Penzi langu na Kijana limeniharibia Feelings na mume wangu

Penzi langu na Kijana limeniharibia Feelings na mume wangu

Happy Easter Monday MMU Family...... Hope all is well and if not,we hope for the bright tommorow......
Back to the topic Nashukuru Mungu, I am married, And a mother of four kids,
Miaka hiyo Nilikuwa nashangaa Sana kusikia mwanamke ameolewa halafu anacheat oh Nilikuwa nashangaa Sana not until Siku imenibidi kwenda mbali na familia kufanya kazi nikadata na kijana mapenzi motomoto.
Ni Mwaka Sasa umepita tangu nimeanza kucheat. But ndugu zangu Mwaka Jana Nilienda kuona Familia yangu I was surprised wakati wa kushare tendo la ndoa na mume wangu nilikuwa sihisi chochote. Ni Kama ananibaka vile. I was sooo dry in such a way that Nilikuwa nauguza maumivu in my private parts.Nilikuwa nafanya tu Basi nisigundulike na kufake ku mourn sex. I came back to work and life was Ok. Sasa This Easter nimepata likizo Niko na mume wangu, but it's the same story .Simfeel hata kidogo, Nimenunua hata na Perfume anayotumiaga kijana nilijua maybe itanisaidia but sioni tofauti na imagine Niko na muda Sijakutana na Kijana( nilipigwa kibuti baada ya kumuambia ukweli kwamba am married and I have four kids[emoji28] after like a month he came back but na Mimi nikaona nimzingue)of which I was expecting nitakuwa na sex feelings kwa mume wangu but I don't feel him, wakati when am alone I feel kabisa I need sex but kuja kumuona as if sio mimi.

Yesterday night niliwaza mengi Sana.... I wish ningeweza ku undo what I did but I can't, we had sex but I was Off off Mood. Nikaanza hata kufanya comparison ya kijana na mume wangu, niko nampapasa lakini akili yangu inawaza blood veins zake hazionekani Kama kijana, ananikiss Niko najisemea but this kiss sio Kama ya kijana[emoji27] . Nimewaza Sana Nakatamani ingewezekana kuishi pamoja Ila Sex tusifanye. Tufanye majukumu mengine tu. My husband is a very good person jamani, Ananitreat vizuri mnooo nimejaribu hata kufikiria mazuri yake nirudishe feelings but nimeshindwa Mimi. Naombeni kwa aliyepitia situation Kama ya kwangu anisaidie what to do please nipate feelings na mume wangu or kwa wanandoa is it possible kugawana vumba na kuendelea na Mambo mengine bila sex na mkaishi kwa amani?. Ningeweza kudai talaka but nawaza pia this man is too good, angekuwaga ni monster hapa ndo ingekuwa mlango wangu wa kutokea, but he is a humble man and he loves me alot
Please be soft to me please [emoji120]. Thank you

NB: Dear MMU wives if you never cheated on your husband please don't Dare to do it please.
Kwangu unastahili kila aina adhabu ya dunia na usipokuwa makini utakuja na msg ya majuto dunia utaiona mbaya
 
Inaonekana umbali wenu umepunguza Hadi mawasiliano yenu, ndio maana bond imepungua.
But good thing ni kwamba Feelings za mwanamke huwa zinatengenezwa, ni mindset yako kwanza na willingness yako.
Kama kweli umedhamiria kurudisha penzi "anzeni uchumba upya" I mean zile mlikuwa nafanya kipindi mnafukuziana zifanyeni Sasa, token out somewhere romantic just the two of you, pigeni stori za hapa na pale as if ndio you're trying to get to know him.
Open up your heart and let him in again, na usirudie tena "upuuzi" ule, wanawake hatujaumbiwa kutenganisha sex and love, whomever you sleep with has a greater Chance of winning your heart over!
Huyu mwanadada/mwanamama anahitaji msaada, nashangaa sana watu wanaleta mzaha.. Kila binadamu hukosea. Atleast ndugu umeandika kitu.
 
Shetani hana rafiki na lengo lake huwa ni kuharibu tu.

Sentensi hii utaielewa baadae Sana.

Kutoka nje ya ndoa ni kuingia mkataba wa kufanya kazi na shetani.

Unachotakiwa kufanya ni kutubu toba ya kweli Kwa dhambi ya uzinifu kisha ubadili Tabia yako na utoe sadaka Kwa wenye changamoto za maisha ili kuomba huruma ya muumba.

Nakuhakikishia unaposex na mumeo shetani huwa katikati ya tendo maana unavunja mkataba mlioingia Kama Fei na Yanga na hapo ndipo utapojua mkataba hauvunjwi Kienyeji


Kweli kabisa kazi ya shetani ni kuua, kuchinja na kuharibu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata sijui! Mie nimeshangaa naambiwa ni mara ya mwisho [emoji134][emoji134][emoji134]
[emoji23] tuache utani auntie umejua kubadili bwana ila yote bora atoto limerudi
 
Nataka kusema Jambo nahisi wewe Ni mke wangu but we had only one kid kazi ikatuforce kuwa appart kwa muda I saw those mentioned behaviors and with eyewtnes nikakuta hicho unachokisema! Vijana wanaokataa ndoa Sasa Ni kwa sababu wameshazini na wanandoa!
It was hard for me but I couldnt change my mind and so she couldnt. Inatesa, inatafuna na inauma
Tena Omba asijue Mana akijua you are inn for it!
 
Ukiona mwanaume au mwanamke anasex nje ya ndoa halafu Hana haya anasimulia kama hivi hajawahi kuheshimu ndoa yake , mume wake na familia just imagine mwanamke kama huyu yupo na wanaume wadogo unadhani ni huyu tu hapana hata wengine uliolewa yanini .

Unaomba kabisa ushauri kweli Dunia ya Leo inamambo unaliwa na kijana Kwa Raha mbaya sana
 
Happy Easter Monday MMU Family...... Hope all is well and if not,we hope for the bright tommorow......
Back to the topic Nashukuru Mungu, I am married, And a mother of four kids,
Miaka hiyo Nilikuwa nashangaa Sana kusikia mwanamke ameolewa halafu anacheat oh Nilikuwa nashangaa Sana not until Siku imenibidi kwenda mbali na familia kufanya kazi nikadata na kijana mapenzi motomoto.
Ni Mwaka Sasa umepita tangu nimeanza kucheat. But ndugu zangu Mwaka Jana Nilienda kuona Familia yangu I was surprised wakati wa kushare tendo la ndoa na mume wangu nilikuwa sihisi chochote. Ni Kama ananibaka vile. I was sooo dry in such a way that Nilikuwa nauguza maumivu in my private parts.Nilikuwa nafanya tu Basi nisigundulike na kufake ku mourn sex. I came back to work and life was Ok. Sasa This Easter nimepata likizo Niko na mume wangu, but it's the same story .Simfeel hata kidogo, Nimenunua hata na Perfume anayotumiaga kijana nilijua maybe itanisaidia but sioni tofauti na imagine Niko na muda Sijakutana na Kijana( nilipigwa kibuti baada ya kumuambia ukweli kwamba am married and I have four kids[emoji28] after like a month he came back but na Mimi nikaona nimzingue)of which I was expecting nitakuwa na sex feelings kwa mume wangu but I don't feel him, wakati when am alone I feel kabisa I need sex but kuja kumuona as if sio mimi.

Yesterday night niliwaza mengi Sana.... I wish ningeweza ku undo what I did but I can't, we had sex but I was Off off Mood. Nikaanza hata kufanya comparison ya kijana na mume wangu, niko nampapasa lakini akili yangu inawaza blood veins zake hazionekani Kama kijana, ananikiss Niko najisemea but this kiss sio Kama ya kijana[emoji27] . Nimewaza Sana Nakatamani ingewezekana kuishi pamoja Ila Sex tusifanye. Tufanye majukumu mengine tu. My husband is a very good person jamani, Ananitreat vizuri mnooo nimejaribu hata kufikiria mazuri yake nirudishe feelings but nimeshindwa Mimi. Naombeni kwa aliyepitia situation Kama ya kwangu anisaidie what to do please nipate feelings na mume wangu or kwa wanandoa is it possible kugawana vumba na kuendelea na Mambo mengine bila sex na mkaishi kwa amani?. Ningeweza kudai talaka but nawaza pia this man is too good, angekuwaga ni monster hapa ndo ingekuwa mlango wangu wa kutokea, but he is a humble man and he loves me alot
Please be soft to me please [emoji120]. Thank you

NB: Dear MMU wives if you never cheated on your husband please don't Dare to do it please.
Ndugu mwandishi, pole sana na hongera kwa hatua ya kutaka msaada. Wote wanaokukejeli hakuna mkamilifu hata mmoja.
Mimi ni mbaba nisiye na ndoa, ila kutokana na mijongeo na hitilafu za hapa na pale ililazimu nifanye mapenzi nje ya babe wangu... Hakika yaliyokutokea ndiyo yaliyokuwa yananitokea. Feelings zote sinapotea.

Suluhisho kwako siyo talaka.. Ukishakuwa na watoto kipaumbele chako siyo ubolo tena ndugu, ni malezi na makuzi ya watoto. Ukiniambia nikupe suluhisho nitakwambia uache kazi... Nenda kalee familia. Ukikaa mwaka ndani ya nyumba usionane na vijana wenye mishipa ya damu, nyege zikikujaa, taratibu utaanza kuona utamu wa ubolo wa mme wako.

Mwaka utakaoona upo tayari kuzungumza na daktari inperson kuhusu hili, inbox yangu ipo wazi.
 
Back
Top Bottom