Penzi la Najma na Barack the Prince limefikia wapi?

Penzi la Najma na Barack the Prince limefikia wapi?

Aende akajibanze Kule kings music lbda atarudi tena na ngoma Zake za moyomoyo
 
Usimfananishe Remy Ongara na inshu za kikuda
Tatizo ma-celebrity wa kibongo wanashobokea mademu wa kiarabu wakati hela za mawazo. Muarabu siku zote anamuona mtu mweusi ka nyani tu (pamoja na pesa zako)
 
Si wanajidaigi wanaume mapenzi hayawasumbui, mimi nilipost uzi wangu nimeumizwa mpka nikashake niliishia kutukanwa sana na kuitwa mwanaume wa Dsm

Haya mambo ombea yasikukute, Utalia peke ako huku moyo unaungua ndani
Hahahah weka link nione[emoji16][emoji16][emoji16][emoji3][emoji3]
 
Baraka penzi lake na Najma kuyumba limemchanganya sana mpaka muziki umemshinda, alitoka kwa Kiba kwa kiburi na kuanzisha lebo yake na Najma ..BANA MUSIC, hakuna kazi amefanya maskini.
Labda Shemeji zake wa Oman walimuahidi watamsupport. Tusubiri Ramadhan iishe
 
Back
Top Bottom