Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

Dear hii nimewaza Sana. Ila Sasa moyo wangu inaniambia niishi sasa[emoji26]
Hii inaashiria you never loved your husband dearly from the very very start. Ulimkubalia kwa kuwa alikuwa anapush mambo yaende haraka.

Uliolewa ukiwa mdogo ambapo ulikuwa huja experience mapenzi vizuri.
 
Tatzo sio kumpenda.

Tatzo hukuwahi onja vya nje ya box
Exactly, Na hata akimkubalia huyo kijana akaja akakutana na mkuyenge mwngne wa maana atasizi tena coz naona kampendea vitu ambavyo vijana wa sasa wengi tunavyo, lkn kwa karne hii kupata mwananume anaemjali kama alivyosema namna mme wake anamjali sio rahisi.

Hio sio love, ni excitement tu yenye ushamba ndani yake
 
My dear jaribu kumwambia ukweli ndiyo utaona rangi zake....like una watoto wanne hehe reaction after that ndiyo itakua jibu lako
 
Hahahah mkuu nikupe mkono wa pongezi you really have balls
 
Ndio shida ya kuoa msichana bikra akiwa na miaka 23 lazma mbeleni mtibuane tu 😂😂😂 anakua hana
experience ya mapenzo akiotewa na muhuni tu lazma azuzuke. Chalii anampakia mkongo yani mixa mtoto kudata kisenge.
 
Ni kweli kabisa, ukiwapiga matukio wanazidisha upendo🤣
Kuna Wanawake hawapendi Wanaume wapole na watiifu kwao,wanapenda wale Wanaume wanaowapiga matukio hadi wanakua na ma stress kibao hadi muda wa ku cheat hawana jinsi wanavyo teseka na mapenzi!!
 
Dear MILF umeingia mtegoni mwa kijana, af na mie huwa naombea nipate hz MILF za dizain hii. Haikuchuni lkn unachakata tu. Hawa slay queen wanatufilisi bure. Anyway usimuache mume wako. Caring men we're getting rare nowadays. Huyo kijana mfanye awe tu 'fvck buddy' wako endapo mme wako hakuridhishi, lkn kumuacha kabisa mme wako ni upuuzi kiwango cha SGR

karma is a bitch so make sure it's beautiful.
 
Ndio shida ya kuoa msichana bikra akiwa na miaka 23 lazma mbeleni mtibuane tu 😂😂😂 anakua hana
experience ya mapenzo akiotewa na muhuni tu lazma azuzuke. Chalii anampakia mkongo yani mixa mtoto kudata kisenge.
Hawa wengi wanapigwaga sana kwenye umri wa late 30's na kama wanajiweza basi ndo huanza kuomba talaka. Huyu mtoa mada inaonekana ni group hilohilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…