Penzi langu na Kijana limeniharibia Feelings na mume wangu

Penzi langu na Kijana limeniharibia Feelings na mume wangu

Njoo kwangu nikupe dawa ya kuresume feeling zako kwa mumeo ila lazima nami uniache mwepesi.
 
Hapo mke anaweza hata akashauriwa,amuwekee sumu mumewe,afe,abaki na huyo kijana.Kwanini kujiingiza kwenye kifungo kama hicho?Wadada oleweni na wanaume mnaowapenda,hatakama hawana kitu,tatizo mkifanya hivyo,mrachepuka kwa wenye hela.
Ndoa ni ngumu sana.
 
HUYO NDIYO M
I moved on to save my life and I am okay thanks to God! But surely it was a tunnel that was about to take my life!
Wanawake waache walivyo; Imagine unagundua situation anakuwekea Mazingira ufanye kosa aombe devorce anafail hapo anaamua kukutilia sumu ufe.
Unahitaji neema ya Mungu kujua kwamba Anguko la wanaume wengi Ni mwanamke!
Ukijua Hilo you let it Go!
Mwanamke akishaonjwa na mtu mwingine lazima afanye comparison, your weaknesses become weapons against you!
HUYO NDIYO MWANAMKE NINAYEMJUA AKISHAONJA NJE UJUE HAJAANZA KWA BAHATI MBAYA NA UKITAKA KUMZUIA YUPO TAYARI KUFANYA LOLOTE HATA KUKUTOA UHAI ILI TU UMUACHE AU HATA KUKWAMBIA HAWA WATOTO SIYO WAKO ILI TU UGADHABIKE TU UMPE NAFASI.

POLE MWAMBA THAT IS LIFE
 
Happy Easter Monday MMU Family...... Hope all is well and if not,we hope for the bright tommorow......
Back to the topic Nashukuru Mungu, I am married, And a mother of four kids,
Miaka hiyo Nilikuwa nashangaa Sana kusikia mwanamke ameolewa halafu anacheat oh Nilikuwa nashangaa Sana not until Siku imenibidi kwenda mbali na familia kufanya kazi nikadata na kijana mapenzi motomoto.
Ni Mwaka Sasa umepita tangu nimeanza kucheat. But ndugu zangu Mwaka Jana Nilienda kuona Familia yangu I was surprised wakati wa kushare tendo la ndoa na mume wangu nilikuwa sihisi chochote. Ni Kama ananibaka vile. I was sooo dry in such a way that Nilikuwa nauguza maumivu in my private parts.Nilikuwa nafanya tu Basi nisigundulike na kufake ku mourn sex. I came back to work and life was Ok. Sasa This Easter nimepata likizo Niko na mume wangu, but it's the same story .Simfeel hata kidogo, Nimenunua hata na Perfume anayotumiaga kijana nilijua maybe itanisaidia but sioni tofauti na imagine Niko na muda Sijakutana na Kijana( nilipigwa kibuti baada ya kumuambia ukweli kwamba am married and I have four kids[emoji28] after like a month he came back but na Mimi nikaona nimzingue)of which I was expecting nitakuwa na sex feelings kwa mume wangu but I don't feel him, wakati when am alone I feel kabisa I need sex but kuja kumuona as if sio mimi.

Yesterday night niliwaza mengi Sana.... I wish ningeweza ku undo what I did but I can't, we had sex but I was Off off Mood. Nikaanza hata kufanya comparison ya kijana na mume wangu, niko nampapasa lakini akili yangu inawaza blood veins zake hazionekani Kama kijana, ananikiss Niko najisemea but this kiss sio Kama ya kijana[emoji27] . Nimewaza Sana Nakatamani ingewezekana kuishi pamoja Ila Sex tusifanye. Tufanye majukumu mengine tu. My husband is a very good person jamani, Ananitreat vizuri mnooo nimejaribu hata kufikiria mazuri yake nirudishe feelings but nimeshindwa Mimi. Naombeni kwa aliyepitia situation Kama ya kwangu anisaidie what to do please nipate feelings na mume wangu or kwa wanandoa is it possible kugawana vumba na kuendelea na Mambo mengine bila sex na mkaishi kwa amani?. Ningeweza kudai talaka but nawaza pia this man is too good, angekuwaga ni monster hapa ndo ingekuwa mlango wangu wa kutokea, but he is a humble man and he loves me alot
Please be soft to me please [emoji120]. Thank you

NB: Dear MMU wives if you never cheated on your husband please don't Dare to do it please.
Wala usiwe na wasiwasi we uko vizuri kabisa, wanawake huwa hawawezi kukaa na wanaume wema, wenyewe wanasema "wanaume walipoa, hawana tantrums",

Wenzako tulio nao huku mtaani wanazaa kabisa na hao vijana na kuwabambikia waume wao waliopoa.

Na Hilo la kufanananisha usiwe na wasiwasi nalo kabisa, wanawake wote ambao wameolewa baada ya kuwa na wanaume wengine wanacompare game na vitu vingine kati ya waume zao na mate wao wa zamani vizuri tu, it is normal, Cha kufanya hiyo comparison mwanaume hatakiwi hata kuihisi. Huwa ni jambo ambalo linaondoa mapenzi ya mwanaume kwa mwanamke wake kwa asilimia zaidi ya 90.
 
Happy Easter Monday MMU Family...... Hope all is well and if not,we hope for the bright tommorow......
Back to the topic Nashukuru Mungu, I am married, And a mother of four kids,
Miaka hiyo Nilikuwa nashangaa Sana kusikia mwanamke ameolewa halafu anacheat oh Nilikuwa nashangaa Sana not until Siku imenibidi kwenda mbali na familia kufanya kazi nikadata na kijana mapenzi motomoto.
Ni Mwaka Sasa umepita tangu nimeanza kucheat. But ndugu zangu Mwaka Jana Nilienda kuona Familia yangu I was surprised wakati wa kushare tendo la ndoa na mume wangu nilikuwa sihisi chochote. Ni Kama ananibaka vile. I was sooo dry in such a way that Nilikuwa nauguza maumivu in my private parts.Nilikuwa nafanya tu Basi nisigundulike na kufake ku mourn sex. I came back to work and life was Ok. Sasa This Easter nimepata likizo Niko na mume wangu, but it's the same story .Simfeel hata kidogo, Nimenunua hata na Perfume anayotumiaga kijana nilijua maybe itanisaidia but sioni tofauti na imagine Niko na muda Sijakutana na Kijana( nilipigwa kibuti baada ya kumuambia ukweli kwamba am married and I have four kids[emoji28] after like a month he came back but na Mimi nikaona nimzingue)of which I was expecting nitakuwa na sex feelings kwa mume wangu but I don't feel him, wakati when am alone I feel kabisa I need sex but kuja kumuona as if sio mimi.

Yesterday night niliwaza mengi Sana.... I wish ningeweza ku undo what I did but I can't, we had sex but I was Off off Mood. Nikaanza hata kufanya comparison ya kijana na mume wangu, niko nampapasa lakini akili yangu inawaza blood veins zake hazionekani Kama kijana, ananikiss Niko najisemea but this kiss sio Kama ya kijana[emoji27] . Nimewaza Sana Nakatamani ingewezekana kuishi pamoja Ila Sex tusifanye. Tufanye majukumu mengine tu. My husband is a very good person jamani, Ananitreat vizuri mnooo nimejaribu hata kufikiria mazuri yake nirudishe feelings but nimeshindwa Mimi. Naombeni kwa aliyepitia situation Kama ya kwangu anisaidie what to do please nipate feelings na mume wangu or kwa wanandoa is it possible kugawana vumba na kuendelea na Mambo mengine bila sex na mkaishi kwa amani?. Ningeweza kudai talaka but nawaza pia this man is too good, angekuwaga ni monster hapa ndo ingekuwa mlango wangu wa kutokea, but he is a humble man and he loves me alot
Please be soft to me please [emoji120]. Thank you

NB: Dear MMU wives if you never cheated on your husband please don't Dare to do it please.
Niseme tu kuwa wewe umeharibika,,

Nibora usiwe nahizo hisia na mumeo kabisa!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
""My husband is a very good person jamani, Ananitreat vizuri mnooo""

Ila nyie wanawake.
Wanawake ndio wako hivyo, huwa hawawezi kukaa na wanaume wa namna hiyo kwa amani , it is their nature, na research zihakikisha Hilo. Wanawake wanapenda drama.

Mwanaume wa namna hiyo anakuwa mume, halafu anatafuta dude Moja la hovyo nje ndio analipa moyo wake wooote. Halafu yakiwatokea wanarudi kwenye ule msemo wao " wanaume wote ni mbwa".
 
Ampeleke gym wakamtwishe vyuma kg 20 atatoka huko na veins kila kona.
Kwa mwili huu, Mume ni Plus 40 Tena mid 40s, na mke yupo kati ya 35 na 45. huu ndio umri wa wanawake wengi kuachika kutokana na kuzamia katika mapenzi ya nje, na wanaume kucontrate na majukumu ya familia ambayo kipindi hiki yanakuwa katika peak.

Ni kipindi kigumu sana kwa wanawake, hapa Kuna washauri wa Kila aina, confidence zisizo na uhalisia katika maisha ya mahusiano na temptations za Kila aina.
 
usha logwa wewe jitathimini,kwa ushaur zaid njo inbox, kataa ndoa ndoa ni utapeli,ndomana nikifikiria kuoa nakuwa mgumu sana
 
Muombe Mungu msamaha kwa kitendo ulichofanya. Kusudia kutorudia tena. Acha mambo ya kumfukiria huyo kijana ushasema mmeo ni mtu mzuri embu endelea kuuona huo uzuri. Dah unahitaji toba ya kweli toka moyoni. Ndoa na iheshimiwe na watu wote.
 
Nadhani nimeeleweka [emoji4]
Screenshot_20230401-044801.jpg
 
Nimewaza Sana Nakatamani ingewezekana kuishi pamoja Ila Sex tusifanye. Tufanye majukumu mengine tu.

………My husband is a very good person jamani, Ananitreat vizuri mnooo nimejaribu hata kufikiria mazuri yake nirudishe feelings but nimeshindwa Mimi.

……..is it possible kugawana vumba na kuendelea na Mambo mengine bila sex na mkaishi kwa amani?. Ningeweza kudai talaka but nawaza pia this man is too good…….

angekuwaga ni monster hapa ndo ingekuwa mlango wangu wa kutokea


Pole sana dada, mapenzi hayana kufundishwa utakuwa una act tuu , kwa mistari hiyo michache, muache tuu jamaa yetu wewe endelea na kijana kwa uhuru usiweke kisingizio cha watoto maana ndoa ni agano la kiroho unless utakuea unamdanganya mungu,mom of 4 kids sio lazima wote wawe kwenye ndoa, ndoa ni kwa wachache.
Amani haipo hapo, kwa kuwa wewe mwenyewe kwanza hauna amani, finally,wewe ndio umekua MONSTER kwake sasa, msikariri wanaume ndio monsters,monster hana jinsia.
 
Back
Top Bottom