Penzi la Zari na Diamond lipo ICU

Penzi la Zari na Diamond lipo ICU

Anaposema So many [emoji533] just like so many [emoji77] ana maana gani wakuu?
 
Saa mtu ana miaka 26 mnataka atulie tuu Kwan zari alipokua na 26 kuna mtu alimtuliza??? Msitake dai aishi maisha ya kizee wakati hata therathin hajafika hebu kuweni fair bwana
 
Zari kachanganyikwa baada ya kuchokwa na uzee wake, baada ya Mond kutafuna demu wa Ghana yeye Zari anajipa hope eti kapiga deal ya pesa ndefu this week.

stress za mapenzi mabaya sana.
 
Sex afanye mwingine maneno yawatoke wengine.Acheni uswahili kila mtu na maisha yake Wangapi mtaani wanabadili wanawake na wanaume kila siku???Mjaji celebrity kwa kazi zake maisha binafsi hayakuhusu kabisa.
 


Siku ya September 14, 2017 mpiga picha maarufu wa Diamond Platnumz, Kifesi alipost picha ya boss wake Diamond kwenye ukurasa wake wa instagram Picha ambayo alimpiga yeye, baada ya post hiyo mzazi mwenza na mpenzi wa Diamond Platnumz, Zari the Boss Lady akakoment kwenye post hiyo kwa kuweka emoji ya kidole cha kati.

Baada ya Zari kukomenti hivyo mashabiki wakahusisha hilo na swala ambalo Diamond anadaiwa ya kuwa yupo Zanzibar na mshindi wa Big Brother mwaka 2013 anayetokea Namibia, Dilish Methew huku ikisemekana wawili hao wanatoka kimapenzi kitu kilichomfanya Zari akomenti vile kwenye picha ya kifesi aliyompost Diamond.


Muungwana
 


Siku ya September 14, 2017 mpiga picha maarufu wa Diamond Platnumz, Kifesi alipost picha ya boss wake Diamond kwenye ukurasa wake wa instagram Picha ambayo alimpiga yeye, baada ya post hiyo mzazi mwenza na mpenzi wa Diamond Platnumz, Zari the Boss Lady akakoment kwenye post hiyo kwa kuweka emoji ya kidole cha kati.

Baada ya Zari kukomenti hivyo mashabiki wakahusisha hilo na swala ambalo Diamond anadaiwa ya kuwa yupo Zanzibar na mshindi wa Big Brother mwaka 2013 anayetokea Namibia, Dilish Methew huku ikisemekana wawili hao wanatoka kimapenzi kitu kilichomfanya Zari akomenti vile kwenye picha ya kifesi aliyompost Diamond.


Muungwana
Ben ten wanamatatizo sana Zari
 
Jaman kabla hujajisumbua kuandika, angalia page walau mbili uone Kama Uzi haupo!
 
Jaman kabla hujajisumbua kuandika, angalia page walau mbili uone Kama Uzi haupo!
 
Zari mbona kuna tetesi yule mtoto wa pili kamwokota sijui wapi uko anajua yeye!,..wanawake mkifanya ubaya muwe na kumbukumbu
 
Diamond analiwakilisha taifa.hasa hasa kwenye maswala ya dyudyu.....Ila tuwe wawazi,ukiwa superstar mkubwa mwenye calibre kama ya dmond kutokutembeze d kwa watoto wakali wakali ma-miss ,models au actresses ni uzembe wako tu....Watu wanatumia umaarufu wao vizuri..Rejea Cristiano Ronaldo alichokifanya baada ya kuwa Star... Ni kutembeze d mwa-mwi...Narudia,kuwa superstar kuna mpa mtu chance ya kuchezea papuchei yyte katika territory yako,ndio kitu diamond anafanya.Zari hawezi mlinda dmond kutokufanya yake,she can only dream.Hapo kaona kazidiwa ujanja akaamua aposti mambo ya mpunga,unadhani yeye haoni WIVU?
 
Nimemsikia Mayweather akisema mwanaume ukiwa na pesa na kukaa na demu mmoja tu ni ulofa. Na mimi naunga mkojo hoja
 
Uwe na hela za kusaza halafu uwe mwaminifu, basi we ndio mtume wenyewe hawa wakina Gwajima wote chenga.
 
Back
Top Bottom