OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Kama umempenda mpe na trako kabisa apasue hiyo marinda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namuongeza pole nyingine.Nakupa pole pole, pole, pole, pole, pole, pole na wengine pia watakuja kukuongezea pole
ila pole tu
Hahahahaa Niko Mbarali hapa tangu juzi, sema nenoUje mbeya nanenane upumzike tafadhali....ukitoka hapa ndo ukajiue🤦😔plzzz
Upo sahihi chiefHii ni chai, lakini wanawake wajinga na wapumbavu wa aina hii pia wapo wengi tu huku kitaa, wanaotema big G kwa karanga za kuonjeshwa
Fact..kama mama wa watoto wanne anawaza ujinga dah ndoa ngumu...nawapa p0le watoto wake kwa kuzaliwa na mama mpumbavu,mjinga kiwango cha lami...Kama ni kweli bhasi Watoto wako nawaonea huruma kwa Idadi hiyo waliopo alafu Mungu kawapa mama tairaaa...!! Yani mama wa watoto wa nne unajali hisia zako na ufala wa romance sijui unataka kuwatelekeza wanao.????
Ndo maana vijana suala la kuoa hatutaki kulisikia kama mama watoto wanne anakuwa mjinga kiasi hiki si hatari sana. Ushauri Vunja ndoa yako potea badilisha namba za simu kaolewe upya.
The bad thing is my husband is not old ,he is making 38years next month.Ila haya mambo yanatia sana huruma na hasira ila huwa nabaki kucheka tu.
Natoka nje ya mada kidogo, mwanamme inakuwaje unaoa mwanamke mliopishana sana umri like 9 and above. Eti kisa una pesa unaweza kuoa mwanamke yeyote umtakaye, mtakuja kufa nyiee siku si zenu.
Nasema hivi kuna colleagues wangu wamenishangaza sana, kuna huyu dada kaolewa mwaka jana na jamaa nahisi yuko kwenye hii taasisi ya TRA kama sijakosea huko Kwa kina Ngonyani, Komba na Katembo. Jamaa anapesa though both families ziko guud sana, mkewe kupanda ndege ni jambo la kawaida sana japo jamaa umri umeenda na nahisi hapostiki.
Kamuoa colleague wangu kwa ndoa na taratibu za kiarabu(mshanisoma) the same year wakapata mtoto ,jinsia me.
Anyway ni mengi ya kuandika lakini jamaa anachapiwa mke wake saivi na kajamaa kadogo ambaye naye ni colleague ilihali huyu jamaa naye anajuaa kuwa yule demu kaolewa na ana mtoto mdogo hata mwaka haujatimia. Huyu dogo kwao pesa mingi na ni bwashee, wanapostiana sana kwa status daaah huwa naona huruma sama kwa mme wake mara wameshikana, wamelaliana , captions za mapenzi.
Wadada msiolewe na watu mnaoona hamtokuwa comfortable naye au utamcheat
Wakuuu najuaa tunapenda vitamu ila hawa wanawake watawaueni kwa stress na kuwapelekeni jeraaa.
Ngoja niishiee hapa
Yaan mgeni unakaribishwa nawe unamkaribisha mwenyeji😳Hahahahaa Niko Mbarali hapa tangu juzi, sema neno