Penzi la Lulu, Majizzo chalii..

sasa nyie kwani lulu mlijua sku zote apate mabwana wenye pesa tu ye K yake ina signature ya Balali au kitu gani?
AHAHAHHAHAHAHHAHAHHAHA
Mwenzangu sio kwa madanga wadosi aiseeh, kumbe hirizi inahusika,wacha movie iendelee
 
Mbona nasikia Lulu ndo kamchoma mpenzi wake kwenye sakata la unga. Alipoachiwa ndo akaamua kumbwaga na kurudi kwa Hamisa Mobeto aliyezaa naye.
Wewe binamu, usiniambie? Nakumbuka lulu aliwahi kuchambana na mtu kule insta issue ya majizo,mtu alimwambia kuwa wanauza madawa,lulu akasema ndio kwan ina maana mpaka wateja wao wanamkana? Nadhani ile point ilikua sio nzuri hata kama ilikua utani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…