Penzi la Rayvanny na Paula laanza upya

Penzi la Rayvanny na Paula laanza upya

Swahiba wangu Majani huyu bint sijui kamleaje juzi nilikutana na mtoto wa Master J wako lika moja tu na huyu binti ila ni kisu na anaonekana kapitia malezi safi.
Sio majani huyu ni Kajala ndo anaemharibu mwanawe!P mtata sanaa ndo maana dogo kakimbia kwa mdingi anakaa na mama ake toka atoke jela...Kajala kashachelewa kwenye malezi ni zero na dogo hatosoma tenaa!
 
Sio majani huyu ni Kajala ndo anaemharibu mwanawe!P mtata sanaa ndo maana dogo kakimbia kwa mdingi anakaa na mama ake toka atoke jela...Kajala kashachelewa kwenye malezi ni zero na dogo hatosoma tenaa!
Karma mkuu, Majani nae amekula sana mastars enzi zake tena wakiwa wadogo sana
 
Mtoto analika Kwa vannyboy mtu mbaya kila sku fresh , konde boy alikuwa anamtumia mtoto mzuri picha za uume , akiwa anaoga , tumezitunza kwenye galley pale next level music .... Kuna sku tutazitaftia Kiki 😋
Watu kama nyinyi kufanikiwa kwenye maisha ni ngumu sana. Mmejawa na roho mbaya ya uchoyo na ubinafsi. Yaani una details na picha za umbea kama huo hafu unazitunza tu. Na usingizi unapata. HOW?

Ebu share izo screenshots PM usamehewe dhambi zako.
 
Mtakatifu wa Jehova vip tena 😋 af leo sabato Chief
chui anajua kuwakelaa... mama chui na baba chui

Okwaaa Hziyech22

S10411-16565074(1).jpg
 
Back
Top Bottom