Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

Penzi langu na kijana linataka kunivunjia ndoa yangu

Wewe hizo MSG 300 zote za huko Juu hujaona ushaurii unaokufaaa???? Tumekwambia waueee wanao na mumeo kwa kuwawekea sumu uenjoy na Huyo beib mpyaaaa...
Usichukie kias hicho....easy easyyy
 
Jamani you people are too hard to me jamani[emoji26][emoji26]. I wish mngenijua jamani , I am not that bad vile mnafikiria jamani. Basi Tu nimezama and I didn't see this coming kabisa kabisa, and my heart keep telling me whatever the price I am ready to pay as long as Kijana atakuwa karibu yangu. Please be soft to me please nishaurini ndugu zangu, samahanini kwa wote niliowakwaza, now yameshatokea na naomba mnishauri, Asante kwa wachache wamlionishauri, I appreciate it so much.
Endelea kuikatikia...ila cha kufanya mtonye jamaa.
Na wewe kuwa Smart...huyo dogo uliyenaye ndiyo wa kupewa taarifa kuwa huo mzigo anakula una jamaa amaetulia pahala anasoma ramani na Mafuta pembeni ..huku wewe ukiwa unaandaliwa ..ukipendwa kufukuzwa au kuachana.

Ukiaa pabaya zaidi...tusikie kwa Polisi kuwa Marehemu alipigwa na kitu chenye nja kali.

Jitahidi kwenu wajue hili la kuwa na mchepuko mapema..ili kuepusha ugomvi na aliyekuoa baada ya kifo chako.

Lakini la muhimu zaidi msaidie jamaa yetu aliyekuoa asieende jela kwa sababu yako.Huyo jamaa anahitajika agawe moto kwa wanawake wengine kama wewe.

Katikia kijana huyo mpya kisawa sawa achana na jamaa aliyekuoa mapema.
 
Habarini wanajamvi . Natumaini mko poa and mnaenjoy this Long weekend.

Naomba kushare na nyingi story yangu then mtanishauri Nini Cha kufanya.

Mimi Ni mwanamke Nina miaka 32 Nimeolewa ndoa ya kanisani na tumebahatika kupata watoto wanne kwenye ndoa yetu hii takatifu. Kiukweli so far my marriage is good sisemi kwamba hatugombani no sometimes tunapishana tunaombana msamaha yanaisha, Inshort sijawahi kujuta kuolewa na mume wangu, he is a caring man, anapenda Sana watoto wake, for sure he is the best husband and the best daddy to our four beautiful children.

Mwaka Jana nilipata kazi somewhere mbali kidogo so ikanilazimu kuacha familia na kwenda kufanya kazi, Mume wangu alikubali Mimi kwenda kufanya kazi mbali ukizingatia pia hatukuwa vizuri kiuchumi maana Covid 19 iliyumbisha kidogo uchumi wetu, so I came this side kufanya kazi.

Ukweli sikuwahi kumcheat mume wangu tangu anioe na sikuwahi kuwaza kama kuna Siku itatokea maana ukweli ananitreat like a queen, baada ya kufika huku kazini, kweli Nilikuwa Ni mtu wa kuchapa kazi na kurudi home kusettle na kuwaza about my family and my personal issues.

Sikupata kuwaza like sex nimtafute mtu noo, tho as a woman kule kutongozwa kupo but sikuwahi kuipea time kabisa kabisa infact nilikuwa naona ni ujinga Sana kucheat na nimeolewa na my husband is awesome. Not uqntil this day hapa kazini Kuna project tulikuwa tunafanya so tukawa connected na this firm ambayo Sasa ndo hapa nilibadilika.

Katika hii project niliunganishwa na Kijana (28 years) ambaye ndo tutafanya nae hiyo project pamoja. Kweli at the beginning it was a normal talk about the project na sikuwa like kufeel chochote Wala kuwaza chochote out of work. Hadi hii Siku moja ambayo I asked him something about the project hakujibu kwa message badala akatuma Voice note ooh my God hiii voice note ndo ilinimaliza mimi, the man was smart( I like men with brain), voice yake nzuri.

His voice note turned me on kwa kweli nikaanza kufall in love with him from that day, hatukuwahi kuonana before but Ile voice note ilinipa hamu ya kumuona nakuwish awe mtu wangu wa karibu. From that day nikaanza like kumtumia tu message ambazo sio za kazi, like Hi, how was your night blah blah, long story short tukawa wapenzi na hatukuwahi kuonana live[emoji23][emoji23].

For sure mapenzi yalikuwa motomoto Mpaka this day tukaja kuonana and wow I felt sweet seeing this handsome man smelling like a snack[emoji39], amepanda hewani, smart one, kweli moyo ulikuwa unanienda mbio na kujiona wa Bahati Sana katika hii dunia, the date went well and tulifurahi kuonana for the first time[emoji7], hapa ndipo mapenzi yetu yalizidi kuwa motomoto like like like heaven...

He told me his background and his future plans, but ukweli Mimi sikuwa muwazi kwake maana Kwanza Ile tumeenda kuonana for the first time nilivua Pete na sikuwahi muambia nimeolewa na Nina watoto all this long. Nilikuwa Namuambia I am single.

Now mahali ambapo Sasa ndugu zangu naomba mnishauri kwa hekima zenu ni hivi Kijana amenikolea mwenzenu, yaani he is deep in me, sometimes hata napitiliza vituo kwa sababu mawazo yangu yako kwake, sometimes I just smile when I think of him, Juzi namuita boss wangu jina la kijana and I was like God!. I am drunk in Love with Kijana Hadi najuta why sikumjua mapema, He is great kwenye sex, sijawahi enjoy sex like the way I enjoy with him jamani, His kiss is heaven, in short he is a Pro[emoji7].I am confused ndugu zangu.

Sasa Kijana anataka tufanye mchakato anioe and he is very serious, but Sasa hajui nimeshaolewaga na Nina watoto wanne, nilimuambia tu Nina mtoto mmoja na amesema hakuna shida kabisa yeye amenipenda na haoni shida kunioa hata Kama Nina mtoto.

Jamani nawaza kumkubalia anioe then tutajua mbele kwa mbele since I love him so much na I really don't want to loose him, sometimes nawaza ama niombe talaka niwe huru kuolewa na Kijana ,Saa zingine nawaza au tu nimuambie ukweli naona atanikimbia. Saa zingine nawaza au nimzalie tu mtoto nibaki na ndoa yangu? Lengo nataka tu niwe nae till my last breath, I know he is young na ukweli siko kumchuna ama kumuharibia maisha, I love him and kwelikweli I don't want to loose him .

Sometimes nawaza naona gharama ya kupoteza ndoa yangu takatifu ni rahisi Sana kuliko gharama ya kumpoteza huyu Kijana. Jana tulikuwa wote na Kijana akaniambia anataka kunipeleka kwa wazazi wake so nipange Siku tuende, jamani nihisi kupiga kelele Mimi jamani kwamba napoteza hii golden chance hivihivi jamani[emoji24][emoji24].

Nishaurini ndugu zangu nafanyeje wapendwa?, the best way ambayo nitabaki na Kijana pasipo kuathiri pande zote mbili au hata upande mmoja ukiathirika but Kijana awepo. I love him so much na Mungu shahidi, sijawahi penda hivi,. .... What can I do ndugu zangu?

Kijana anajua nimemzidi umri but Hana shida na hili, anajua Nina mtoto Ila Sasa anajua Nina mmoja na wakati ukweli Nina wanne, anajua Niko single wakati ukweli Nina ndoa ya kanisani . Jamani msinitukane please nishaurini maana Nimezama penzini sisikii Wala Nini nimekolea, I just can't imagine my life without Kijana[emoji24]. I feel him so deep jamani.

Asanteni
Mwanamke sio wakumuamini kwakweli,,,
Ila nafikiri dunia itakufundisha ipo siku utaurudia huu uzi wako ukiwa na majonzi wakubwa saana.
Lazima utakuwa unakumbuka wakati ukiwa unaandika uzi huu kwani utakuwa unakumbuka vingi saana ila utakuwa huwezi kugeuza au kubadilisha chchte

Na badala yake majuto yatakuwa kila kitu kwako
 
Ndugu WANAUME,,,,,Hizi ndio sababu zinazofanya tuseme MKE mchepukaji hatakiwi kusamehewa MILELE...,,,Nyie Ving'ast mnaosamehe Wake zenu mkihisi ni bahati mbaya,,,,hali ndio huwa kama hivi nyuma ya pazia.

Ndugu mleta uzi usiidharau NAZI,,, kwasababu EMBE ni tunda la Msimu tu.....Yaani kucheat kwa mume wako umeona haitoshi,,,unataka uombe na talaka kabisa..

Hakika Mtu isipomfaa akili yake, basi utamdhuru Ujinga wake.
Kwaiyo mume mchepukaji ndo anatakiwa kuishi sio eeee
 
Nyie mnaomjudge huyu dada hamjawahi kukutana na michepuko inayipiga show show....unakutana na mwanaume Yani akipanda hashuki, anadeki Hadi kunakauka, katerero Kwa sana, mguu wa shingo mguu wa roho[emoji1732]....afu nyumbani mume Kazi kufuga kitambi tu, show mbovu.

In fact napitia the same situation na mleta mada....naendelea kusoma comments.[emoji1787]
Tumekwishaa
 
Unadhani majaribu yanakujaga kukubipu?

Majaribu yanakujaga yamejipanga.

Yamepanda hewani, yana sauti kama radi halafu yanakuwaga na mimacho mitamu balaa. Huchomoki ng'o.
Hahhaha iyo suti kama radi.make apo ncheke kwanza
 
Kwaiyo mume mchepukaji ndo anatakiwa kuishi sio eeee
Sikulazimishi Mkuu kuelewa,,,Jipe muda.... Mm nimezungumzia Mwanamke....na wewe kama una hoja kuhusu Wanaume basi weka hoja mezani....

Rudia kusoma Bandiko langu.,,,
 
Mm ni daktari na leo nimetoka kumfanyia C/S dada mmoja mimba yake ilikua ya sita na ana miaka 31. Mimba ya kwanza alipata 2010, ya pili 2012, ya tatu 2016, ya nne, 2018, ya tano 2020, ya sita ndio hii tulioifungua leo. Nimeona nimfunge kizazi kabisa maana alikuja na mishono mitatu na huu niliouweka ni wa nne.

Kwahyo huyu dada kama ana 32 na ana watoto wanne siwezi kumshangaa. Kuna wanawake wanawahi sana kuzaa
Ama kweli hii ni JF[emoji23][emoji23], ww jamaa si kuna uzi wako unasema kuna demu anakupenda ila ww humpendi na yuko tayari kukuhudumia kwa kila kitu maana hauna mishe ya maana mjini
 
Jamani you people are too hard to me jamani[emoji26][emoji26]. I wish mngenijua jamani , I am not that bad vile mnafikiria jamani. Basi Tu nimezama and I didn't see this coming kabisa kabisa, and my heart keep telling me whatever the price I am ready to pay as long as Kijana atakuwa karibu yangu. Please be soft to me please nishaurini ndugu zangu, samahanini kwa wote niliowakwaza, now yameshatokea na naomba mnishauri, Asante kwa wachache wamlionishauri, I appreciate it so much.
Hivi upo seriously au unatania
 
Kweli dear nimewaza Ni kichaa Cha Penzi. But there is this inner voice keep saying I real don't care what tommorow may bring life is now.
My dear, trust me, your family is better than ur desires! Life is more than orgasms and siku the young man akikutenda u will remember all this tena in capital letters!
Kiukweli mama, wanaume huwa hawapendi na ndio maana almost species zote za kiume ni polygamists!
 
I said this to my heart Mara nyingi Sana but still sauti inaniambia emoj Maisha Ni Sasa. Hili ndio naoga kumwambia maana naogopa ataniacha.
Wanaume wanaojitambua tukijua tu kuwa wwe ni Mke wa Mtu ndiyo by by hiyo! Wwe ficha lakini muda ukifika ukweli utajulikana! Na unaweza kuta na Kijana nae ni Mume wa Mtu pia! Kwa hiyo hapo Dada nakuona kama watangwa maji kwa kinu!!!!
 
Back
Top Bottom