Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

Unakosaje kupigwa pistol mkuu
 
Huna hata fedheha kwa ulicho andika??
 
Ukweli I am a great mother to them dear. Basi Tu nimeshikika dear, sikuwahi kuwaza nitafikia hapa, but I think hata nikiolewa na Kijana I can still be a good month to my beautiful children. like siwezi watelekeza dear.
Ila apa not just still be a mother to your beautiful children,kumbuka mm utakaye mwacha IPO siku lazma aseek revenge kwakumwacha in pain ...na uyo kijana IPO siku ata kama akikuowa siku mkikorofishana hao watoto wako ndo itakuwa kitu Cha kwanza kukusakamia atatumia neno watoto kama fimbo yakukuchapia...
 
Nikwambie kwenye mapenzi hakunaga ushauri hata tukikupa huwezi fata
Wewe ni mbinafsi sana ,unatamani kupendwan lakini huwazi kuhusu watoto wako uliowazaa na ukiolewa utategemea kupata watoto.
Kumbuka hata hao watoto uliowazaa wanahitaji upendo wa wazazi wawili.
Kama ulishakuwa na maamuzi sidhani kama uzi huu utakusaidia
 
... nilirudi kuangalia username, nilivyoona emoj, nikakumbuka mtu hunena yaujazayo moyo wake... hata hii chai ni emoji ni text form! but ntakushauri hivyo hivyo na chai yako... Nothing Last Forever, inawezekana kwa upande wa mume wako ndo imefika ila hata kwa huyo emoj wako itafika pia na wakati huo KARMA itashika hatamu sababu mara zote huwezi kuwa mshindi wewe na ndipo utalia kilio cha MBWA MWIZI na hakutakuwa na backup!
 
Mimi tena🤷🏼‍♀️
 
Hii chai ya tangawizi, mwanamke anaweza kumcheat mume lkn hawezi kusahau watoto wa tumbo lake. Kamweee..!

Unless kijana amekutafunia kijiti, ambacho ipo siku kitaisha nguvu.

Fikiria maisha yako miaka mitano ijayo yatakuaje.
 
Maza wa Watoto Wanne Nikimuona tu Najua. Kabla ata sijazama Uvinza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…