Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwema lakini mkuu? [emoji41]Wanaume wangekua kila tendo wanakojoa tofauti na utamu na unaongezeka tungekomaa
Mdogo wetu anawatafuna warembo kama hana akili nzuri, baada ya zari wa UG sasa amgeukia DILLISH wa NAMIBIA, anacheza international games kwa kwenda mbele...sasa cha ajabu anafanya mambo hadharani kabisa hapa hapa DAR, wakati dunia nzima inajua yupo na ZARI na juzi tu katoka mvisha pete pale madale......wakati huo huo ana issue ya kuzaa na hamisa...crazzy crazzy
tizama mtoto alivo mzuri hapa:
Hata Mimi nimemshangaa sana mkuu, eti breaking news hivi hii mijamaa huko shuleni ilienda kusomea ujingaWewe ni rofa mkuu yaan breking news kweli una utan sana kiongoz demu wa diomond na breking news wapi na wapi
Umejuaje hawakojoi tofauti?Wanaume wangekua kila tendo wanakojoa tofauti na utamu na unaongezeka tungekomaa
Hata mi ningekuwa mondi nisingemuacha dillish bana ,,,zari nae ule weupe wake mpaka anakifu
Kwn kutafuna demu ni vibaya mpk ujiombee kitu kibaya ivyo?Ingekuwa kila UKITAFUNA DEMU meno yanatoka.....wengi tungekuwa VIBOGOYO
Na zari nae anafurahi kukomesha wambea kua kacheat ila karudi[emoji3][emoji3] akili zake anazijua mwenywe.Mimi nasubiri mapicha na mavideo wakiwa wanazini, nadhani safari hii tutapata free porn video .
Ila mapenzi daah, dai akishafanya ujinga ujinga anaenda kuomba msamaha na zari ili kukomoa watu atapiga picha kila tukio halafu anatuwekea[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Mdogo wetu anawatafuna warembo kama hana akili nzuri. Baada ya Zari wa Uganda sasa amgeukia Dillish wa Namibia, anacheza international games kwa kwenda mbele. Sasa cha ajabu anafanya mambo hadharani kabisa hapa hapa Dar, wakati dunia nzima inajua yupo na Zari na juzi tu katoka mvisha pete pale madale.
Wakati huo huo ana issue ya kuzaa na Hamisa...crazzy crazy
Tazama mtoto alivo mzuri hapa:
Omotola?? Weee ana mume wake pilot na watoto, pale hagusi hata afanyeje.Mond bin laden endelea kutuwakilisha vizuri kimataifa,sasa hamia Nigeria,tunamtaka Omotola au Genevieve