Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

Angekua mwanaume tungesema ni kichwa kidogo kinachomwendesha, ila kwa wewe sijui ni nini. Sikulaumu kucheat kwasababu hata mumeo anacheat huko aliko, lakini tofautin kitu kibaya zaidu ni kwamba ninyi wanawake mnaingia mazima, mwili na roho kwenye mahusiano ya pembeni.
Unakipamba maua kifo chako, mana siku hiyo ya mwisho mumeo atakuuliza ulikosa nini kwangu [emoji23].
Pole sana.
 
Kiko kitu kimoja ...

Kinye *** ge hichooo

Ukishaaato**wa


Kitaisha hichooo
 
Kila nikiingia jukwaa hili ya mapenzi napata shida kuoa maana naona kama Nitaemuoa atakuwa kama wengine, ngoja nivute kwanza mpaka miaka 5 ipite 😂, hata nikioa nikiwa na miaka 50 ni fresh tu..

Dada mchepukaji nakwambia umeyakanyaga jiandae kujuta maisha yako yote najuta baada ya kuolewa na Kijana soon utarudi kuomba msamaha kwa Ex husband wako..

GOOD LUCK

Liverpool VPN naomba unipe kadi ya miaka 5 .
 
Ila haya mambo yanatia sana huruma na hasira ila huwa nabaki kucheka tu.

Natoka nje ya mada kidogo, mwanamme inakuwaje unaoa mwanamke mliopishana sana umri like 9 and above. Eti kisa una pesa unaweza kuoa mwanamke yeyote umtakaye, mtakuja kufa nyiee siku si zenu.

Nasema hivi kuna colleagues wangu wamenishangaza sana, kuna huyu dada kaolewa mwaka jana na jamaa nahisi yuko kwenye hii taasisi ya TRA kama sijakosea huko Kwa kina Ngonyani, Komba na Katembo. Jamaa anapesa though both families ziko guud sana, mkewe kupanda ndege ni jambo la kawaida sana japo jamaa umri umeenda na nahisi hapostiki.

Kamuoa colleague wangu kwa ndoa na taratibu za kiarabu(mshanisoma) the same year wakapata mtoto ,jinsia me.

Anyway ni mengi ya kuandika lakini jamaa anachapiwa mke wake saivi na kajamaa kadogo ambaye naye ni colleague ilihali huyu jamaa naye anajuaa kuwa yule demu kaolewa na ana mtoto mdogo hata mwaka haujatimia. Huyu dogo kwao pesa mingi na ni bwashee, wanapostiana sana kwa status daaah huwa naona huruma sama kwa mme wake mara wameshikana, wamelaliana , captions za mapenzi.

Wadada msiolewe na watu mnaoona hamtokuwa comfortable naye au utamcheat

Wakuuu najuaa tunapenda vitamu ila hawa wanawake watawaueni kwa stress na kuwapelekeni jeraaa.

Ngoja niishiee hapa
 
Jesus christian ronaldo!!
Hivi wanawake mna nn,
Jitazame kwanza ulivyo shetan! Mnafki,muongo,mpumbavu,msaliti,mjinga tena mshenzi kabisa!
Huwezi kutufanya wanaume wote wapumbavu kiasi hiki.
Anyway wacha niishie hapa,naomba samahan kwa maneno makali ndugu zangu ni hasira tu as if mm ndiye mumuwe!au huyo jamaa anaetaka muoa..but dadas jitafakarini sana,jifunzeni kuridhika jmn mnatufanya tusijeoa kabisa na nyie ndio mnazorotesha mapenzi hapa duniani.😭😭😭
 
Kama ni kweli bhasi Watoto wako nawaonea huruma kwa Idadi hiyo waliopo alafu Mungu kawapa mama tairaaa...!! Yani mama wa watoto wa nne unajali hisia zako na ufala wa romance sijui unataka kuwatelekeza wanao.????

Ndo maana vijana suala la kuoa hatutaki kulisikia kama mama watoto wanne anakuwa mjinga kiasi hiki si hatari sana. Ushauri Vunja ndoa yako potea badilisha namba za simu kaolewe upya.
Fact..kama mama wa watoto wanne anawaza ujinga dah ndoa ngumu...nawapa p0le watoto wake kwa kuzaliwa na mama mpumbavu,mjinga kiwango cha lami...
 
Ila haya mambo yanatia sana huruma na hasira ila huwa nabaki kucheka tu.

Natoka nje ya mada kidogo, mwanamme inakuwaje unaoa mwanamke mliopishana sana umri like 9 and above. Eti kisa una pesa unaweza kuoa mwanamke yeyote umtakaye, mtakuja kufa nyiee siku si zenu.

Nasema hivi kuna colleagues wangu wamenishangaza sana, kuna huyu dada kaolewa mwaka jana na jamaa nahisi yuko kwenye hii taasisi ya TRA kama sijakosea huko Kwa kina Ngonyani, Komba na Katembo. Jamaa anapesa though both families ziko guud sana, mkewe kupanda ndege ni jambo la kawaida sana japo jamaa umri umeenda na nahisi hapostiki.

Kamuoa colleague wangu kwa ndoa na taratibu za kiarabu(mshanisoma) the same year wakapata mtoto ,jinsia me.

Anyway ni mengi ya kuandika lakini jamaa anachapiwa mke wake saivi na kajamaa kadogo ambaye naye ni colleague ilihali huyu jamaa naye anajuaa kuwa yule demu kaolewa na ana mtoto mdogo hata mwaka haujatimia. Huyu dogo kwao pesa mingi na ni bwashee, wanapostiana sana kwa status daaah huwa naona huruma sama kwa mme wake mara wameshikana, wamelaliana , captions za mapenzi.

Wadada msiolewe na watu mnaoona hamtokuwa comfortable naye au utamcheat

Wakuuu najuaa tunapenda vitamu ila hawa wanawake watawaueni kwa stress na kuwapelekeni jeraaa.

Ngoja niishiee hapa
The bad thing is my husband is not old ,he is making 38years next month.
 
Back
Top Bottom