Penzi langu na Kijana limeniharibia Feelings na mume wangu

Penzi langu na Kijana limeniharibia Feelings na mume wangu

Happy Easter Monday MMU Family...... Hope all is well and if not,we hope for the bright tommorow......
Back to the topic Nashukuru Mungu, I am married, And a mother of four kids,
Miaka hiyo Nilikuwa nashangaa Sana kusikia mwanamke ameolewa halafu anacheat oh Nilikuwa nashangaa Sana not until Siku imenibidi kwenda mbali na familia kufanya kazi nikadata na kijana mapenzi motomoto.
Ni Mwaka Sasa umepita tangu nimeanza kucheat. But ndugu zangu Mwaka Jana Nilienda kuona Familia yangu I was surprised wakati wa kushare tendo la ndoa na mume wangu nilikuwa sihisi chochote. Ni Kama ananibaka vile. I was sooo dry in such a way that Nilikuwa nauguza maumivu in my private parts.Nilikuwa nafanya tu Basi nisigundulike na kufake ku mourn sex. I came back to work and life was Ok. Sasa This Easter nimepata likizo Niko na mume wangu, but it's the same story .Simfeel hata kidogo, Nimenunua hata na Perfume anayotumiaga kijana nilijua maybe itanisaidia but sioni tofauti na imagine Niko na muda Sijakutana na Kijana( nilipigwa kibuti baada ya kumuambia ukweli kwamba am married and I have four kids[emoji28] after like a month he came back but na Mimi nikaona nimzingue)of which I was expecting nitakuwa na sex feelings kwa mume wangu but I don't feel him, wakati when am alone I feel kabisa I need sex but kuja kumuona as if sio mimi.

Yesterday night niliwaza mengi Sana.... I wish ningeweza ku undo what I did but I can't, we had sex but I was Off off Mood. Nikaanza hata kufanya comparison ya kijana na mume wangu, niko nampapasa lakini akili yangu inawaza blood veins zake hazionekani Kama kijana, ananikiss Niko najisemea but this kiss sio Kama ya kijana[emoji27] . Nimewaza Sana Nakatamani ingewezekana kuishi pamoja Ila Sex tusifanye. Tufanye majukumu mengine tu. My husband is a very good person jamani, Ananitreat vizuri mnooo nimejaribu hata kufikiria mazuri yake nirudishe feelings but nimeshindwa Mimi. Naombeni kwa aliyepitia situation Kama ya kwangu anisaidie what to do please nipate feelings na mume wangu or kwa wanandoa is it possible kugawana vumba na kuendelea na Mambo mengine bila sex na mkaishi kwa amani?. Ningeweza kudai talaka but nawaza pia this man is too good, angekuwaga ni monster hapa ndo ingekuwa mlango wangu wa kutokea, but he is a humble man and he loves me alot
Please be soft to me please [emoji120]. Thank you

NB: Dear MMU wives if you never cheated on your husband please don't Dare to do it please.
Kila jambo lina faida na hasara. Wewe una elements zote za umalaya MAKU WEWE.
 
Happy Easter Monday MMU Family...... Hope all is well and if not,we hope for the bright tommorow......
Back to the topic Nashukuru Mungu, I am married, And a mother of four kids,
Miaka hiyo Nilikuwa nashangaa Sana kusikia mwanamke ameolewa halafu anacheat oh Nilikuwa nashangaa Sana not until Siku imenibidi kwenda mbali na familia kufanya kazi nikadata na kijana mapenzi motomoto.
Ni Mwaka Sasa umepita tangu nimeanza kucheat. But ndugu zangu Mwaka Jana Nilienda kuona Familia yangu I was surprised wakati wa kushare tendo la ndoa na mume wangu nilikuwa sihisi chochote. Ni Kama ananibaka vile. I was sooo dry in such a way that Nilikuwa nauguza maumivu in my private parts.Nilikuwa nafanya tu Basi nisigundulike na kufake ku mourn sex. I came back to work and life was Ok. Sasa This Easter nimepata likizo Niko na mume wangu, but it's the same story .Simfeel hata kidogo, Nimenunua hata na Perfume anayotumiaga kijana nilijua maybe itanisaidia but sioni tofauti na imagine Niko na muda Sijakutana na Kijana( nilipigwa kibuti baada ya kumuambia ukweli kwamba am married and I have four kids[emoji28] after like a month he came back but na Mimi nikaona nimzingue)of which I was expecting nitakuwa na sex feelings kwa mume wangu but I don't feel him, wakati when am alone I feel kabisa I need sex but kuja kumuona as if sio mimi.

Yesterday night niliwaza mengi Sana.... I wish ningeweza ku undo what I did but I can't, we had sex but I was Off off Mood. Nikaanza hata kufanya comparison ya kijana na mume wangu, niko nampapasa lakini akili yangu inawaza blood veins zake hazionekani Kama kijana, ananikiss Niko najisemea but this kiss sio Kama ya kijana[emoji27] . Nimewaza Sana Nakatamani ingewezekana kuishi pamoja Ila Sex tusifanye. Tufanye majukumu mengine tu. My husband is a very good person jamani, Ananitreat vizuri mnooo nimejaribu hata kufikiria mazuri yake nirudishe feelings but nimeshindwa Mimi. Naombeni kwa aliyepitia situation Kama ya kwangu anisaidie what to do please nipate feelings na mume wangu or kwa wanandoa is it possible kugawana vumba na kuendelea na Mambo mengine bila sex na mkaishi kwa amani?. Ningeweza kudai talaka but nawaza pia this man is too good, angekuwaga ni monster hapa ndo ingekuwa mlango wangu wa kutokea, but he is a humble man and he loves me alot
Please be soft to me please [emoji120]. Thank you

NB: Dear MMU wives if you never cheated on your husband please don't Dare to do it please.
Naona aibu sana kusikia mwanamke unacheat na unasimulia kwa ujasiri kwamba huna hisia na mume ambae he is too good for you

Tatizo limeanza pale ulipoanza kucheat, akili na mawazo yote ukahamishia kwa huyo kijana wako

Mpaka una watoto 4 that means hakuna jipya kwenye ulimwengu wa mapenzi usilolijua, why are you betraying your family in such a way?

Rudi kwenye familia yako, jenga ukaribu na mumeo, kidogo kidogo hisia zitarudi ila kwa masharti kwamba hutorudiana na huyo kijana, ikiwezekana fanya kila liwezekanalo kumsahau ili uweze kurudisha furaha ya ndoa yako
 
Mh ndiyo maana hatuolewi kwa sababu hizi, mtu unapendwa malipo ya upendo wa mume wako ni kumcheat siyo? Siku akijua akakuwekea gunia za mkaa tusilaumu wanaume wana roho ngumu.

Kama unaona kuna jipya umejifunza kwa kijana wako basi introduce kwa mumeo awe anakufanyia kama huyo kijana ili uache kumcheat, kama ni hizo veins basi nendeni gym na mumeo mtafute hizo veins 🤔,siyo fair.
Huyu ameolewa na amezaa WATOTO 4 na mumewe kilichom-cost kwa mujibu wa story yake ni long distance relationship au tuseme long distance love, akaona ngoja atafute figa la pembeni maana mnaambiwa kwenye kitchen party zenyu kwamba sifuria haliwezi kuivisha mboga na figa moja inambidi figa ziwe at least 3/4/5 na kuendelea hapo mboga itaiva bila shida pia huko huko kwenye kitchen party zenyu mnaambiwa eti huwezi beba ndoo kubwa kichwani bila kua na kidumu au ndogo mkononi yaani moja kichwani moja mkononi,

Sasa yeye kaitumia ile formula ya kwenye kitchen party anarudi Mr. Mshedede unapigwa kitu bila bila wese halitoki baba anatembeza mafuta wese hola kitu kikavu hisia hazipo, kifuatacho sitaki kukisimulia hapa maana acha niweke nukta
 
Happy Easter Monday MMU Family...... Hope all is well and if not,we hope for the bright tommorow......
Back to the topic Nashukuru Mungu, I am married, And a mother of four kids,
Miaka hiyo Nilikuwa nashangaa Sana kusikia mwanamke ameolewa halafu anacheat oh Nilikuwa nashangaa Sana not until Siku imenibidi kwenda mbali na familia kufanya kazi nikadata na kijana mapenzi motomoto.
Ni Mwaka Sasa umepita tangu nimeanza kucheat. But ndugu zangu Mwaka Jana Nilienda kuona Familia yangu I was surprised wakati wa kushare tendo la ndoa na mume wangu nilikuwa sihisi chochote. Ni Kama ananibaka vile. I was sooo dry in such a way that Nilikuwa nauguza maumivu in my private parts.Nilikuwa nafanya tu Basi nisigundulike na kufake ku mourn sex. I came back to work and life was Ok. Sasa This Easter nimepata likizo Niko na mume wangu, but it's the same story .Simfeel hata kidogo, Nimenunua hata na Perfume anayotumiaga kijana nilijua maybe itanisaidia but sioni tofauti na imagine Niko na muda Sijakutana na Kijana( nilipigwa kibuti baada ya kumuambia ukweli kwamba am married and I have four kids[emoji28] after like a month he came back but na Mimi nikaona nimzingue)of which I was expecting nitakuwa na sex feelings kwa mume wangu but I don't feel him, wakati when am alone I feel kabisa I need sex but kuja kumuona as if sio mimi.

Yesterday night niliwaza mengi Sana.... I wish ningeweza ku undo what I did but I can't, we had sex but I was Off off Mood. Nikaanza hata kufanya comparison ya kijana na mume wangu, niko nampapasa lakini akili yangu inawaza blood veins zake hazionekani Kama kijana, ananikiss Niko najisemea but this kiss sio Kama ya kijana[emoji27] . Nimewaza Sana Nakatamani ingewezekana kuishi pamoja Ila Sex tusifanye. Tufanye majukumu mengine tu. My husband is a very good person jamani, Ananitreat vizuri mnooo nimejaribu hata kufikiria mazuri yake nirudishe feelings but nimeshindwa Mimi. Naombeni kwa aliyepitia situation Kama ya kwangu anisaidie what to do please nipate feelings na mume wangu or kwa wanandoa is it possible kugawana vumba na kuendelea na Mambo mengine bila sex na mkaishi kwa amani?. Ningeweza kudai talaka but nawaza pia this man is too good, angekuwaga ni monster hapa ndo ingekuwa mlango wangu wa kutokea, but he is a humble man and he loves me alot
Please be soft to me please [emoji120]. Thank you

NB: Dear MMU wives if you never cheated on your husband please don't Dare to do it please.
Picha lishaisha hapo ili maisha yaendelee vunja tu iyo ndoa
 
Hakuna Ndoa tena hapo. Ni suala la Mda tu. Ila Duuh hadi huruma.
 
Happy Easter Monday MMU Family...... Hope all is well and if not,we hope for the bright tommorow......
Back to the topic Nashukuru Mungu, I am married, And a mother of four kids,
Miaka hiyo Nilikuwa nashangaa Sana kusikia mwanamke ameolewa halafu anacheat oh Nilikuwa nashangaa Sana not until Siku imenibidi kwenda mbali na familia kufanya kazi nikadata na kijana mapenzi motomoto.
Ni Mwaka Sasa umepita tangu nimeanza kucheat. But ndugu zangu Mwaka Jana Nilienda kuona Familia yangu I was surprised wakati wa kushare tendo la ndoa na mume wangu nilikuwa sihisi chochote. Ni Kama ananibaka vile. I was sooo dry in such a way that Nilikuwa nauguza maumivu in my private parts.Nilikuwa nafanya tu Basi nisigundulike na kufake ku mourn sex. I came back to work and life was Ok. Sasa This Easter nimepata likizo Niko na mume wangu, but it's the same story .Simfeel hata kidogo, Nimenunua hata na Perfume anayotumiaga kijana nilijua maybe itanisaidia but sioni tofauti na imagine Niko na muda Sijakutana na Kijana( nilipigwa kibuti baada ya kumuambia ukweli kwamba am married and I have four kids[emoji28] after like a month he came back but na Mimi nikaona nimzingue)of which I was expecting nitakuwa na sex feelings kwa mume wangu but I don't feel him, wakati when am alone I feel kabisa I need sex but kuja kumuona as if sio mimi.

Yesterday night niliwaza mengi Sana.... I wish ningeweza ku undo what I did but I can't, we had sex but I was Off off Mood. Nikaanza hata kufanya comparison ya kijana na mume wangu, niko nampapasa lakini akili yangu inawaza blood veins zake hazionekani Kama kijana, ananikiss Niko najisemea but this kiss sio Kama ya kijana[emoji27] . Nimewaza Sana Nakatamani ingewezekana kuishi pamoja Ila Sex tusifanye. Tufanye majukumu mengine tu. My husband is a very good person jamani, Ananitreat vizuri mnooo nimejaribu hata kufikiria mazuri yake nirudishe feelings but nimeshindwa Mimi. Naombeni kwa aliyepitia situation Kama ya kwangu anisaidie what to do please nipate feelings na mume wangu or kwa wanandoa is it possible kugawana vumba na kuendelea na Mambo mengine bila sex na mkaishi kwa amani?. Ningeweza kudai talaka but nawaza pia this man is too good, angekuwaga ni monster hapa ndo ingekuwa mlango wangu wa kutokea, but he is a humble man and he loves me alot
Please be soft to me please [emoji120]. Thank you

NB: Dear MMU wives if you never cheated on your husband please don't Dare to do it please.
Tumia huu muda wa likizo kurekebisha hiyo hali, maana unakoelekea ni kuvunja ndoa yako.
Achana na huyo mchepuko maana hata ukivunja hiyo ndoa ya mmeo akupendaye huyo kijana hatalea hao wanao.
Lakini pia jitahidi kuwa unamuomba mmeoa aje ulipo walau kila miez 2 au wewe uhakikishe kuwa unaenda kwa mmeo kwa muda huo hata km ni mwezi mmoja.
Kingine mwambie huyo kijana apunguze mazowea na wewe sababu mmeo amejuwa na anamfuatilia.
NA MWISHO MMEO SI UNAMPENDA KWELI KWEL KWELI MWAMBIE KUWA KUNA DOGO HUKO ULIKO KAZINI KWAKO ANASUUMBUWA WEWE ANATAKA UTAMU WAKO MPE NAMBA YA DOGO THEN YEYE ATAJUWA CHA KUFANYA AKIONYWA NA WEWE UKASIMAMA KWENYE MSITARI NAAMINI UTASHINDA.
 
Naona aibu sana kusikia mwanamke unacheat na unasimulia kwa ujasiri kwamba huna hisia na mume ambae he is too good for you

Tatizo limeanza pale ulipoanza kucheat, akili na mawazo yote ukahamishia kwa huyo kijana wako

Mpaka una watoto 4 that means hakuna jipya kwenye ulimwengu wa mapenzi usilolijua, why are you betraying your family in such a way?

Rudi kwenye familia yako, jenga ukaribu na mumeo, kidogo kidogo hisia zitarudi ila kwa masharti kwamba hutorudiana na huyo kijana, ikiwezekana fanya kila liwezekanalo kumsahau ili uweze kurudisha furaha ya ndoa yako
Hizi mara nyingi huwa ni chai (uongo) na trust me huenda ni dume limekaa sehemu linaandika kwa sababu wanajua thread za aina hii zinavutia michango. Kama ni kweli ni mwanamke basi alilatiwa na huyo kijana na akazoea.
 
Naona aibu sana kusikia mwanamke unacheat na unasimulia kwa ujasiri kwamba huna hisia na mume ambae he is too good for you

Tatizo limeanza pale ulipoanza kucheat, akili na mawazo yote ukahamishia kwa huyo kijana wako

Mpaka una watoto 4 that means hakuna jipya kwenye ulimwengu wa mapenzi usilolijua, why are you betraying your family in such a way?

Rudi kwenye familia yako, jenga ukaribu na mumeo, kidogo kidogo hisia zitarudi ila kwa masharti kwamba hutorudiana na huyo kijana, ikiwezekana fanya kila liwezekanalo kumsahau ili uweze kurudisha furaha ya ndoa yako
Asante kwa ushauri dear [emoji120]
 
Baada ya kuzini na kijana kanakimbia humu kuwashauri wadada eti please ladies if you're married do cheat on your spouse,hovyoo kbsa.

Bt kwa kuanzia, hii ni chai iliyopitiliziwa sukari.
 
Mwaka huu nategemea kuoa, ila mastori kama haya yanavivunja moyo.... imagine mchizi hana kosa lolote na unamsaliti. Kuna haja ya kukataa ndoa
Usivunjike moyo dear..go and marry.. Marriage is the beautiful thing. Kuteleza kupo since we are human beings Ila haituzuii kuonesha upendo Kwa tunaowapenda.
 
Mh ndiyo maana hatuolewi kwa sababu hizi, mtu unapendwa malipo ya upendo wa mume wako ni kumcheat siyo? Siku akijua akakuwekea gunia za mkaa tusilaumu wanaume wana roho ngumu.

Kama unaona kuna jipya umejifunza kwa kijana wako basi introduce kwa mumeo awe anakufanyia kama huyo kijana ili uache kumcheat, kama ni hizo veins basi nendeni gym na mumeo mtafute hizo veins [emoji848],siyo fair.
Veins ndio nini?? Nipe maelekezo namimi kabla hujaanza kunicheat

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom