENGI NI DEAL BASI HAMNA KITU
 
Taja hata mmoja bhana acha kupotosha

Mfano mdogo tu translation gain or loss during the year tunarecord vip kwenye income statement na kwanini tunaiita translation gain ni party ya comprehensive income na sio party ya profit or loss account na kwanini isiwe capital reserve iwe revenue reserve.na tunaiwasilishaje katika statement of owner equity.wanafunzi wanaopata CPA wengi hata swali rahisi kama hawawezi
 
Iq ndo tatizo la wengi na wamezoea uswahili.mtu akiambiwa ukweli eti anaonewa wivu

Mimi ni Mswahili kweli na najivunia kuwa mswahili.. Ila mi syo mwehu kama wewe MZUNGU UCHWARA TEHHHHHHH


Na inaonesha kichwa chako kibovu mno UNAUNGA MKONO USHENZI.. KHA?
 
Iq ndo tatizo la wengi na wamezoea uswahili.mtu akiambiwa ukweli eti anaonewa wivu

Tena ikitokea mtoto wao kapanda ndege inakua habari ya mjini wakati watu tunapanda Kama daladala

IQ za watoto Wa ushenzini huwa haziwazi nje ya duara la ngono na wivu
 
Mfano mdogo tu translation gain or loss during the year tunarecord vip kwenye income statement na kwanini tunaiita translation gain ni party ya comprehensive income na sio party ya profit or loss account na kwanini isiwe capital reserve iwe revenue reserve.na tunaiwasilishaje katika statement of owner equity.wanafunzi wanaopata CPA wengi hata swali rahisi kama hawawezi

Kwa hyo ww unampima mtu kwa swali moja? duhhhhhhhhhhhh haya inaelekea ww mitihani yako tangu uanze shule ulkkuwa unapata 100.%

hata ww kuna mambo mengi ktk hyo fanu yako huyajui. Elimh haina mwisho bhana.. Na hakuna anayejua kila kitu

hivyo hiko hakiwezi kuwa kipimo kuwa hawajui

otherwise ww tuambie kwamba unajua kila kitu ktk accounts

yote tisa... Nambie ni holder gan wa CPA ulimwuliza hilo swali akawa hajui labda
 
Ha ha ha!mtvbase umenikoosha.....
watu wanajiboast kwa usimi wamejaa dharau,unafiki,matusi na lugha za kejeli sasa najiuliza,kati yao na dimondo nan ana uduni wa fikra!!
Wanamponda na kumtusi afu bado wanafatilia maisha yake na demu wake!Yani wanajua hadi mistari ya nyimbo zake!!Nimekerekwaaa eti maisha ya ushenzini!!Adharaulike msomi yeyote alojaa kejeli,chuki na wivu...huyo diamond hata hawafaham wala hawajui chuki zetu tuzielekeze kwenye kupambana na magonjwa,umasikini na ufukara wa fikra..!usomi wetu utusaidie sisi na jamii zetu katika jumuiya zilizotukuza..!Hata mkinitusi siwajui wajivuni nyie wala sitobishana ja nyie nimebanwa na banda langu la mbogamboga....keep it up Diamond watu roho zinawatoka juu yako kisa wivu na vijiba vya roho binafsi unaniburudisha!

Wengi wao wanaishia kufuga kuku.wasomi wengi wanashindwa kujiajiri sababu wanakrem tu darasani amini nakwambia ukimpa mtihani atafaulu vitendo je?zero tupu
 
tangu nijiunge jamii forums hii ni komenti mbovu kupita kiasi

Sijacomment ili niku impress wewe!!mbovu akili yako,wewe si msomi?muda wa kujibishana huku ushenzini unatoa wapi?

Mnajifanya wasomi,usomi wenu upo kwenye kukejeli na kukashifu watu?unataka kila mtu awaze kama wewe!akienda kinyume kawa mshenzi!!

Diamond ni entertainer,nadhani hakuchagua yeye kutopiga kitabu,sasa kama anakipato kikubwa kuwazidi unaumia nini!

Wasomi wa siku izi utadhani wana degree ya vichambo na matusi its a shame kwa kweli!
Usomi wako kamsimulie mwanao,majigambo kibao akili zenu na mipasho yenu ni zaidi ya wacheza vigodoro mbao wadiss....kama waimba taarab yani ustaarabu wenu ni F!mpaka mtukane??
mfyuu!
 
Mfano mdogo tu translation gain or loss during the year tunarecord vip kwenye income statement na kwanini tunaiita translation gain ni party ya comprehensive income na sio party ya profit or loss account na kwanini isiwe capital reserve iwe revenue reserve.na tunaiwasilishaje katika statement of owner equity.wanafunzi wanaopata CPA wengi hata swali rahisi kama hawawezi

Nyie ndio mnaowafanya wasanii wadanganye mali na hela wanazomiliki ila mkuu ndio umemaliza shule juzi ,naona kila comment yako unaweka na cpa.
 
Mimi ni Mswahili kweli na najivunia kuwa mswahili.. Ila mi syo mwehu kama wewe MZUNGU UCHWARA TEHHHHHHH


Na inaonesha kichwa chako kibovu mno UNAUNGA MKONO USHENZI.. KHA?

Ndo uache uswahili na mambo ya kipuuzi sasa yasiyo.na tija mi niko well sana upstairs siko empty kama nyie wa uswazi.mliozoe vigodoro na kwenda kusafishwa nyota eti.ndo mafanikio hamna ushenzi wowote hapa lazima mpewe facts zenu sio mnaleta hoja nyepesi bila reasoning kuongea tu hii ndo jf kabla ya kuandika una think critically hapa hamna kusifia upuuzi eeh kajipange ndo maana ya great thinker
 
Kwa hyo ww unampima mtu kwa swali moja? duhhhhhhhhhhhh haya inaelekea ww mitihani yako tangu uanze shule ulkkuwa unapata 100.%

hata ww kuna mambo mengi ktk hyo fanu yako huyajui. Elimh haina mwisho bhana.. Na hakuna anayejua kila kitu

hivyo hiko hakiwezi kuwa kipimo kuwa hawajui

otherwise ww tuambie kwamba unajua kila kitu ktk accounts

yote tisa... Nambie ni holder gan wa CPA ulimwuliza hilo swali akawa hajui labda

Kaka wakati nafanya CPA pale kwa edson mnazi mmoja ilikuwa shida.yaani watu walichokuwa wanafanya ni kuotea maswali yanayoweza kutoka kwenye mtihani.wewe nenda TRA wengi wao hawajui kodi.mwanzoni mwa mwaka nimeenda pale shaurimoyo kufanyiwa assessment ya kodi niliwachallange mwishoe wakaishia kunishangaa na nikalipa kodi ninayotaka Mimi kwa hoja za kitaalamu lakini.amini usiamini wafanyakazi wengi wa TRA hawajui kuitafsiri INCOME TAX act wamekariri tu
 
Wengi wao wanaishia kufuga kuku.wasomi wengi wanashindwa kujiajiri sababu wanakrem tu darasani amini nakwambia ukimpa mtihani atafaulu vitendo je?zero tupu

Ushawahi ona msomi after retirement anahangaika hovyo Kama akina gurumo?

Labda wale waloishi kishenzi tuu
 
Ndo uache uswahili na mambo ya kipuuzi sasa yasiyo.na tija mi niko well sana upstairs siko empty kama nyie wa uswazi.mliozoe vigodoro na kwenda kusafishwa nyota eti.ndo mafanikio hamna ushenzi wowote hapa lazima mpewe facts zenu sio mnaleta hoja nyepesi bila reasoning kuongea tu hii ndo jf kabla ya kuandika una think critically hapa hamna kusifia upuuzi eeh kajipange ndo maana ya great thinker

Ahah kweli wew kichwa kibovu tehhhhh mwenye akili nzuri hawezi mdharau asiyemjua ahahahaaaa

haya nambie ww ni raia wa nchi gani zaidi ya Tanzania.. Mana nijuavyo mimi watz wote ss ni waswahili na tunajivunia lugha yetu ya kiswqhili.. Haya tuambie mambo ya uzunguni
 
Nyie ndio mnaowafanya wasanii wadanganye mali na hela wanazomiliki ila mkuu ndio umemaliza shule juzi ,naona kila comment yako unaweka na cpa.

Ukiniambie niongelee shule mi nitaongelea upande wa finance tu maana ndio upande wangu siwezi nikaongelea sociology wakati siijui.ila diamond watu wanamuonea wivu sana haswa wasomi
 
Kaka wakati nafanya CPA pale kwa edson mnazi mmoja ilikuwa shida.yaani watu walichokuwa wanafanya ni kuotea maswali yanayoweza kutoka kwenye mtihani.wewe nenda TRA wengi wao hawajui kodi.mwanzoni mwa mwaka nimeenda pale shaurimoyo kufanyiwa assessment ya kodi niliwachallange mwishoe wakaishia kunishangaa na nikalipa kodi ninayotaka Mimi kwa hoja za kitaalamu lakini.amini usiamini wafanyakazi wengi wa TRA hawajui kuitafsiri INCOME TAX act wamekariri tu

Hamna bhana.. Kuhusu TRA hayo ni mambo ya rushwa.. Walitaka wakupige hela ndefu watafune cha juu.. Ila hesabu halisi wnaijua tena vizuri tu
 
Sijacomment ili niku impress wewe!!mbovu akili yako,wewe si msomi?muda wa kujibishana huku ushenzini unatoa wapi?

Mnajifanya wasomi,usomi wenu upo kwenye kukejeli na kukashifu watu?unataka kila mtu awaze kama wewe!akienda kinyume kawa mshenzi!!

Diamond ni entertainer,nadhani hakuchagua yeye kutopiga kitabu,sasa kama anakipato kikubwa kuwazidi unaumia nini!

Wasomi wa siku izi utadhani wana degree ya vichambo na matusi its a shame kwa kweli!
Usomi wako kamsimulie mwanao,majigambo kibao akili zenu na mipasho yenu ni zaidi ya wacheza vigodoro mbao wadiss....kama waimba taarab yani ustaarabu wenu ni F!mpaka mtukane??
mfyuu!

Ha ha unachekesha!!!

Degree na usomi ndo zimezalisha magorofa mnayoyapiga picha....wasomi ndo wanatengeneza lami Bahati mbaya huko ushenzini mnazichimba kokoto...wasomi ndo wanaoperate mifumo ya dunia ambayo wewe huna uwezo Wa kuvuka kima cha kuzifikiria...

Huwezi fananisha wafanyabiashara na wasomi na huyo Domo ambae 95% ya ubongo hauwazi nje ya zinaa wakati wasomi usiku na mchana wanawaza kuset system ziende mbele ili vichwa Nazi Kama nyie mwendelee kuwaza upuuzi....

Ndio maana wapenzi Wa hizo nyimbo ni watu duni na caliber za chini Kama wewe....
 
Back
Top Bottom