Pep Guardiola kaigeuza ligi kuu ya uingereza kuwa farmer's league?

Pep Guardiola kaigeuza ligi kuu ya uingereza kuwa farmer's league?

Saizi Manchester city inatakiwa iwe inacheza mechi chache za ligi ili hawa kina man utd,arsenal na livapuli waweze kuchukua kombe
 
sasa ukisema hivyo kipara ngoto si anasajili wachezaji wa nguvu kama ilivyo real tu. aondoke hapo city aende arsenal akawape mataji.
Klopp bado atabaki ni nambari 1. ana average players lakini wanapambana sio poa. city pesa kama ile angekua nayo klopp ingekua habari mingine.
Klopp aende PSG, pesa ipo!
 
sasa ukisema hivyo kipara ngoto si anasajili wachezaji wa nguvu kama ilivyo real tu. aondoke hapo city aende arsenal akawape mataji.
Klopp bado atabaki ni nambari 1. ana average players lakini wanapambana sio poa. city pesa kama ile angekua nayo klopp ingekua habari mingine.
Acha ulevi majogoo wana average player ? Nunez,salah,sobo,maca,trent,diaz,alison
 
Ancelloti anajua lakini akija EPL anakalishwa na Mikel Arteta mwanafunzi wa Pep.

Ancelotti anabebwa zaidi na ukubwa wa real madrid, timu kubwa zaidi duniani.

tukisema na PEP nae anabebwa na hela ya city tunakosea? Ukubwa gani uliokuwa nayo Real Madrid unaombeba Carlo? unafahamu Carlo aliikuta Real ikiwa kwene hali gani? huo ukubwa mbona haukufanya kazi kipindi timu ikiwa inafundishwa na Solari?
 
wadau wa EPl wanaaibika sana, walikuwa wakipiga kelele kuita ligi za wenzao famers kisa tu ku top team ina dominate pale, sasa hivi ngoma imewageukia wao, unawakuta bado wanatapatapa kujenga hoja
 
Mara Ngapi tuwaambie maana ya FARMERS LEAGUE??Mancity Hata achukue kombe back to back Mara kumi,haifanyi Epl kua Farmers League,

EPL ushindani upo na tunaona daily,Mancity Bora Sana,msimu wa pili mfululizo league inaamuliwa Siku Ya mwisho,

Liverpool ya Kloop Ilipata Points 99 na Bado haikushinda League,uliona wapi??

Mwaka huu Liverpool kashinda mechi ya 27 but kwenye title race Hayupo,uliona wapi??

Level ya ushindani ya EPL Huwezi kuikuta Bundesliga, League 1,La Liga Wala popote,

Huku EPL Kila mechi Ngumu, Nottingham Forest Vs Burney Sio sawa na Girona Vs Sevilla

EPL kila mechi ngumu sio, muna vituko sana kwa kweli
 
huo ugumu wa hizo mechi za EPL uko wapi? au ndani ya akili yako? City kamaliza na 90+ points, Arseanal 89 points hizo mechi zilikuwa ngumu vipi?
Kiwango cha ushindani ndio ugumu wenyewe.
La liga,Bundesiliga kote huko mshindi wa ligi alishajulikana mapema mechi tano na zaidi kabla ya mchezo wa mwisho,kitu ambacho kimekuwa tofauti sana kwa epl. Epl mpaka game za mwisho ndo mnamuona mshindi.
 
Binafsi naamini PEP talent ID yake iko juu sana,ni exceptional,halafu anaenda timu yenye misuli ya ushindani sokoni plus ana uwezo mkubwa wa kusimamia nidhamu kwa wachezaji,huwezi kuleta UFAZA kwa PEP ukatoboa.
 
Kiwango cha ushindani ndio ugumu wenyewe.
La liga,Bundesiliga kote huko mshindi wa ligi alishajulikana mapema mechi tano na zaidi kabla ya mchezo wa mwisho,kitu ambacho kimekuwa tofauti sana kwa epl. Epl mpaka game za mwisho ndo mnamuona mshindi.
Usipate Shida kumuelewesha,hajui level ya ushindani ya EPL,aangalie Sajili za EPL na ligi zake, Nottingham forest imepanda daraja but imemsajili Taiwo awonii Kutoka Union Berlin,mchezaji ambae Hata BayerLeverkusen hawawezi kumnunua,

Aangalie tofauti ya uwekezaji wa vikosi EPL na Ligi Zingine, tofauti,tImu EPL zina Pesa sana ndio maana ligi Ngumu,Kila tImu Ina player wa maana,angalia mbio za ufungaji Bora,now watu Watano walikua wanauma kugombea Golden Boot,enzi za Auba walifungana watu Kama watatu au wanne kama sikosei,Auba,Son,Kane,Salah
 
Mara Ngapi tuwaambie maana ya FARMERS LEAGUE??Mancity Hata achukue kombe back to back Mara kumi,haifanyi Epl kua Farmers League,

EPL ushindani upo na tunaona daily,Mancity Bora Sana,msimu wa pili mfululizo league inaamuliwa Siku Ya mwisho,

Liverpool ya Kloop Ilipata Points 99 na Bado haikushinda League,uliona wapi??

Mwaka huu Liverpool kashinda mechi ya 27 but kwenye title race Hayupo,uliona wapi??

Level ya ushindani ya EPL Huwezi kuikuta Bundesliga, League 1,La Liga Wala popote,

Huku EPL Kila mechi Ngumu, Nottingham Forest Vs Burney Sio sawa na Girona Vs Sevilla
Epl achana nayo kabisa hii ligi, pamoja na ukubwa wa City bado Arsenal ilikua na matumaini makubwa ya kutwaa ubingwa.

Leo hii Man u hana anachopambanii chochote zaidi ya Epl msimu ujao, Chelsea nae chupuchupu awe kama mwenzie.

City utawala wake nae soon unatamatika, uzuri wa EPL ni kuimba kupokezana. Utakua bora ila huchukui kombe kindezi.
 
Arsenal tayari inaongozwa na mwanafunzi wake Mikel Arteta, kaifufua Arsenal imekuwa tishio, ni suala la muda tu Mikel Arteta atakuwa bora kuzidi hata mwalimu wake, Arsenal itabeba makombe back to back
Kikubwa wote wahispania
 
Back
Top Bottom