Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji106]Yes, alioa binti ambae hakuwa kwenye sanaa na wana watoto wawili.
Tatizo ma-celebrity wa kibongo wanashobokea mademu wa kiarabu wakati hela za mawazo. Muarabu siku zote anamuona mtu mweusi ka nyani tu (pamoja na pesa zako)Usimfananishe Remy Ongara na inshu za kikuda
Mkuu huyo naj ni muarabu???Tatizo ma-celebrity wa kibongo wanashobokea mademu wa kiarabu wakati hela za mawazo. Muarabu siku zote anamuona mtu mweusi ka nyani tu (pamoja na pesa zako)
KokoMkuu huyo naj ni muarabu???
Unamaanisha nini?Koko
Ivi ni kweli huyu she inasadikika anapenda sana jicho ?Baraka alikuwa hataki kula jicho ndio maana kabwagwa
Hahahah weka link nione[emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]Si wanajidaigi wanaume mapenzi hayawasumbui, mimi nilipost uzi wangu nimeumizwa mpka nikashake niliishia kutukanwa sana na kuitwa mwanaume wa Dsm
Haya mambo ombea yasikukute, Utalia peke ako huku moyo unaungua ndani
Kipindi cha nyuma alikuwa bomba huyo mtoto alikuwa na ukaribu na kijana wanamwita bysa na kuna ngoma walifanya,kwa ukaribu ule kama kijana akupiga mzigo atakuwa mzembe.
[emoji106]Walikua ni wapenzi na kila mtu anajua
Hahahah weka link nione[emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]
Labda Shemeji zake wa Oman walimuahidi watamsupport. Tusubiri Ramadhan iisheBaraka penzi lake na Najma kuyumba limemchanganya sana mpaka muziki umemshinda, alitoka kwa Kiba kwa kiburi na kuanzisha lebo yake na Najma ..BANA MUSIC, hakuna kazi amefanya maskini.
Ulitaka aweje?? , acha roho ya KICHAWI.Ukisikia jina BARACK THE PRINCE hadi unaogopa
Mtu mwenyewe ukimuangalia ktk picha kama mtt wa remy ongala[emoji1321][emoji3603]
Ww kuwa serious Baraka ni nzuri jamaniUkisikia jina BARACK THE PRINCE hadi unaogopa
Mtu mwenyewe ukimuangalia ktk picha kama mtt wa remy ongala[emoji1321][emoji3603]
Bado young killer hujamuweka hapoKuna watu wanapitia msoto sana, Baracka ana stress mno sa hv, pamoja na mwenzake Rich Mavoko
Huyu kijana naye ana stress za nini?Bado young killer hujamuweka hapo