[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] usicheke kama vipi tukomae kama mbwai iwe mbwai!!!![emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108][emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Ndo maana hakaskii dudukumbe kiko fiti. kinashusha safari!
Huyo majizo nae shotii?Mleta hii habari naona kaleta umbeya wa uongo hao wawili inaonyesha bado wanapendana na hawana dalili yoyote ya kuachana!View attachment 400407
Hamisa ana sura bapaLulu ni wa kawaida tu,ila huwezi kumwita mbaya,mimi ukimuweka lulu na hamisa yaani bila hata kujiuliza narukia hamisa chapchap.
Kichambo chako heavy bana watazima...watatumalizia bando zetu[emoji574] [emoji574][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] usicheke kama vipi tukomae kama mbwai iwe mbwai!!!![emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125].....!!Kichambo chako heavy bana watazima...watatumalizia bando zetu[emoji574] [emoji574]
LAZIMA afe.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ana account kama kumi nyau yulee...
Ukimchamba block hapo hapo!!
Dogo nuksi yule...!!
Ila dogo anajitahidi kuuza na kakubwa kale kana 23 Ila kila siku ana 18 19!!
Mie siku hizi simfagilii wala nini!hata akiniblock shauri zake!
Na majey nae nimemtoa akili zote yaani watoto sijui watatu wote mama zao kawaacha kaenda kulivaa jini!
Anataka awape shida kwenye kugawana mali akifa!
Ya Seki ni kesi ya tukose wote. Lulu mashine ile mke ilibidi afetue bwanaSeki baada ya kumpata Lulu alikuwa hashkiki nyumbani haonekani na ndani halali! Mmama wa watu akaenda jiunga na kikundi cha kimafia cha wanawake wenye waume matajiri mwanza wanaokomesha nyaku's nyaku's mjini[emoji15] [emoji15] ....kishukuru seki akafa kabla mpango haujatimizwa, manake kilikuwa kinaleta nyodo kwa yule mama ( na ni mlokole)
Unajuaje km warumi sio mange, we unamuonaje?Huu umbeya kama mange hajaupost kwenye account yake kule instagram, nauchukulia kama "umbeya wa uongo".
ndo uyatima kwa watoto sasa!LAZIMA afe.
Hilo ndio tatizo la kuwa demu mrembo sana, mwenye mvuto na superstar
Mbea utamjua tu [emoji28]Sasa hayo majina ya wanaochepuka nao na wewe mleta mada ungetuwekea sisi huku j.f ili na sisi tuwajue.hii mada iko ki nafki nafki si ki wivu wivu si kiumbea umbea !!yaani duuu!!!au uchochezi!!![emoji86] [emoji86]
Aiseelulu ana uzuri gani mtu hawi mrefu mpaka avae high heels
anakomwe kile kichwa akitaka kujifunga ushungi labda atumie shuka la futi 6 kwa sita
na kweli aiseeMwanzo nilisikia tatizo lilikuwa dini lakini huko tunakokwenda ninadhani matatizo yanaongezeka.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] pole mamatatizo kuna sehemu unashindwa kuvumilia,juzi nimekula block la zari