Siku ya hukumu, utasimama na kujitetea kwa kumtuhumu shetani. Atakuuliza ulisikia sauti yangu, utajibu hapana. Uliniona kwa macho yako? Utamjibu hapana. Kulikuwepo vitabu vya dini vya kukuongoza katika imani yako? Utamjibu ndio. Atakuuliza kwa nini hukuvifata? Utaanza kujing'ata ng'ata.
Hapo ndo utapewa kamtama kamoko ka kukusindikiza kwenye makazi ya kudumu.
Anyway, I am far from perfect. But if I were you I would leave that town and go back to my family. The value of your family is equivalent to ypur life. Better think twice.