Penzi langu na Kijana limeniharibia Feelings na mume wangu

Penzi langu na Kijana limeniharibia Feelings na mume wangu

HUYO NDIYO M

HUYO NDIYO MWANAMKE NINAYEMJUA AKISHAONJA NJE UJUE HAJAANZA KWA BAHATI MBAYA NA UKITAKA KUMZUIA YUPO TAYARI KUFANYA LOLOTE HATA KUKUTOA UHAI ILI TU UMUACHE AU HATA KUKWAMBIA HAWA WATOTO SIYO WAKO ILI TU UGADHABIKE TU UMPE NAFASI.

POLE MWAMBA THAT IS LIFE
Swala la Kuambiwa mtoto sio wako niliambiwa. Na nikamuuliza na akamaintain
 
Hapo mke anaweza hata akashauriwa,amuwekee sumu mumewe,afe,abaki na huyo kijana.Kwanini kujiingiza kwenye kifungo kama hicho?Wadada oleweni na wanaume mnaowapenda,hatakama hawana kitu,tatizo mkifanya hivyo,mrachepuka kwa wenye hela.
Ndoa ni ngumu sana.
Mambo ni shaghalabhagala
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dawa ninayo Tena itakusaidia haraka kurudisha hali ya awali Kwa mumeo ,lakini je utakua na uvumilivu

natakiwa nitumie njia hiyohiyo ya kukupelekea moto ,na huo muda unatakiwa uwe unataja jina lamumeo na mtoto 3(mfano utaje x ,baba y Yani mtoto watatu jinalake dawa ikiwa imeigizwa ukeni ...

ukiweza karibu
 
Bora usemee wee dear.
Kuna vitu Ni Natural Laws, since time in history kutoka kwa binadamu mpaka wanyama hakuna me ilihoumbiwa ke moja!

Soma vizuri jitafakari vizuri, hakuna mwanaume mwenye akili timamu anayeweza kuhamisha hisia kutoka kwa mke na watoto wake Tena familia takatifu unless Huyo mwanamke amemuonesha vimbwanga vya kutosha ndipo anapoamua kuhamisha mapenzi na hisia zake zote!

Dada zangu waleo mitandao na maisha ya kuigiza ndio yanawapa changamoto Sana katika ndoa! Our mothers and father's did the most of it!

Sikiliza hata ukinunua mifugo utanunua mitamba sita na Dume moja.
Jimbi moja na mitetea kumi

Iko hivi sisi wanaume tunapokaa vikao vyetu na kufikia maamuzi Nini tunakwenda kutekeleza katika ndoa siku hiyo nakwambia hakuna hata mmoja anayekwend kufanya kilichoazimiwa Mana we know we are different, with different wives with different behaviors!

Ila ninyi mnachopanga kwenye kikoba mnakuja nacho nyumbani!

Mkikubaliana kusaliti mnabebana na linapoharibika mnachekana wakati sisi tunapeana ushauri na support linapoharibika!
 
Walokole wa Jf on fireee


Nyie watu ni wanafki mnoo mnooo

Kucheat tunacheat ila usimalize hisia huko, sasa inabidi uanze self therapy urudishe akili na hisia kwa mzee

Kijana hawezi kukupa maisha, by the way michepuko ina utamu wake
 
Back
Top Bottom