Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Na dawati la zaid ya mika 60 aliloandika nakupenda sikitu bado lipo!. 😂😂Coincidence ya ajabu, geti halikufungwa na hata mlango wa darasa nao haukufungwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na dawati la zaid ya mika 60 aliloandika nakupenda sikitu bado lipo!. 😂😂Coincidence ya ajabu, geti halikufungwa na hata mlango wa darasa nao haukufungwa
Yaani miaka 40 shule haijawahi kutengeneza madawati mapya wala hayo ya zamani hayajawahi kuharibika😂😂Darasa halifagiliwi au kudekiwa madawati hayasafishwi wala maandishi kufutika kutokana na dawati kushikwashikwa 😅🤣 Ngowi anatisha
Haha hiyo ni dunia ya Utopian🤣🤣Vijana Tujifunze Na Kufata Nyayo
Tena mwenyekiti mkongwe wa UWT🤣🤣Bi sikitu atakuwa mwanachama wa CCM😆
Kisa limeandikwa "NAKUPENDA SIKITU"🤣🤣Ila binadamu ni wabishi... itoshe kusema dawati lilikuwa makumbusho ya shule
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Je dawati lao ,, CHAI
HahahKisa limeandikwa "NAKUPENDA SIKITU"🤣🤣
NdioHili nalo la kujifunza?
Hatari😂😂😂 Mzee kurudi shuleni tena?
Ndio, madawati yalijengwa kwa zegeNa dawati linakaa palepale miaka 40