Penzi mubashara (My king Vladmirovich Putin)

Penzi mubashara (My king Vladmirovich Putin)

Hallo.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.Jomoniii mnisamehe bure napopata muda kama hivi naleta mrejesho kwenu wana JF .Ni kuhusu mahusiano yangu na Mr Putin niliyekutana nae humu Jf.

OK nafurahia sana na nainjoi mapenzi yangu na mwanaume huyu niliyokutana nae huku JF mwanaume kwenye kila aina ya vigezo vya kunimiliki mwanamke kama Mimi.Sina nachopungukiwa tangu niwe naye unajua kunifanya nijihisi mwanamke aliye kamilika...Aiseee kuna wanaume wanajua kushow loveee jamaniiiii mpaka najihisi malaika now..Asante mungu kunikutanisha huku na mwanaume wa ukweli unaenjua mwanamke unataka nini na kwa wakati upi.

Umeongeza furaha Mara dufu kwenye maisha yangu na kunifanya nijione mwanamke niliyekamilika.Sijutii kukufahamu naridhika na huduma zako,Utanashati wako,unavyojua kunishauri mambo mema mwisho kabisa unanimalizaaaa kwenye mambo yetu yaleeee....uwiiiii yelewiiiii acha niishie hapa.

Kifupi sijawahi kujutia kukufahamu,Sijawahi kujutia mapenzi yako kwangu.

From to Mima wa Vladmirovich putin
Aiseeeeee siku zote unajua kuni surprise dear !!!.

Kinachonimaliza ni uwezo wako wakua wazi na kutambua mchango Wangu toka siku yakwanza tuliposhikana mikono !!.

Yakuongezea ninayo mengi namapya LKN kwasasa mapenzi yangu kwako nayaweka katika matendo tu.
Hallo.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.Jomoniii mnisamehe bure napopata muda kama hivi naleta mrejesho kwenu wana JF .Ni kuhusu mahusiano yangu na Mr Putin niliyekutana nae humu Jf.

OK nafurahia sana na nainjoi mapenzi yangu na mwanaume huyu niliyokutana nae huku JF mwanaume kwenye kila aina ya vigezo vya kunimiliki mwanamke kama Mimi.Sina nachopungukiwa tangu niwe naye unajua kunifanya nijihisi mwanamke aliye kamilika...Aiseee kuna wanaume wanajua kushow loveee jamaniiiii mpaka najihisi malaika now..Asante mungu kunikutanisha huku na mwanaume wa ukweli unaenjua mwanamke unataka nini na kwa wakati upi.

Umeongeza furaha Mara dufu kwenye maisha yangu na kunifanya nijione mwanamke niliyekamilika.Sijutii kukufahamu naridhika na huduma zako,Utanashati wako,unavyojua kunishauri mambo mema mwisho kabisa unanimalizaaaa kwenye mambo yetu yaleeee....uwiiiii yelewiiiii acha niishie hapa.

Kifupi sijawahi kujutia kukufahamu,Sijawahi kujutia mapenzi yako kwangu.

From to Mima wa Vladmirovich putin
 
Hallo.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.Jomoniii mnisamehe bure napopata muda kama hivi naleta mrejesho kwenu wana JF .Ni kuhusu mahusiano yangu na Mr Putin niliyekutana nae humu Jf.

OK nafurahia sana na nainjoi mapenzi yangu na mwanaume huyu niliyokutana nae huku JF mwanaume kwenye kila aina ya vigezo vya kunimiliki mwanamke kama Mimi.Sina nachopungukiwa tangu niwe naye unajua kunifanya nijihisi mwanamke aliye kamilika...Aiseee kuna wanaume wanajua kushow loveee jamaniiiii mpaka najihisi malaika now..Asante mungu kunikutanisha huku na mwanaume wa ukweli unaenjua mwanamke unataka nini na kwa wakati upi.

Umeongeza furaha Mara dufu kwenye maisha yangu na kunifanya nijione mwanamke niliyekamilika.Sijutii kukufahamu naridhika na huduma zako,Utanashati wako,unavyojua kunishauri mambo mema mwisho kabisa unanimalizaaaa kwenye mambo yetu yaleeee....uwiiiii yelewiiiii acha niishie hapa.

Kifupi sijawahi kujutia kukufahamu,Sijawahi kujutia mapenzi yako kwangu.

From to Mima wa Vladmirovich putin
ID YAKO INA MWEZI MMOJA TU.ULIPO JIUNGA UKAPATA KIDUME JF.
NA HII NDIYO POST YAKO YA WASIFU WAKO.ONGERA
 
Mhh umejoin 24 November hata mwezi bado mna week kadhaa Kwenye penzi lenu mmetongozana lini ? Vyote hivyo vimefanyika katika wiki kadhaa mpk sifa zoteee Hizo umemmwagia au wewe Ndio vladmir umekuja kujipa ujiko kivingine Nimejikuta nawaza mbaliiii
Mimi simgeni humu ni mwenyeji sana tu before akaunti hii nilikuwa Nayo ya awali
 
Tunashukuru kwa taarifa, nimefurahi umeweza kusema hisia zako wazi wazi na kurudisha fadhila kwa mema unayofanyiwa, hiyo ni tabia ya mtu muungwana, ila isije ikawa nia yako ni ovu, ya kumzuia huyo mdau asipate mdada mwingine.
Hahahahaha..
Mbona hata me ni wangu jaman Putin ndio kaamua kutufanyia hivi
Mi [emoji144] [emoji144]


Cc Smart911
 
Hiyo jomoni ndo ujinga gani???
Yani nimeishia hapo hapo kwenye hiyo jomoni nimehairisha kusoma post yako yote
 
Back
Top Bottom