Penzi langu na Kijana limeniharibia Feelings na mume wangu

Mkuu asante kwa kunifungulia hii code nilikuwa najiuliza hii misuli ya mkono si amshauri mume wake aende gym woiii kumbe misuli ya kichwa cha chini


hamna, ni ile mishipa ya kwenye mikono, nimeona manesi wanaidatia sana 😂
 
Kweli kabisa sasa sijui imekuaje au alikua anajaribu kucheat aone kuna radha gani si unajua wanawake mnavyopenda kujaribu jaribu,
Kajaribu kachanganyikiwa me kwakweli sitamani atengane na mume wake atulize akili awe karibu na mume wake atamzoea na kumpenda kama mwanzoni akae afikirie watoto tu aachane na swala la kutengana vyumba
 
Haya mkuje hapa wale wanawake wanaosemaga kuwa marriage is not a out sex🤣🤣🤣🤣 stupid!
 
Cheat na mzee mwenzio mkikutana mnaongelea ada na ujenzi hata mapenzi yanakuwa hayapo. Hao msingi kiuno utasahau familia na kubaki kuowanisha utamu.
[emoji23][emoji23][emoji23] umemaliza
 
Short and clear ni kwamba umelogwa na kijana,keshakuendea kwa mganga.
Vijana siku hizi wanaloga tuu wakishajua kuna kamserereko kwenye mama yoyote.
Yaani unakamuliwa mwili,K na pesa hao ndo vijana wa kizazi cha Internet 😉
Wahi fasta kategue huo mtego kabla hujateza hao 4, maana inaonekana kakutwanga unasahau mpaka watoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…