Penzi langu na Kijana limeniharibia Feelings na mume wangu

Jamani mapenzi ya kijana yamemchanganya mtu hukuuu!!!

Counselling inahitajika ili umuondoe kijana kwenye nafasi ya mumeo uliyomuweka.

Jaribu pia kumwambia mumeo baadhi ya vitu ambavyo 'kijana' huwa anakufanyia ili ikusaidie kuvuta hisia na tendo lifanyike vizuri.
 
Emoj ni kwambie kitu hakuna dawa ya hicho unachohitaji ushauri ila kama kweli unajutia hiyo hali fanya yafuatayo.
Nakumbuka mumeo alikuruhusu kwa moyo wote kwenda kufanya kazi mkoani ndiyo ukakutana na boss wako huu ambaye amekuchanganya ili kutibu hili fanya maamuzi magumu ya kuacha hiyo kazi uwe karibu na familia yako regardless ya unalipwa kiasi gani Acha hiyo kazi.

Kingine nikwambie siku ukicheat na mwanaume mwingine tofauti na kijana tambua hali hii unayoiona kwa mumeo utaiona kwa kijana wako pia wa sasa. Ndivyo wanawake walivyo mkishafanya mapenzi na mwanaume mwingi yule wa siku zote anapotezewa thamani yake na huwezi kuwa na hamu naye tena. It is nature wala siyo uchawi , Kumbuka mwanamke hadi acheat ni process ndefu, yaani anakuwa ameshaona ulinganifu wa madhaifu ya pande mbili kwa hiyo anapoenda kutombwa kule anakuwa na picha fulani anayoitaka akikuta ile picha ndivyo ilivyo basi nyuma harudi.

Kwa hiyo mpendwa the best solutions regardless nikuwa mbali na huyo kijana wako lakini as long as bado mnafanya kazi wote tena mbali na familia yako expect tukio kubwa , kumbuka mliachana baada ya wewe kumwambia kuwa una watoto wanne na ni mke wa mtu kwa hiyo kurudi kwake kuna bonge la tukio ambalo anataka kukupiga na hilo ndiyo litakuwa fundisho kwako.

Kwa hiyo think twice and acha hiyo kazi rudi kwa familia yako
 
Cha kukusaidia, mwambie ulimchiti ili akuache, kwasababu utakuja kumuua kwa sumu au magonjwa. Kinachitokea ni kuwa, mwanamke akichiti, upendo wote unahamia kwa mwanaume mpya, mwanamke anatoa K kwasababu amependa, ila mwanaume anafanya sex kwasababu ametamani.
Mwanamke akichiti ni hatari, anaweza kumuua mumewe kwaajili ya mwanaume mpya, kwasababu hatompenda tena mumewe, ndomaana huna feelings nae kwasababu upendo wako umehamia kwa huyo kijana.

Ndomaana biblia ikaruhusu, mume amuache mke kwa kosa la uasherati,(Mathayo 5:38), we unafikiri kwanini hakutajwa mwanaume? Mungu ndo anajua saikolojia ya wanadamu aliowaumba.

Mwambie mume wako akuache ili ukaolewe na huyo kijana, maana ndo unayempenda.
 
Au nenda kwa wanasaikolojia wakusaidie, halafu wacha umalaya utakufa na magonjwa na kumuua mumeo na magonjwa
 
Her first man didn’t pay anything, he got it for free when goods were of high quality, but you the 7th wants to pay dowry. It’s better to be an insane person than to be a blue pilled man.
 

It’s gonna take you the same amount of time and effort to re-establish your feelings for your husband. You just didn’t wake up and feel attracted to that young lad. Its all in your judgement and only you can fix this. You’re treading on thin ice!
 
Mwekee sumu mumeo afe ili ufaidi penzi la kijana.

Niamini mimi utakuwa na furaha kuliko mwanamke yoyote hapa Duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…