Ravalomanana
JF-Expert Member
- Sep 8, 2018
- 1,557
- 1,540
Umetumia condom maana wanawake mkipenda mnajitoa jumlajumlaAsante. Hili naliwaza Ila pia nawaza atalipokeaje sio ataniacha kweli??. And my life without him is totally a mess dear [emoji24]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umetumia condom maana wanawake mkipenda mnajitoa jumlajumlaAsante. Hili naliwaza Ila pia nawaza atalipokeaje sio ataniacha kweli??. And my life without him is totally a mess dear [emoji24]
Utalifanyia kazi lakini ushaliwaAsante. Nitalifanyia hili kazi maana it is hard for sure[emoji26]
Tatizo mume akigundua unaweza usiishi hata sasa maana maisha yako yatakua hatariniDear hii nimewaza Sana. Ila Sasa moyo wangu inaniambia niishi sasa[emoji26]
Ur intelligent wengi wangekurupuka na wanawake walivyowaajabu angejifanya innocent na kulia kwingi mwisho we ndio unaonekana mjingaMy ex wife ana story kama yako. Alifanya haya, ila alikutana na mme mwenye akili nyingi kumzidi yeye (mimi mwenyewe). Niligundua katika kipindi flan hivi hakuwa na interest na mimi, it was like kulikuwa na kitu nje ya ndoa kinafanyika na concentration na matumaini yake viko huko. Nilimdukua kwa muda wa miezi 6 and it was over.
Alikuwa na mwanamme kijana anayemzidi almost 8 years, walikuwa wapenzi wa kufa jitu, ok...nikamwacha bila kumwambia jambo na ndoa ikawa inaendelea, alifikia mwisho wake. Nili seperate nae kisheria, kiroho safi (sikufanya jinai kama wapumbavu wengine wanafanya, eti unaua..).
Just after seperation, yule bwana alimtelekeza (labda ni kwa hofu ya kuingia matatani). The woman is getting life hardships now, mpaka anatia huruma.
Umeshanielewa, harafu nadhani unahitaji kumwomba Mungu akupe hekima, naona huna japo kibaka wako unamzidi umri.
Nami naongezea zake, pole ,pole sana madame!Nakupa pole pole, pole, pole, pole, pole, pole na wengine pia watakuja kukuongezea pole
ila pole tu
Mwaka 2016 ulitoa post kulaumu wanaume wanaochepuka leo unachepuka weweSorry dear. Sikuwa na maana ya kuwaumiza Ila tu kutaka msaada wenu.
Kwa nini usiwape ushauri?Kabisa..!! Ogopa sana kuwapa ushauri wa kuachana watu wanaopumuliana ndani ya shuka moja..!!
Utageukwa nao ushangae..!!Kwa nini usiwape ushauri?
Tusikatae njia ambazo Mungu anachagua kutuokoa, nilipata mateso sana ya kisaikolojia, ila am free now. Mpaka unasema haya yangatokea mapema nikaondokna na huo mzigo. Mke anakuletea mateso kuliko raha. Mfano, unaonaje ukiachwa usafiri mfano basi, na unataka kuwahi ili ufike somewhere kwa wakati, then later ukapata usafiri mwingine na baadae unalikuta basi lilokuacha limepata ajali na kuuwa abiria wote??? Nilikuwa nampenda yule mwanamke, alikuwa very beatiful, niliumia kufanya hayo aliyofanya, ila Mungu aliniweka free by high price.Ur intelligent wengi wangekurupuka na wanawake walivyowaajabu angejifanya innocent na kulia kwingi mwisho we ndio unaonekana mjinga
Wee oa tuu mwanawane....hapa duniani hamna mbususu yako peke yakoMi ndio natarajia kuoa lakini nimeumia sana sijui wanawake wakoje
📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌Wee oa tuu mwanawane....hapa duniani hamna mbususu yako peke yako
Swadakta!!📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌
Wajuzi wameshasema kuwa ile ni sawa na swimming (public) pool. Kama unataka kuishi kwa amani na kutokufa mapema usijali walioogelea kabla yako, mnaoogelea nao wakati huu na watakaoogelea (nawe) wakati ujao! 🚮🚮🚮
#KuchapiwaHakuepukiki
#Kuchapiwanisiriyandani
#KitandaHakizaiHaramu
Ukweli mchungu📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌📌
Wajuzi wameshasema kuwa ile ni sawa na swimming (public) pool. Kama unataka kuishi kwa amani na kutokufa mapema usijali walioogelea kabla yako, mnaoogelea nao wakati huu na watakaoogelea (nawe) wakati ujao! 🚮🚮🚮
#KuchapiwaHakuepukiki
#Kuchapiwanisiriyandani
#KitandaHakizaiHaramu
Kama ni ukweli wewe sio mzima na kama unapika chai zako za nanenane Leo hata kuwaza upuuzi wa kuanziasha uzi kama huu pia ni dalili za mental disorder.