Penzi la Zari na Diamond lipo ICU

Penzi la Zari na Diamond lipo ICU

img_BZCgfiLFE_k.jpg
 
ila wanaume wa Tanzania ni wahuni sana na washamba wa mapenzi na papuchi.wanamuziki wengi tena mastaa wana wanawake ila sio kwa trend ya huyu dogo. diamond anapenda ngono balaa.

si unajua msemo masikini akipata kalio linavyolia.... ushamba tu.. pata pesa tujue tabia yako!!! yaani hovyo hovyo kwanza cjui huyo zari anasubiria nini kama kweli nae anamipesa kama anvyojiadvataizi!!!
 
Ha ha ha haaaa
Jisikitikie.. nani kakuuliza!!.. naona lako la mwisho umenunua leo asubuhi.
Yuko sahihi wana manufacture magari pia halikata importation ya magari jkusudi wainuwe viwanda vyao.
 
Mimi nasubiri mapicha na mavideo wakiwa wanazini, nadhani safari hii tutapata free porn video .
Ila mapenzi daah, dai akishafanya ujinga ujinga anaenda kuomba msamaha na zari ili kukomoa watu atapiga picha kila tukio halafu anatuwekea[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]

umeona eeee... ila according to tv mange eti dada anaogopa kutoka kwasababu atanyang'anywa nyumba... lkn zari anajitapa kaachiwa mapsa bwerere na marehemu..asa si amtose tu...yanini baadae anaanza kurushwa akibashiwa bashiwa, hv hajioni mjinga baada ya yote yale bado mwanaume anakitembeza...chaaaaaa!!!
 
Wabongo kama bendera wanayumbishwa tu na upepo wa Mange kimambi akikurupuka tu kuandika jambo wabongo wanalibeba kama lilivyo.
 
Hahahaha kama Diamond kamla huyo mrembo basi huyo Domo ni kiboko aisee..

Yaani amevuka mipaka sasa anachakaza vitu imported, safi aendelee kuliwakilisha taifa vizuri
Anawakilisha nini mkuu?
 
ila wanaume wa Tanzania ni wahuni sana na washamba wa mapenzi na papuchi.wanamuziki wengi tena mastaa wana wanawake ila sio kwa trend ya huyu dogo. diamond anapenda ngono balaa.
Ila katoto kenyewe kazuùri[emoji12]
 
HIVI HUNA KAZI? AU NDIYO USHILAWADU?? KWA USAWA WA JPM KAA CHONJO SAA MBAYA[TUMIA MUDA MWINGI KUINGIZA TIJA MWANAUME]

ndio shughuli zetu hizi, kufuatilia maisha ya watu...sema wewe huna hadhi ya kufuatiliwa...
 
Anakula ujana asijejuta kuruka age
samahani ingekuwa wewe ungeacha hii kitu ? Kwelii?
Nguvu ya papuchi achana nayo.

Kama papuchi zinakuja kwenye njia yako, wewe ni nani hadi uzikatae?

Tafuna tu hamna namna.

Mimi mwenyewe nina mke but juzi kati beki tatu iliniletea papuchi yake na nikaitafuna bila wasi wasi.

Yaani papuchi ni tamu acha tu. Haikinaishi dadadeq.
 
Zari alicheza na akili ya Ivan hadi mauti ikamla;
ngoja na yeye apate uchungu kidogo
 
Yuko sahihi wana manufacture magari pia halikata importation ya magari jkusudi wainuwe viwanda vyao.

Mnaniandikia upupwu tu.. acheni wivu. Hayo sio majadaliano hapa pita hukoooooo.. mnajifanya wajuajiiii eeeeeeeh..
 
Mnaniandikia upupwu tu.. acheni wivu. Hayo sio majadaliano hapa pita hukoooooo.. mnajifanya wajuajiiii eeeeeeeh..
Alafu hili jimwanaume kujifanya mwanamke. Somebody ku comment negatively doesn't mean one is jealous. Sichambani na babazangu. Unadhani hakutujui
 
ndio shughuli zetu hizi, kufuatilia maisha ya watu...sema wewe huna hadhi ya kufuatiliwa...
Ninakubali sana kuwa mimi sina hadhi ya kufuatiliwa nawe ila kwa mwanamume rijali kujisifia kuwa shughuli yako kuu ni kufuatilia mambo ya watu wengine watu wa pwani wa jina la mtu wa aina hiyo ila kwa heshima ya jamvi hili na hivyo hadhi ndogo niliyokuwa nayo siwezi kutaja jina hilo lakini wengi humu watakuwa wanalielewa.
 
Back
Top Bottom