Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Ila anajifanyaga ye mlokole, hardworking (ingawa hatujaonaga wapi anafanya kazi), na kutwa kushauri wenzie. Kumbe ye yake yanaenda kwa msaada wa shuntama.lazima aroge maana anapenda high life,hana kazi ataishije na yeye ndo mama wa familia