Penzi la Lulu na majizzo 'matatani'

Penzi la Lulu na majizzo 'matatani'

lulu ana uzuri gani mtu hawi mrefu mpaka avae high heels
anakomwe kile kichwa akitaka kujifunga ushungi labda atumie shuka la futi 6 kwa sita
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
hiyo kitu hailindwi ikiamua inatoa tu kazi kwako ata mia kwa siku wanaweza chomeka na kuchomoa
 
Mtoto anajua kubeba hakuna mfano, Ni kibajaji lakini kinabeba hadi makontena, ptuuuuuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] looohhh!!
naskia hajiamini na ufupi wake hata akiwa nyumbani jikoni anapika na khanga ndani mda wote anatembea kavaa skuna[emoji85] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
jamani nyie loohh!
lulu ana uzuri gani mtu hawi mrefu mpaka avae high heels
anakomwe kile kichwa akitaka kujifunga ushungi labda atumie shuka la futi 6 kwa sita
Mungu anakuona [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
kweli kunguru wa zanzibar hafugiki
hyo papuchi ya lulu ina nini jamani haitulii? au ni ndumba za hamisa zinajibu?
Hako kabinti kame anza hako kamchezo kakiwa kadogo na ndio maana kame dumaa na kamejenga usugu kipimo chochote anameza na kibaya zaidi pampas anzovaa ni kama zina upupu hachelewi kusaula na niku hakikishie tu kuwa na pesa chafu au safi hakuwezi kumtuliza huyo kipepe ame kubuhu, pesa italiwa na bado atafunga mabehewa mengine na ukilazimisha ndio jina lako litakapo geuka ubin na utaitwa Hayati kama kina fulani,usicheze na kito cha baharini kinachoitwa Lulu ni khatari!
 
Hako kabinti kame anza hako kamchezo kakiwa kadogo na ndio maana kame dumaa na kamejenga usugu kipimo chochote anameza na kibaya zaidi pampas anzovaa ni kama zina upupu hachelewi kusaula na niku hakikishie tu kuwa na pesa chafu au safi hakuwezi kumtuliza huyo kipepe ame kubuhu, pesa italiwa na bado atafunga mabehewa mengine na ukilazimisha ndio jina lako litakapo geuka ubin na utaitwa Hayati kama kina fulani,usicheze na kito cha baharini kinachoitwa Lulu ni khatari!
kweli mkuu huyu hatulii tena maana majizo hela ipo ,future inasomeka sasa kwanini akitembeze tena?
 
Mtoto anajua kubeba hakuna mfano, Ni kibajaji lakini kinabeba hadi makontena, ptuuuuuu
Ulimshikia mguu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126] [emoji126]
 
Habari zinazoenea kwa kasi chini ya kapeti kuhusu staa wa filamu nchini, Elizabeth michael aka Lulu hivi karibuni kushushiwa kipigo "heavy" na mpenzi wa sasa ambaye pia ni mmliki wa radio maarufu mjini, Efm aitwaye majizo. Inasemekana staa huyo amekua akichepuka kwa siri na watu tofuati tofauti ambapo ikafikia hatua mpaka sponsor wake huyo kugundua na kumshushia kipigo cha mwizi kwenye hotel maarufu mjini(jina kapuni) ambapo wawili hao walienda kula bata.

Hata hivyo inasemekana majizzo amekua akipokea shutuma mbali mbali kuhusu baby wake huyo kuwa anachepuka na watu tofauti tofauti bila yeye kujua, lakini kijana huyo mwenye pesa chafu amekua akifumbia macho tuhuma hizo na kudai kuwa ni njama tu za maadui zao za kutaka kuwachonganisha waachane. Inasemekana Lulu kwa sasa anachepuka na rafiki wa karibu wa majizo( jina kampuni) ambaye inasemekana anafanya kazi BOT ambaye inasemekana Ana pesa chafu kumzidi kijana hyo.
Kuna watu hawaogopi kufa kwani kila anaetoka na aka kamanzi anakufa kana historian ya dedisha ma men
 
lulu ana uzuri gani mtu hawi mrefu mpaka avae high heels
anakomwe kile kichwa akitaka kujifunga ushungi labda atumie shuka la futi 6 kwa sita
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]shuka la futii 6
 
Back
Top Bottom