Ndio nashangaa na hutu tumtu ....hawasomi constitution ni kuzisha tu....eti leta kura smh!! Hawajui tusha wakaba hakuna wanakoendaFailure to do an Election in any Polling Center or Polling Station nullifies an Election. There is no need to waste the Kenyan tax-payers money
Mnasema vitu kishabiku tu but hamjui mkisemacho......the only option you have is to cause violence to prevent iebc opening polling stations which it's an election offense and I don't think government can entertain thatWell
Wewe bishana sina time ya kujibizana na ma psychophant!!
Thank you for seeing this!!!!Ukabila itakumaliza.
Unazungumza as if uhuru ni ndugu yako.
Leo umesema ya moyoni bila ushabiki, hayo uliyosema ni ukweli mtupu, pia amekuwa akiyazungumza sana Dr. DAVIDI NDII japo anaonekana kuegemea NASA hivyo kutosikilizwa na Jubilee lakini mengi anayozungumza ni ukweli mtupu, huyu jamaa amesoma na kuelimika sana, kwa kifupi Kenya sio rahisi kuwa nchi moja, jamii za Kenya zinatofautiana sana, na zimeshindwa kuishi pamoja kwa kuridhiana.
Yah minority are the one's pushing the agenda(infact it's only apart of nyanza)Ati majority!
As a kikuyu naamini Raila ndio dawa ya ukabila kuisha kenya,mmekuwa brainwash na wanasiasa sana hadi mnasahau ukweli.
Pambana na hali yako kijanaYeap kama kuwa opposition burundi
CaseStudy Siaya County my fren. where Orengo got 99% of the votes cast and NASA got 98%. Kumbuka Orengo never campaigned and he never put up a campaign posterWhat you don't understand is if a polling station is opened and no one turns they will put 0 which is still a number...there's nowhere in the constitution it states the minimum % turnout...... And furthermore do you really think no one will actually come to vote, even jubilee supporters in those areas?
That as most of you jubilee supporters dont get to understand is your own position...Raila aking'atuliwa toka siasa humu nchini, Kenya will be greater than any other African Country.
True .....this here is the truth MK254 huwa na level head!!Siku zote mimi huongea ukweli bila ushabiki, Wakenya kawaida huwa tunapendana sana, mimi binafsi nimeishi maisha ya kutokea chini kabisa, yaani kitaa wakati nikiwa kijana, maisha ya mama nitilie siku kwa siku. Niliona na kuonja upendo ambao Wakenya tunakuwanga nao kila siku, tatizo huwa plae siasa zinaingia na kutugawa, wanasiasa hupenda kutumia ulimbukeni wa wananchi kama mtaji.
Hili halina hata tofauti na Tanzania, kwenu huwa mna uchama, kwamba unakuta Mtanzania yupo sawa idara zote, lakini likija suala la uchama fahamu zinamtoka na kushabikia mlengo wake, atatumia nguvu nyingi sana kupindisha kila kitu ilmradi chama chake kionekane ndicho. Sasa tatizo hilo kwetu lipo kiukabila, yaani wanasiasa wanatugawa kwenye misingi ya kikabila.
Nafikiri hii picha hapa inaweza kukuonyesha kwa kifupi ninachokisema, kwamba watu kutovumiliana kisa siasa, hapa jamaa wa CHADEMA Tanzania anapigwa kwa mawe na matofali kama mwizi na wafuasi wa chama chako cha CCM kisa tu wametofautiana kimtazamo.
View attachment 610663
Sawa mrundi muislamu ..mi get where you come from!!!Pambana na hali yako kijana
mambo yasiyo na faida yanakupotezea Muda!
Kwa Akili yako hilo linawezekana kweli!
kama sio ukichaa na Upopoma wa kukosa kazi zakufanya!!
Sherehekea wakati watu wanauliwa. But one day the wind will change directionFunny that wenye wanasema kiumane are the ones on the opposite side of the bullet.
We the majority have decided that Raila will no longer be the yardstick of a free and fair election.
And there is no dialogue. Demonstrate everyday until 2022 if you can.
Aaah, ni swali gumu sana kulijibu, ila tatizo la Kenya lilitokana na mzee Jommo Kenyatta kushindwa kuwa na maono au lengo la kujenga taifa la Kenya, alidhani wananchi watakuwa kitu kimoja automatically bila kufanya juhudi za makusudi za kuwaleta pamoja, matokeo yake ndio haya tunayoyaona sasa. Jambo la kushangaza wananchi wengi wa Kenya wanaishi maisha ya nadharia sana kwa kujifanya hali hii ya mgawanyiko haipo ni maneno tu ya watu wasioipenda Kenya, wanajidanganya kufuata demokrasia sawa na nchi zisizo na matatizo ya ukabila, walipaswa kuchagua mfumo wa demokrasia ambao ungetilia maanani ukabila wao na kuingiza katika katiba yao ili kuongoza nchi, kwa mfano huku Tanzania tulipoungana na Zanzibar, tulitengeneza katiba ambayo ilitilia maanani utofauti huo wa Tanganyika na Zanzibar, tukafanya kwamba urais uwe ni wakupokezana kati ya Bara na Zanzibar, hatukujidanganya kama wanavyojidanganya wakenya kwa kusema, mtu yeyote agombee tu bila kujali tofauti zilizopo ndani ya nchi, eti kw kigezo cha demokrasia ndiyo inataka hivyo, huko ni kujidanganya, kwa sababu makundi yanaidadi tofauti ya watu, kuna baadhi ya jamii hazitokaa ziongoze milele, kama watu hawajali tofauti zao kama huku Tanzania, hilo sio tatizo, lakini kwa nchi iliyogawanyika kama Kenya, ni lazima kuwa mfumo wa makusudi wa kuhakikisha kila kabila lina uhakika kuna siku watatawala nchi, hata kama ni baada ya miaka mia mbili ijayo, watakuwa wanajiona nao ni raia sawa na kabila lingine lolote nchini, ila kwa sasa, mtaita ana uhakika hata baada ya miaka elfu moja hawezi kuwa rais wa Kenya, njia pekee ni kujitenga ambako huko kunaweza kuwahakikishia nafasi ya kupata kuwa rais.lakini mtazamo huu unafaa kwa mstakali wa Kenya??
Jadili mada husikaSawa mrundi muislamu ..mi get where you come from!!!
I agree with you!!...shida kwangu hata sio makabila mawili kuwa viongozi for so long ...shida ni they continually benefit their own disregarding the rest of the country....enda areas kama western utaona watu ndio wamejizatiti na kujenga ma hospitali, hakuna mabenki ni ma sacco, hata milk processors ni personal ...na ile project moja watakuja wafanye ya serikali wataakikisha wamechanganya wenueji kwa kununua viongozi wao kabisa.....wamefanya nchi ikae kana kwamba kila post ya serikali ni favour kwa hilo jamii ambalo limechangia muhusika ....wanaenda kuria wanasema eti "tupe kura tutaketa jeshi lije kuchagua vijana wenu hapa" wanaenda mombasa wanaambia walipa kodi kwa county eti msilipe county kodi wamewapa ruhusa ili tu wachanganye watu ndani and that is not fair ....wanajenga daraja hafifu alafu wanakuja wanasema "ona viongozi wenu wamekuwa hapa hawajawai ona wajenge hili daraja. Sasa tumewajengea mtupe Kura" ....sio kazi ya mbunge kujenga daraja ni kazi ya serikali kuu...mbunge ni kuwasilisha maslahi ya wakaazi wake bungeni!!!...Aaah, ni swali gumu sana kulijibu, ila tatizo la Kenya lilitokana na mzee Jommo Kenyatta kushindwa kuwa na maono au lengo la kujenga taifa la Kenya, alidhani wananchi watakuwa kitu kimoja automatically bila kufanya juhudi za makusudi za kuwaleta pamoja, matokeo yake ndio haya tunayoyaona sasa. Jambo la kushangaza wananchi wengi wa Kenya wanaishi maisha ya nadharia sana kwa kujifanya hali hii ya mgawanyiko haipo ni maneno tu ya watu wasioipenda Kenya, wanajidanganya kufuata demokrasia sawa na nchi zisizo na matatizo ya ukabila, walipaswa kuchagua mfumo wa demokrasia ambao ungetilia maanani ukabila wao na kuingiza katika katiba yao ili kuongoza nchi, kwa mfano huku Tanzania tulipoungana na Zanzibar, tulitengeneza katiba ambayo ilitilia maanani utofauti huo wa Tanganyika na Zanzibar, tukafanya kwamba urais uwe ni wakupokezana kati ya Bara na Zanzibar, hatukujidanganya kama wanavyojidanganya wakenya kwa kusema, mtu yeyote agombee tu bila kujali tofauti zilizopo ndani ya nchi, eti kw kigezo cha demokrasia ndiyo inataka hivyo, huko ni kujidanganya, kwa sababu makundi yanaidadi tofauti ya watu, kuna baadhi ya jamii hazitokaa ziongoze milele, kama watu hawajali tofauti zao kama huku Tanzania, hilo sio tatizo, lakini kwa nchi iliyogawanyika kama Kenya, ni lazima kuwa mfumo wa makusudi wa kuhakikisha kila kabila lina uhakika kuna siku watatawala nchi, hata kama ni baada ya miaka mia mbili ijayo, watakuwa wanajiona nao ni raia sawa na kabila lingine lolote nchini, ila kwa sasa, mtaita ana uhakika hata baada ya miaka elfu moja hawezi kuwa rais wa Kenya, njia pekee ni kujitenga ambako huko kunaweza kuwahakikishia nafasi ya kupata kuwa rais.
Kwa kifupi Kenya ni lazima ichague kati ya haya mawili
1)Iweke sheria ya kupokezana nafasi ya urais na makamo rais kufuata makabila, hii itaifanya Kenya iendelee kuwa nchi moja
2)Nchi igawanywe kama inavyopendekezwa na baadhi ya wakenya
I think am older than you!!!Jadili mada husika
hahaha
Kunavitu ukiwa na Akili havitaweza kukusaidia
au tatizo Umli!!
Maana kuzaliwa miaka ya 1990+ Nitatizo bado kukomaa kiakili
mnabaki kufuata Mkumbo tu
Vibendera fuata upepo
Maoni mazuri sanaAaah, ni swali gumu sana kulijibu, ila tatizo la Kenya lilitokana na mzee Jommo Kenyatta kushindwa kuwa na maono au lengo la kujenga taifa la Kenya, alidhani wananchi watakuwa kitu kimoja automatically bila kufanya juhudi za makusudi za kuwaleta pamoja, matokeo yake ndio haya tunayoyaona sasa. Jambo la kushangaza wananchi wengi wa Kenya wanaishi maisha ya nadharia sana kwa kujifanya hali hii ya mgawanyiko haipo ni maneno tu ya watu wasioipenda Kenya, wanajidanganya kufuata demokrasia sawa na nchi zisizo na matatizo ya ukabila, walipaswa kuchagua mfumo wa demokrasia ambao ungetilia maanani ukabila wao na kuingiza katika katiba yao ili kuongoza nchi, kwa mfano huku Tanzania tulipoungana na Zanzibar, tulitengeneza katiba ambayo ilitilia maanani utofauti huo wa Tanganyika na Zanzibar, tukafanya kwamba urais uwe ni wakupokezana kati ya Bara na Zanzibar, hatukujidanganya kama wanavyojidanganya wakenya kwa kusema, mtu yeyote agombee tu bila kujali tofauti zilizopo ndani ya nchi, eti kw kigezo cha demokrasia ndiyo inataka hivyo, huko ni kujidanganya, kwa sababu makundi yanaidadi tofauti ya watu, kuna baadhi ya jamii hazitokaa ziongoze milele, kama watu hawajali tofauti zao kama huku Tanzania, hilo sio tatizo, lakini kwa nchi iliyogawanyika kama Kenya, ni lazima kuwa mfumo wa makusudi wa kuhakikisha kila kabila lina uhakika kuna siku watatawala nchi, hata kama ni baada ya miaka mia mbili ijayo, watakuwa wanajiona nao ni raia sawa na kabila lingine lolote nchini, ila kwa sasa, mtaita ana uhakika hata baada ya miaka elfu moja hawezi kuwa rais wa Kenya, njia pekee ni kujitenga ambako huko kunaweza kuwahakikishia nafasi ya kupata kuwa rais.
Kwa kifupi Kenya ni lazima ichague kati ya haya mawili
1)Iweke sheria ya kupokezana nafasi ya urais na makamo rais kufuata makabila, hii itaifanya Kenya iendelee kuwa nchi moja
2)Nchi igawanywe kama inavyopendekezwa na baadhi ya wakenya
I agree with you!!...shida kwangu hata sio makabila mawili kuwa viongozi for so long ...shida ni they continually benefit their own disregarding the rest of the country....enda areas kama western utaona watu ndio wamejizatiti na kujenga ma hospitali, hakuna mabenki ni ma sacco, hata milk processors ni personal ...na ile project moja watakuja wafanye ya serikali wataakikisha wamechanganya wenueji kwa kununua viongozi wao kabisa.....wamefanya nchi ikae kana kwamba kila post ya serikali ni favour kwa hilo jamii ambalo limechangia muhusika ....wanaenda kuria wanasema eti "tupe kura tutaketa jeshi lije kuchagua vijana wenu hapa" wanaenda mombasa wanaambia walipa kodi kwa county eti msilipe county kodi wamewapa ruhusa ili tu wachanganye watu ndani and that is not fair ....wanajenga daraja hafifu alafu wanakuja wanasema "ona viongozi wenu wamekuwa hapa hawajawai ona wajenge hili daraja. Sasa tumewajengea mtupe Kura" ....sio kazi ya mbunge kujenga daraja ni kazi ya serikali kuu...mbunge ni kuwasilisha maslahi ya wakaazi wake bungeni!!!...
Sasa wanapea county zao pesa tu wananyima county za upinzani pesa ya ku run daily activities ...alafu wataenda waanze kutumia hiyo power yao to their advantage
Raila kuwa mbunge wa kibra hana uwezo wa kujenga kibra ni kazi ya serikali kuijenga.....lakini watakaa serikalini wavunje ile mpango wa Raila wa Slun upgrades process alafu waanze kusambaza lord of poverty propaganda kwa eneo zake ilikuchanganya watu!!!.......
Mm sina shida hata wakieka mkikuyu for the rest of the years in will be alive just ensure he developes kenya equally enda central kenya uone viwanda kila kona
Milk
Epz
Processors
Real estate
Roads
Evrything .....rudi turkana ama uluhyani
Kuna viwanda mbili za maana
Webuye Pan paper
Na mumia sugar zote ziko in wrangles .
.
.
.rudi central uhesabu number of universities
Chuka
Mku
Kemu
Riara
Methodist
St paul
Kenyatta
Jkuat
Hata UoN iko 30mins from Kikuyu
Rudi western ambapo kuna 17mn people
Maseno
Musst
Rongo
Kisii university
Kabianga all of this ziko atleast
100km away from each other
Wewe mrundi nyamazaOna unavyo lialia
!
Wewe kijana utulize papara unajua Tatizo una papara kama mjenzi wa Minara.