Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

Asante dear. Nitafanyia kazi hili dear.
Kuna staff mwenzangu nae Yuko km ww,Ana umri 29 mwaka juzi kaanzisha mahusiano na staff mwenzake,kibaya zaidi huyo staff mwenzie ni mume wa mtu 41 years pia anawatoto wanne mdada watoto wawili,ameshindwa kujichomoa kwa mchepuko wake,kila wakipanga waachane jamaa anamrudisha kundini,shost anahaha avunje mahusiano kuhama hawezi basi kutwa anajutia kuaza kucheat,hakuwahi kucheat na aliolewa bikra,anadai alichokikuta kwa jamaa kwa Mr ake hakuna, wanawake kuchepuka hatuwezi kubalance hisia,kila akimuandikia mchepuko gazeti lamadhara yakuchepuka naameamua kuacha, mchepuko unajibu kirahisi tu nakupenda rose,kesi inaishia hapo,rafiki anajuta mno mno,alivochizi anamuonea wivu mchepuko kuliko kawaida hataki asogeleane na wanawake wengine, Pole kuchepuka kwa mwanamke nihatari zaidi,acha na ujikaze.
 
"ooh my God hiii voice note ndo ilinimaliza mimi, the man was smart( I like men with brain), voice yake nzuri"


Nimejaribu kukuonesha wapi ulipokosea.
 
Acha hizo tamaa Dunia yamelemeta kwa macho!Uzuie moyo wako utatamani vingi na vingine haviliki.
 
Asante. Hili naliwaza Ila pia nawaza atalipokeaje sio ataniacha kweli??. And my life without him is totally a mess dear [emoji24]
Una maana mapenzi kwa mmeo na watoto yameyeyuka kabisa kwa ajili ya penzi la kijana?!
 
Naona umewaua kwa maneno watoto wako wa 3 na mmeo sasa kafanye kweli kawaue live ubaki na mmoja alafu ukaolewe na huyo mwamba

Usikubali kumpoteza, nenda kawauq hao wanao kutia kauzibe ubaki na bby wako mpya
mkuu kuwa makini anaweza weka SUMU akawaua kwelii...
 
Gunia2 za mkaa na 5L ya petrol, ndio zawadi inayokufaa
 
Wanawake, wanawake, wanawakeeee!
Yaaani wanawakee....Au basi.
 
Hawa viumbe akili zao sawaa wotee haijalishi umri wao ndo maana lazima MWANUME AWE KICHWA CHA FAMILIA MKEO UMUONGOZE WEW... yani ana akili ya binti wa miaka 16 kabisa
Tumeelewana hapa sasa

Sisi tunahitaji kuongozwa
 
Siku akijua uyu jamaa hbr za uyu dada akiolewa mniite mbwa niko pale chini ya mti nasoma comment zenuπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mbona amesha waua kwa kutowataja kwA bwana ake mpya maana yake hawahitaji kwenye Maisha yake
πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€amalizie awawekee sumu tu maana watakuwa kero kwenye mahusiano yake mapya.. WAUEEE NA BABA YAO abaki mmoja alafu uende nae kuolewa
 
Ama ni chai bora au ni Mithali 14:1

Case closed!
 

Attachments

  • luxury-tea.png
    20.3 KB · Views: 9
  • Screenshot_20220808-065200_Swahili Bible Offline.jpg
    31.8 KB · Views: 8
OGOPA VIUMBE HAWA WAKISHAJUA KINGEREZA HAWASHIKIKI WAKIKUTANA NA MUONGEAJI KINGEREZA CHA KIKENYA WANAPAGAWA WAKIKUTANA MUONGEAJI KINGEREZA CHA KINYARWANDA SHIDA SASA AMEKUTANA NA PROJECT MANAGER NA NDIYO ANAYESIMAMIA HUO MRADI MARA ANASEMA GHARAMA ZA KUMUACHA MUMEWE AMBAYE WAMEZAA NAYE WATOTO WANNE NI NDOGO KULIKO GHARAMA YA KUMUACHA BOSS WAKE POOR YOU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…