Penzi la Zari na Diamond lipo ICU

Penzi la Zari na Diamond lipo ICU

nadhani mmemuelewa Zari nyie team kunuka....she is very smart na wala hana muda wa kupambana na Dai kisa anatomb.a madem wengine......Zari anajua fika jamaa lazima atakua anatomb.a nje so the only way to ensure her existence ni kutoonyesha mawivu ya kijinga, kusaka noti zaidi na kulea familia.....1 minute, lets be honest,,,,mwanaume gani kibongobongo alieoa ambae hajacheat mkewe? ebu tuanzie apa kwanza.....
Hela gani anazosaka au kushinda na camera 24/7, smart atakuwa yeye na Jokate wetu tumuweke kundi gani, na ingekuwa haimuumi angekazana kutoa madongo huko snapchat hapo alipo inamchoma kama pasi ya umeme inavyochoma anawaza tu siku akitemwa rasmi, malipo hapa hapa duniani kama alivyomchukulia mwenzie bwana bila aibu naye wamemchukulia hivyo hivyo.
 
Tafuna Diamond nakuona Kwa mbaaaaali unazidisha gape la Ali kiba kwenye Mechi za Kimataifa ...


Tuwakilishe vyema Baba
 
Piga baba usisahau kubeba bendera ya taifa baba
 
Unajua mangi akigombea urais mtampa wengi...yaani keshawateka watanzania wengi vichwa maji...!!!
 
Kwani kuna watu mlikuwa mwajuwa zari na diamond ni wa kufa na kuzikana? Mapenzi ya hivyo yaliisha zamaniii yamebaki kwa wahenga tu. Halafu na zari naye fukara tu ategemea pesa za watoto kuendesha maisha yake angekuwa kweli ana pesa zake kibao angeondoka zamani kwa mondi ila afanyenini anakufa na tai shingoni...mwanamke mwenye pesa yake hawezi kubali manyanyaso hayo plus na kutukanwa kila siku mitandaoni na watoto wenye umri wa wanawe. Sema tu watanzania tumezoea danganywa
 
Hahahaha kama Diamond kamla huyo mrembo basi huyo Domo ni kiboko aisee..

Yaani amevuka mipaka sasa anachakaza vitu imported, safi aendelee kuliwakilisha taifa vizuri
😀😀😀😀😀
 
Huyo dai mwana mtoka pabaya. Zari ana mapungufu gani mpk amfanyie hivyo?? Au papuchi imelegea kwa uzao wa watt 5? But she is very beautiful
 
nadhani mmemuelewa Zari nyie team kunuka....she is very smart na wala hana muda wa kupambana na Dai kisa anatomb.a madem wengine......Zari anajua fika jamaa lazima atakua anatomb.a nje so the only way to ensure her existence ni kutoonyesha mawivu ya kijinga, kusaka noti zaidi na kulea familia.....1 minute, lets be honest,,,,mwanaume gani kibongobongo alieoa ambae hajacheat mkewe? ebu tuanzie apa kwanza.....
mimi hapa boss, nampenda mke wangu kufaaa
 
Hela gani anazosaka au kushinda na camera 24/7, smart atakuwa yeye na Jokate wetu tumuweke kundi gani, na ingekuwa haimuumi angekazana kutoa madongo huko snapchat hapo alipo inamchoma kama pasi ya umeme inavyochoma anawaza tu siku akitemwa rasmi, malipo hapa hapa duniani kama alivyomchukulia mwenzie bwana bila aibu naye wamemchukulia hivyo hivyo.
Alimchukulia nani bwana ebu funguka na mimi raia wa kolomije nipate kujua tafadhali..
 
Pambaneni na hali zenyu team kiba team muziki mzuri yetu mavituuzi nyie endeleeni na team zari na team mobeto mara team namibia....hapa ni #seducingtoomuch#
 
Back
Top Bottom