Penzi langu na Kijana limeniharibia Feelings na mume wangu

Ukiona kingereza kiiingi ujue hamna kitu hapo
 
Vijana wanamambo mengi,kilichobaki hapo nikumletea mwenzio magonjwa tu ndani ndio uridhike
 
Huwa wanasema wanawake wanafanya maamuzi kwa hisia....Ndo naona kwenye hii hadithi..yaani umuache mme, watoto, mtengane..kisa VEINS....????Kwa kweli wanaume tupo tofauti....
 
MALAYA KAMA MALAYA kwa kweli 😁😁😁
 
😰 nimehisi ganzi. Namuonea huruma sana mumeo ,Mungu amsimamie ajui anaishi na msaliti aliekubuhu. Unacheat unazama mazima??
 
Pole sana I can test your feeling todate
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…