Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
sasa unabisha nini au sijakuelewa?Ha ha ha haaaa
Jisikitikie.. nani kakuuliza!!.. naona lako la mwisho umenunua leo asubuhi.
Hata Zari si ImportedHahahaha kama Diamond kamla huyo mrembo basi huyo Domo ni kiboko aisee..
Yaani amevuka mipaka sasa anachakaza vitu imported, safi aendelee kuliwakilisha taifa vizuri
Yap yap..Hata Zari si Imported
Ila alisema hamna wa kumwibia Mume , dai ni wake haendi popotenadhani mmemuelewa Zari nyie team kunuka....she is very smart na wala hana muda wa kupambana na Dai kisa anatomb.a madem wengine......Zari anajua fika jamaa lazima atakua anatomb.a nje so the only way to ensure her existence ni kutoonyesha mawivu ya kijinga, kusaka noti zaidi na kulea familia.....1 minute, lets be honest,,,,mwanaume gani kibongobongo alieoa ambae hajacheat mkewe? ebu tuanzie apa kwanza.....
Nguvu ya papuchi achana nayo.ila wanaume wa Tanzania ni wahuni sana na washamba wa mapenzi na papuchi.wanamuziki wengi tena mastaa wana wanawake ila sio kwa trend ya huyu dogo. diamond anapenda ngono balaa.
Miss Natafuta:unahangaika kujibizana na kihiyo?sasa unabisha nini au sijakuelewa?
Mapenzi ya watu na life la watu watu tunalikomalia.Zari katoka kununua mgari mpya wiki hii kuna wabongo wengine wamewehuka.. Wema ndie alimuacha Diamond akatoke na mzee anayempa pesa.. na alitangaza na mashabiki walitangaza na kusherekea... nashangaa wanamsingizia Zari kama vile aliingilia.
mimi hapa sijawahi kucheatnadhani mmemuelewa Zari nyie team kunuka....she is very smart na wala hana muda wa kupambana na Dai kisa anatomb.a madem wengine......Zari anajua fika jamaa lazima atakua anatomb.a nje so the only way to ensure her existence ni kutoonyesha mawivu ya kijinga, kusaka noti zaidi na kulea familia.....1 minute, lets be honest,,,,mwanaume gani kibongobongo alieoa ambae hajacheat mkewe? ebu tuanzie apa kwanza.....
Ha ha! ha!. Tena si kwa vidole! Kwa mwendo huu, visoda vitahusika; visoda vikiisha, vijiti viongezwe then kokoto!!Basi sisi hatuna namna zaidi ya kuendelea kuhesabu tu
Alafu mtu unamlaumu diamond kwa kula mtoto mkali namna hii?
ic kitu mnaaaaaa balaaaaa ale tu kijana hizo pesa anazitafuta kwa shida sanaAlafu mtu unamlaumu diamond kwa kula mtoto mkali namna hii?
Acha ale bana. Hakuna namna
Ni mwanamume gani mwenye jeuri ya kuikataa papuchi ya huyu mrembo?
nadhani anamaanisha kama ni cheap mbona we huna?[emoji87]sasa unabisha nini au sijakuelewa?
Hahahahahaha mkuu umenichekesha sana.. Sasahivi ana import inamaana wa kibongo ashawamaliza..Ha ha! ha!. Tena si kwa vidole! Kwa mwendo huu, visoda vitahusika; visoda vikiisha, vijiti viongezwe then kokoto!!
[emoji106]Vijana wa kitanzania fanyeni kazi, kuna maisha baada ya Diamond na ufuska wake. Msipo angalia Mkapa atakuja tena hadharani kuwatukana, shauri zenu....fanyeni kazi jamani.....huyo domo na ufuska wake hauwahusu hata kidogo.