Penzi la Najma na Barack the Prince limefikia wapi?

Penzi la Najma na Barack the Prince limefikia wapi?

Ndo wakina nani hao wakuu, maana story zingine yawezekana zilitokea nikiwa bado sijanunua techno!!!
 
Huyu dada alikuwa mzuri sana, Najma kipindi ana age ya 18 alikuwa anawaka, kweli mboo inazeesha aisee kwa Sasa havutii tena Kama zamani
Kipindi cha nyuma alikuwa bomba huyo mtoto alikuwa na ukaribu na kijana wanamwita bysa na kuna ngoma walifanya,kwa ukaribu ule kama kijana akupiga mzigo atakuwa mzembe.
 
Kipindi cha nyuma alikuwa bomba huyo mtoto alikuwa na ukaribu na kijana wanamwita bysa na kuna ngoma walifanya,kwa ukaribu ule kama kijana akupiga mzigo atakuwa mzembe.
Kamla sana tu, walikuwa wapenzi wa muda mrefu na Bysa anasema Jamna alikuwa anapenda sana vitu vya ghali yaani katika wasichana waliokula pesa yake mpaka akashindwa kufanya kitu cha maana akiwa wote, ilikuwa ni bata tu.
 
Waliachana wakarudiana
Wakaachana tena Baraka akapungua sana mwili nikaona wamerudiana tena ndio wakapotea

Mapenzi haya

Si wanajidaigi wanaume mapenzi hayawasumbui, mimi nilipost uzi wangu nimeumizwa mpka nikashake niliishia kutukanwa sana na kuitwa mwanaume wa Dsm

Haya mambo ombea yasikukute, Utalia peke ako huku moyo unaungua ndani
 
Mapenzi huwa yanachanganya sana....sio kwamba ukiachwa huwez pata mwingine ila ni sababu ya kuachwa ndo huumiza sana na kuleta msongo mkubwa wa Mawazo
 
Kamla sana tu, walikuwa wapenzi wa muda mrefu na Bysa anasema Jamna alikuwa anapenda sana vitu vya ghali yaani katika wasichana waliokula pesa yake mpaka akashindwa kufanya kitu cha maana akiwa wote, ilikuwa ni bata tu.
Duh!!!kijana atakuwa alijiongeza akaona hapa sio inamaana baada ya kutemana na huyu ndio akavuta binti mmoja naona sio maarufu wana watoto kama wawili hivi?
 
Back
Top Bottom