Penzi la Mzee Ngowi na mkewe ni funzo kubwa kwetu

Darasa halifagiliwi au kudekiwa madawati hayasafishwi wala maandishi kufutika kutokana na dawati kushikwashikwa 😅🤣 Ngowi anatisha
Yaani miaka 40 shule haijawahi kutengeneza madawati mapya wala hayo ya zamani hayajawahi kuharibika😂😂
Wanafunzi na walimu wa hiyo shule wananidhamu ya kiwango cha mbinguni🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…