Penzi mubashara (My king Vladmirovich Putin)

Mhh umejoin 24 November hata mwezi bado mna week kadhaa Kwenye penzi lenu mmetongozana lini ? Vyote hivyo vimefanyika katika wiki kadhaa mpk sifa zoteee Hizo umemmwagia au wewe Ndio vladmir umekuja kujipa ujiko kivingine Nimejikuta nawaza mbaliiii
Nimeliwaza sana hili pia
 
Hapana mkuuu !!! Unless uwe mpigaji tu.
 
Oyoooooooooooo, kwenye kamati naomba niwepo,
lakini usisahau ile kizuri kula na nduguyo yakheeee..... [emoji3]lol.
Hahahaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] chizi kweli weweeeeeee .nitaku[emoji379] [emoji379] [emoji379] [emoji379] [emoji379] [emoji378] [emoji378] [emoji378] [emoji378] [emoji378]
 
Jf yupo siku nyingi ila hii akaunt ndio mpya... mbona easy tu... lol
Pachaaa ....watu wabishi sanaaa !!!!

Accepting the reality imekua taaaabu kweli kweli !!!.

Aka kamchumba ketu ,, kamo humu kwa kwamuda ,,, na ID yake ilopita nikaipiga marufuku .

Sasaizi tupo namaraha yetuuuu......Nilichogundua ,wanataka waambiwe na ID yazaman ili wakafunyue[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Hapa no room for Umbeyaaa.
 

Hehehehehe nimependa hapoooo, "No room for Umbeyaaaaaaa" lol.

Watu wafukunyuku sana jipe raha pacha anguuuuuu.
 
Hakuna malaika mwanamke... Malaika wote ni wanaume....
Malaika hayuko weak kama binadam... Ushauri wangu muache kufananisha vitu vyenye athiri ya dhambi na vitakatifu....
 
Nakataka ndioooo..... nitambulishe basi ili hata ukisafiri pacha ako na cover uwepo wako [emoji4][emoji4][emoji13] [emoji13]
Hayaaaa ,,embu ukishatoka kule kwa baby akooo..

Tukutane nikutambulishe ,,ila weweeee[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] pacha weeeeeeee[emoji379] [emoji379] [emoji379] [emoji379] [emoji379]
 
Kabisaaaa πŸ™‚πŸ™‚ ''no room for umbea''' nimechekaaaaa
 
Sasa hujui unazibia wengine? Au ameshakuoa? Kama bado msifie akiwa Mme wako maana hiyo sio nzuri unapojitangaza hivyo.
 
JF bana ..akiwa Bold na Nipha [emoji818]
Akiwa Ivuga na ina[emoji818]
Akiwa Daby na nanii[emoji818]
Akiwa Sky na Aspirin[emoji818]
Akiwa smart na mahondaw[emoji818]

Yoooooooomaaaweeeeeeeeeeee!! [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] hujui tu
Nadhani the last one you are mistaken mkuu teeinaaa. wacha nisiseme mengi just only for my one and only king Smart911
Nampenda namuheshimu namsikiliza na kumuelewa sanaa Smart wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…