Pep Guardiola amekamilisha talaka kwa kupoteza Jumba na Nusu ya utajiri wake, mtalaka adai Pep alikuwa bize na mpira

Pep Guardiola amekamilisha talaka kwa kupoteza Jumba na Nusu ya utajiri wake, mtalaka adai Pep alikuwa bize na mpira

Kwenye hili, hakuna mwanaume anayeweza kuchomoka, labda wale masikini tu..!!!
Sababu ni hizi;

1. Mwanamke anamtaka mwanaume mwenye hela, hence lazima uwe na time ya kutafuta hela, hivyo utakuwa na muda mchache wa kuwa naye.

2. Mwanamke anamtaka mwanaume mwenye muda mwingi wa kuwa naye. Hivyo, itambidi mwanaume apunguze muda wa kutafuta hela ili akae na mwanamke wake. Lakini katika kufanya hivyo, anaweza akakosa hela

3. Bahati mbaya, ukikosa chochote kati ya muda na hela, mwanamke anaweza akakukimbia.
Nadhani tumuombee sana huyu Mwamba anapitia magumu sana
 
Ila ulaya ni janga baya kwa kutalakiana

Sasa apatie pesa kwa football halafu akomeshweeee

Bora hata ingekuwa kwamba kachepuka sanaaa


Wanawake wengine ni wa nyama haswaaaa
 
Pray for Pep View attachment 3204754

Soma pia
Could this be the reason for underperformance of his team?
 
Unaoa, unajenga familia yako, unaihudumia.

ILA......

Mali zako weka kwa jina lako binafsi zibainishe mke wala watoto hawahusiki ama weka kwa jina la kampuni ikibainisha mke wala watoto hawahusiki hadi ukufe na hii iwe siri kuwa watarithi utapokufa ili wasikuue mapema.

Binadamu tumekuwa wabinafsi ila uhalisia we all need each other haswa kwenye ile sekta pevu. Puchu haifungi goli maridhawa itafunga goli mradi goli.

Hakuna aliyemkamilifu.
Kama mkeo ni mama wa nyumbani mlipe mshahara mwambie aweke akiba awe na mali zake na hizo ni zako siku mkiachana kila mtu abaki na mali zake. Akiwa mla bata na mvaa mawigi ndo ataondoka nayo.

Kama anafanya kazi au biashara, mwambie nae achume mali zake nawe zako, siku mnatengana kila mtu anabaki na zake.

Mwisho wa mzizi wa fitina.
Kwa nini niteseke kataa ndoa ni habari ya Mjini
 
Unaoa, unajenga familia yako, unaihudumia.

ILA......

Mali zako weka kwa jina lako binafsi zibainishe mke wala watoto hawahusiki ama weka kwa jina la kampuni ikibainisha mke wala watoto hawahusiki hadi ukufe na hii iwe siri kuwa watarithi utapokufa ili wasikuue mapema.

Binadamu tumekuwa wabinafsi ila uhalisia we all need each other haswa kwenye ile sekta pevu. Puchu haifungi goli maridhawa itafunga goli mradi goli.

Hakuna aliyemkamilifu.
Kama mkeo ni mama wa nyumbani mlipe mshahara mwambie aweke akiba awe na mali zake na hizo ni zako siku mkiachana kila mtu abaki na mali zake. Akiwa mla bata na mvaa mawigi ndo ataondoka nayo.

Kama anafanya kazi au biashara, mwambie nae achume mali zake nawe zako, siku mnatengana kila mtu anabaki na zake.

Mwisho wa mzizi wa fitina.
Umeandika usichokijua. Jiongoze bibie
 
Nimewaza kama wewe
Wanaume tunaenda kupotezwa
Tunapigwa kijamii na kisheria!

Ipo siku wanawake wataona hatari ya kutupoteza na wataanza wenyewe kutupigania na movement zitaanza!

Watashika uongozi,Mali na kila kitu lakini havitokuwa na ladha bila uwepo wa Mwanamme kama kiongozi katika jamii!!

Kwa umri wa pep Hilo ni pigo la kisaikolojia ambalo linampeleka kaburini pole pole labda apate faraja Toka Kwa changudoa aside na future yeyote Ile just awe nae kumfariji na kufurahia kile anachokula kunywa!!

Matajiri wa man city wafanye jambo walau wampatie jumba la kifahari jingine na Mali nyingine kama zawadi ya kuinua klabu ya mancity Kwa kipindi chale alichotumikia!!
 
Unaoa, unajenga familia yako, unaihudumia.

ILA......

Mali zako weka kwa jina lako binafsi zibainishe mke wala watoto hawahusiki ama weka kwa jina la kampuni ikibainisha mke wala watoto hawahusiki hadi ukufe na hii iwe siri kuwa watarithi utapokufa ili wasikuue mapema.

Binadamu tumekuwa wabinafsi ila uhalisia we all need each other haswa kwenye ile sekta pevu. Puchu haifungi goli maridhawa itafunga goli mradi goli.

Hakuna aliyemkamilifu.
Kama mkeo ni mama wa nyumbani mlipe mshahara mwambie aweke akiba awe na mali zake na hizo ni zako siku mkiachana kila mtu abaki na mali zake. Akiwa mla bata na mvaa mawigi ndo ataondoka nayo.

Kama anafanya kazi au biashara, mwambie nae achume mali zake nawe zako, siku mnatengana kila mtu anabaki na zake.

Mwisho wa mzizi wa fitina.
Hakuna kitu kama hiko na sidhani kama kipo mke ukishamuoa anakuwa sehemu ya mali zako. Coz nae nahesabika ana mchango hata kama hana kazi yeyote.
 
Pray for Pep View attachment 3204754

Soma pia
Shida sio kupoteza mali Ila familia yake ndio kisa cha kulia,sasa hivi kuishi tu Kama unaakili na si kuoa,kuna mitikisiko mikubwa mno ktk familia hali ni mbaya mno
 
Wote tulishangaa. Kwa mara ya kwanza katika maisha yake kama kocha alicheza michezo 11 bila ushindi. Nini kilimpata Pep Guurdiola. A Football genious!

Kumbe kuna vita kubwa nyumbani alikuwa anaipigana. Nyumbani kunapokuwa na ufa hakuna ambacho kitaenda sawa.

Just imagine kuishi na mtu kwa miaka thelathini, kula pamoja, kulala pamoja na mambo mengine mengi kisha inatokea ulazima wa kuachana. Haiwezi kuwa rahisi!

Ni bahati mbaya tu huwa tunaona hitimisho la mapambano ya nyumbani ila sio mwanzo wake.

Mbali na mbinu na uhodari wake, Pep alibaki kuwa binadamu mwenye kuhitaji upendo na faraja.

Pengine alivikosa nyumbani, akapoteza ufanisi kazini, hatukuona kingine zaidi ya vipigo na kuyumba kwa team yake!

Baada ya miaka 30 ya ndoa, Pep Gurdiola kaachana na mke wake.
Hatari sana hii
 
Mali zako weka kwa jina lako binafsi zibainishe mke wala watoto hawahusiki ama weka kwa jina la kampuni ikibainisha mke wala watoto hawahusiki hadi ukufe na hii iwe siri kuwa watarithi utapokufa ili wasikuue mapema.
Kuna jambo kuwa la kujifunza hapa na hasa sisi weusi
 
Nilikwisha sema na nitaendelea kusema, wanawake japo ni mama,dada,shangazi na ni watoto wetu lakini ni chanzo za matatizo mengi hapa duniani. Wana ushetani ndani yao..ndio maana nimeanza kuwaelewa waPakstani kwa sera zao kuhusu wanawake.
Hata mimi nimewaelewa ndio maana wanaume tunakufa mapema
 
Nilikwisha sema na nitaendelea kusema, wanawake japo ni mama,dada,shangazi na ni watoto wetu lakini ni chanzo za matatizo mengi hapa duniani. Wana ushetani ndani yao..ndio maana nimeanza kuwaelewa waPakstani kwa sera zao kuhusu wanawake.
Mie niliwambia wanawake ni kwenda nao taliban style...sombeka huko jimoni yaishe. Hamna kumpa mwanamke elimu wacha kazi yake ibakie kugegedwa na kupika
 
Back
Top Bottom