Pep Guardiola alikosea sana kwenda Manchester City

Pep Guardiola alikosea sana kwenda Manchester City

IMG_1500.jpg

Rekodi hiyo hapo ya mwaka 2022 mwezi wa sita yaani manchester united inaanza, chelsea halafu ndio manchester city inafuatia kwa wingi wa mashabiki uwe na tabia ya kujisomea sana
 
Ungekuwa umewahi kufika England ungejidharau sana na kufuta kauli zako kwa aibu. City ni club kubwa sana pale Manchester na ina mashabiki lukuki pengine zaidi ya United katika jiji lile. Huo mtazamo wako ni katika mazingira yenu huko Kingugi.
Hapana mkuu city kuizidi united fan base unaota
 
Kocha mkubwa km Pep kwenda kufundisha timu ndogo ya manchester city ilikuwa matumizi mabaya ya akili

Hii manchester city haiwezi kukua wala kuwa mioni mwa watu kwasababu wanabeba makombe ya kununua harakaharaka

Wameshinda treble lkn ni kama hakuna kilichotokea badala yake Arsenal iliyoshika nafasi ya pili ndio inazungumzwa zaidi

Liverpool iliyoshindwa kufuzu Uefa ndio inazungumzwa zaidi

Ni wazi hii ni plastic club with plastic fans

. wachezaji wa manchester city wote wanataka kuondoka manchester city

KDB bado ndoto yake ni kuvaa uzi wa liverpool

Bernado silva haitaki kabisa manchester city

Rodri anapambana arudi barcelona akiondoka Pep

Haland amesaini mkataba akitaka kusepa muda wowote wasimzuie

Cancelo aliwakimbia

Kapten gundo kashinda treble ila kawakimbia

Foden ndoto yake ni kucheza manchester united hata baba yake alimkataza kusaini City

Unaona hapa they won treble lkn no one is talking about them
Manchester city anakuwa anavutia game inapowa live tu mechi ikiisha ni wanakuwa km ndondo

Manchester city imevuka hatua katika ukuaji wa timu this means watarudi walipotoka regardless wameshinda nini

Poor Pep unashindwa hata kwenda aston vila au leeds ukachagua plastic club
We dogo ni msenge sana sijui hata kama umeelewa ulichokiandika. Mimi mwenyewe ni shabiki wa utd lakini alichokifanya pep city na alipo ifikisha city ni mbali sana. Wapo madogo wengi sana mtaani mashabiki wa city. Alafu pia duniani huko city anaongeza mashabiki kila siku.
 
View attachment 2682773
Rekodi hiyo hapo ya mwaka 2022 mwezi wa sita yaani manchester united inaanza, chelsea halafu ndio manchester city inafuatia kwa wingi wa mashabiki uwe na tabia ya kujisomea sana

Hiyo ulioweka sio idadi ya mashabiki wote.

Bali ni mashabiki walioingia uwanjani kutazama mechi siku hiyo.

Hata yanga ama simba kuna mechi mashabiki wanajaa kwa mkapa na kuna mechi mashabiki wanakuwa wachache uwanjani kwa mkapa


Mashabiki wa timu kuwa wachache uwanjani haimaamishi hiyo timu ina mashabiki wachache hata mitaani
 
Hiyo ulioweka sio idadi ya mashabiki wote.

Bali ni mashabiki walioingia uwanjani kutazama mechi siku hiyo.

Hata yanga ama simba kuna mechi mashabiki wanajaa kwa mkapa na kuna mechi mashabiki wanakuwa wachache uwanjani kwa mkapa


Mashabiki wa timu kuwa wachache uwanjani haimaamishi hiyo timu ina mashabiki wachache hata mitaani
Mkuu inawezekanaje mashabiki Mil40 wakaingia uwanjani kwa wakati mmoja kutazama mechi siku hiyo wakati capacity ya uwanja wa Etihad hauwezi kubeba mashabiki wasiozidi 54k+?
 
Ungekuwa umewahi kufika England ungejidharau sana na kufuta kauli zako kwa aibu. City ni club kubwa sana pale Manchester na ina mashabiki lukuki pengine zaidi ya United katika jiji lile. Huo mtazamo wako ni katika mazingira yenu huko Kingugi.
Man u na Liverpool , Aseno nenda Asia, America Africa Wana mamilion ya mashabiki wewe unazungumzia jiji la Manchester. Jaribu kumuelewa kwa upana wa hoja yake. Japo kumlaumu Joseph Qudiola hlina mashiko Sana.

Sababu mpira Ni makombe na mpira wa sasa Ni pesa. Hivyo biashara.
 
Kocha mkubwa km Pep kwenda kufundisha timu ndogo ya manchester city ilikuwa matumizi mabaya ya akili

Hii manchester city haiwezi kukua wala kuwa miongoni mwa giants kwasababu wanabeba makombe ya kununua harakaharaka

Wameshinda treble lkn ni kama hakuna kilichotokea badala yake Arsenal iliyoshika nafasi ya pili ndio inazungumzwa zaidi

Liverpool iliyoshindwa kufuzu Uefa ndio inazungumzwa zaidi

Ni wazi hii ni plastic club with plastic fans

. wachezaji wa manchester city wote wanataka kuondoka manchester city

KDB bado ndoto yake ni kuvaa uzi wa liverpool

Bernado silva haitaki kabisa manchester city

Rodri anapambana aende barcelona akiondoka Pep

Haland amesaini mkataba akitaka kusepa muda wowote wasimzuie

Cancelo aliwakimbia

Kapten gundo kashinda treble ila kawakimbia

Foden ndoto yake ni kucheza manchester united hata baba yake alimkataza kusaini City

Unaona hapa they won treble lkn no one is talking about them
Manchester city anakuwa anavutia game inapowa live tu mechi ikiisha ni wanakuwa km ndondo

Manchester city imevuka hatua katika ukuaji wa timu this means watarudi walipotoka regardless wameshinda nini

Poor Pep unashindwa hata kwenda aston vila au leeds ukachagua plastic club
Hata hapa bongo mashabiki wake Ni vichalii vidogo vilivyoikuta timu mwarabu kashainunua.
 
Kocha mkubwa km Pep kwenda kufundisha timu ndogo ya manchester city ilikuwa matumizi mabaya ya akili

Hii manchester city haiwezi kukua wala kuwa miongoni mwa giants kwasababu wanabeba makombe ya kununua harakaharaka

Wameshinda treble lkn ni kama hakuna kilichotokea badala yake Arsenal iliyoshika nafasi ya pili ndio inazungumzwa zaidi

Liverpool iliyoshindwa kufuzu Uefa ndio inazungumzwa zaidi

Ni wazi hii ni plastic club with plastic fans

. wachezaji wa manchester city wote wanataka kuondoka manchester city

KDB bado ndoto yake ni kuvaa uzi wa liverpool

Bernado silva haitaki kabisa manchester city

Rodri anapambana aende barcelona akiondoka Pep

Haland amesaini mkataba akitaka kusepa muda wowote wasimzuie

Cancelo aliwakimbia

Kapten gundo kashinda treble ila kawakimbia

Foden ndoto yake ni kucheza manchester united hata baba yake alimkataza kusaini City

Unaona hapa they won treble lkn no one is talking about them
Manchester city anakuwa anavutia game inapowa live tu mechi ikiisha ni wanakuwa km ndondo

Manchester city imevuka hatua katika ukuaji wa timu this means watarudi walipotoka regardless wameshinda nini

Poor Pep unashindwa hata kwenda aston vila au leeds ukachagua plastic club
Bora uendelee kushangalia usajili wa bongo... ya huko ulaya achana nayo utaibika bure
 
Back
Top Bottom