Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

Ukweli I am a great mother to them dear. Basi Tu nimeshikika dear, sikuwahi kuwaza nitafikia hapa, but I think hata nikiolewa na Kijana I can still be a good month to my beautiful children. like siwezi watelekeza dear.
Af najiuliza hio pochi ambayo ishabeba na kutoa watoto wanne kama bado zipu imekaza kweli. Sema daah kuna vijana wenzetu wana mioyo.

Hapo masikin ya Mungu mme wako utamfanyia visa hadi watoto waje waone yy ndo chanzo cha kuachana na wamchukie bure
 
Chai yako wala siyo tamu. Emb tupe mchanganuo wa hao watoto wanne ulivyowazaa yani ulibebabebaje mimba nne na bado una akili za kitoto hivyo?
 
Unachokitafuta utakipata soon!.
Neno la Mungu siku zote linatukumbusha sisi wanaume kuwa hawa viumbe " Tuishi nao kwa akili".
Kwanza umemdanganya una mtoto 1, Huna ndoa., Umesaliti ndoa yako takatifu...kiukweli mwisho wako utakuwa wa hovyo na wala sikutukani na Mungu atakuadhibu.
Muombe msamaha mumeo kabla jioni haijafika
 
Hahaha ndo wanawake walivyo we fanya kile unahisi ni sahihi kwako, watoto nne halafu bado kwenye maisha hujui unataka nini kisa tu ny*ge zako, kuna siku utajua hujui halafu utakuwa umechelewa sana
Na bado anataka kwenda kutambulishwa. Anataka kuchumbiwa tena anaiona ni golden chance
 
Utauponza!! Kwa tamaa zako unaweza kukosa vyote
 
The same story nlikutana na mdada ana 36 kaolewa na ana mtoto mmoja, nilikuwa nampelekea moto mpk akawa anataka apewe taraka ili nimuoe..! Nikasema kama anamuacha mumewe kisa show siku akipata show Nyingine huko na mim ataniacha vile vile... Nkamblock nkahama mtaaa πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huyu mtoa mada kaiharibu ndo yake kwa mikono yake mwenyewe.
Atajuta maisha yake yote.
 
We ni bitch tu, 32 with 4 kids lakini bonge la mjinga na mshamba , unajifanya kujibebisha kwa kijana unasahau kila kitu, HAKUNA ALIYE BEST KAMA MUMEO, nyie ndo mnasababisha tunakuwa wakatili
 
Ndooa sio Drama huyo kijana atakusumbua tu bure miaka 28 bado hajamaliza dunia
 
Nishafanya mengi kwenye mahusiano ya kimapenzi, nishaona mengi kwenye mahusiano ya kimapenzi, nishasikia mengi kwenye mahusiano ya kimapenzi....

Sikulaumu. Fuata moyo wako. Ni maisha yako, ni furaha yako. Kila utendalo unajitendea mwenyewe!
Mimi nashangaa watu wanavyomtukana mtoa mada kwa sababu kachagua kinachompa furaha.
 
Sio hivyo mkuu unajua kila mtu ana yule mtu wake yaani huyo yeye hafurukuti na wala hataangalia pembeni. Nikama bwana charles na camila, au macron na teacher wake.
Wee huyo ungemchukua tuu as long as ndio anakupa furaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…