Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

Habarini wanajamvi . Natumaini mko poa and mnaenjoy this Long weekend.

Naomba kushare na nyingi story yangu then mtanishauri Nini Cha kufanya...
Malaya usietosheka gunia tati za mkaa zinakuhusu
 
Mapenz yanaishaga shost,Kuna siku mtachokana utaregret kupoteza kete zote.Kama mume anajali bas mlindie heshima yake....mwambie ukweli huyo mpenz wako then hiyo itakusaidia wewe akili kukukaa sawa Kwa sababu lazima ataonyesha rangi zake zote then nawe utatambua kuwa ulichokiacha home ni Gold.

Kinachomfanya akuonyeshe mapenz yote ni Kwa sababu anajua wewe ni wake pekeyake.Jikaze aisee,vuka hapo cute ...I beg u.Wenzio hatujawahi bahatika wanaume wanaojali familia ndo maana tukakimbia.

Hicho chuma ni Cha kukibembeleza na kukihandle vyema ....mpendane mpaka mfanane mfe pamoja jamani.

Busara za wanaume wanaojali familia ni kuwa nao ucheat ila uheshimu familia zao Ivo usijedhani yeye hacheat...no ..anacheat na wanawake bora kuliko wewe lakini bado anakuheshimu.Rudi kwenye mstari tafadhali mlindie heshima usimuumize.Mapenz huchuja utajalia mom🙏
 
Dear shida yangu Ni je atakubali kuendelea na Mimi akijua ukweli??. Huu ndo wasiwasi wangu like atakubali kweli,??. Na akikimbia je?? Maisha yangu yatakuwaje??. Maana pia Ni mtu ameshika dini.
Yaani furaha yako inategemea kukamilishwa na mtu.Subiria kuumizwa
 
karamu mbili zilmshinda fisi,kupanga ni kuchagua,mshika mawili moja humponyoka,njia ya mwongo ni fupi
 
Dear shida yangu Ni je atakubali kuendelea na Mimi akijua ukweli??. Huu ndo wasiwasi wangu like atakubali kweli,??. Na akikimbia je?? Maisha yangu yatakuwaje??. Maana pia Ni mtu ameshika dini.
Ah wee hawezi kukimbia kama kweli the sex is mind blowing. Atakachofanya ni kwamba u will now be his sexmate huku akitafuta wife basi. Enjoy the 🍆 gal. Ukirudi kwa mume mle na watoto wenu. Ukiwa huku pata utam utam
 
Kijana anaponea tu K ya Bure hiyo akipata pisi kali mbichi atakuacha na mitoto yako. Kumbuka hakuna kijana wa kuoa single maza.
But dear it's not good calling these angels mitoto jamani. They are heaven sent and they don't connect at all with my wrong doing dear. Nimemuambia Kijana Nina mtoto but mmoja na amesema haoni shida kunioa na mtoto. Tatizo tu sijamuambia ukweli kwamba I have four of them na Holly marriage Hilo tu.
 
Dada umetutukanisha wadada wote tuliopo jf!!
It's either ni mpo mwanzoni mwa mapenzi I mean hata miezi 6 hamjafika or una ushamba wa mapenzi like umeolewa bado hujajitambua...

Achana na huyo kijana wallah am telling you. Stick with your lovely husband kabla hujaharibu ndoa yako kwa upumbavu wako!!!

Pole sanaa.. poor sister 🥺
 
Yule jamaa wa mwanza alipiga risasi mkewe....Yule wa Kigamboni alimchoma mkewe kwenye jiko la mkaa yule wa Sumbawanga sikujua aliuwa kwa staili gani. Nadhani mume wa huyu inabidi ambanike kama nyama ya mbuzi amle ndafu
 
Unatuchezea akili. Hii ni fiction.
 
Unaona dhahabu sababu ni mpya. Ukiingia ndani huwa upya unapotea.
Ubakia mazoea tu
 
Dear thank for this let me keep reading until my inner Person accept and start seeing this maana kila nikijaribu kupima naona loss ya kumuacha Kijana aende Ni kubwa Sana. Mungu anisaidie pia.
 
Kucheat kupo lakn sio hadi kuwaza kuolewa na mchepuko.
 
Dear shida yangu Ni je atakubali kuendelea na Mimi akijua ukweli??. Huu ndo wasiwasi wangu like atakubali kweli,??. Na akikimbia je?? Maisha yangu yatakuwaje??. Maana pia Ni mtu ameshika dini.
Mtu umeshika dini unavua chupi na kukatika kiuno kwa mwanaume ambae si mumeo? Hiyo labda dini ya shetani.
Ndio maana JokaKuu huwa anasisitiza sana watu waoe mabikira. Mwanamke alietobolewa tobolewa kabla ya kuolewa ngumu sana kufunga miguu yake for long hata akiolewa.
 
Jaman usije ukajaribu huo upuuzi.
Ukaache ndoa yako uloijenga kwa misingi na miaka kisa kijana jaman. Nakuhurumia dada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…