Penzi la zamani

Penzi la zamani

Nikisikiaga story za barua za mapenzi moyo unapata ganzi, niliwahi kuchezea stiki zisizo na idadi kisa barua, kile kichapo sijawahi kukisahau...boya kabisa huyu bro wangu sijui alinichapia nini [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]

Ulikuwa wivu tu
 
Nakumbuka wakati nasoma barua zilikuwa zinagawiwa wakati wa luch time. Siku isiyo na jina nilipata barua toka kwa rafiki yangu wa kike, kwa papara zangu nikaifungua palepale mezani, podailiyokuwa ndani ya barua ikaangukia ktk mlo wangu, nikashinda njaa siku hiyo!

Alikuwa na wivu huyo[emoji23]
 
Niliokotaga barua ya jamaa anamtongoza demu.Yule jamaa alikuwa mwamba sana basi ile barua nilikuwa naitumia kuwatongozea mademu mi nilikuwa naikopi tu. Hamna demu nilimtumia ile barua akanikataa.Basi wana wakawa wanakuja niwaandikie barua kali mi nkawa naingeza majanja kidogo. Kila likizo wana walikuwa wananiletea zawadi kibao kama shukrani.Hadi nikawa na comfidence wakati nlikuwa domo zege kinoma.

Alikupa desa hutalisahau katika makuzi yako[emoji23]
 
Back
Top Bottom