Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akafundishe EvertonIsingekuwa Guardiola, Klopp angeshinda mataji mengi sana toka aje Liverpool, at least three times Pep is something else wakuu.
Klopp aende PSG, pesa ipo!sasa ukisema hivyo kipara ngoto si anasajili wachezaji wa nguvu kama ilivyo real tu. aondoke hapo city aende arsenal akawape mataji.
Klopp bado atabaki ni nambari 1. ana average players lakini wanapambana sio poa. city pesa kama ile angekua nayo klopp ingekua habari mingine.
Hawezi kwenda kama Everton hawajamhitaji, inatakiwa Everton waoneshe nia ya kumhitaji Pep.Akafundishe Everton
Alitakiwa kwenda arsenal kabla ya Bayern,akakataa,mwenyewe aliuliza bila wachezaji Hawa wa city unaweza shinda ubingwa kweli!?Hawezi kwenda kama Everton hawajamhitaji, inatakiwa Everton waoneshe nia ya kumhitaji Pep.
Bayern walikuwa hawamhitaji!?Alitakiwa kwenda arsenal kabla ya Bayern,akakataa,mwenyewe aliuliza bila wachezaji Hawa wa city unaweza shinda ubingwa kweli!?
Si ndiyo akakimbilia kwenye helaBayern walikuwa hawamhitaji!?
Acha ulevi majogoo wana average player ? Nunez,salah,sobo,maca,trent,diaz,alisonsasa ukisema hivyo kipara ngoto si anasajili wachezaji wa nguvu kama ilivyo real tu. aondoke hapo city aende arsenal akawape mataji.
Klopp bado atabaki ni nambari 1. ana average players lakini wanapambana sio poa. city pesa kama ile angekua nayo klopp ingekua habari mingine.
Ancelloti anajua lakini akija EPL anakalishwa na Mikel Arteta mwanafunzi wa Pep.
Ancelotti anabebwa zaidi na ukubwa wa real madrid, timu kubwa zaidi duniani.
Mara Ngapi tuwaambie maana ya FARMERS LEAGUE??Mancity Hata achukue kombe back to back Mara kumi,haifanyi Epl kua Farmers League,
EPL ushindani upo na tunaona daily,Mancity Bora Sana,msimu wa pili mfululizo league inaamuliwa Siku Ya mwisho,
Liverpool ya Kloop Ilipata Points 99 na Bado haikushinda League,uliona wapi??
Mwaka huu Liverpool kashinda mechi ya 27 but kwenye title race Hayupo,uliona wapi??
Level ya ushindani ya EPL Huwezi kuikuta Bundesliga, League 1,La Liga Wala popote,
Huku EPL Kila mechi Ngumu, Nottingham Forest Vs Burney Sio sawa na Girona Vs Sevilla
Vituko gani mkuuEPL kila mechi ngumu sio, muna vituko sana kwa kweli
Vituko gani mkuu
Boss kama hujaelewa point yangu pole,huo ugumu wa hizo mechi za EPL uko wapi? au ndani ya akili yako? City kamaliza na 90+ points, Arseanal 89 points hizo mechi zilikuwa ngumu vipi?
Kiwango cha ushindani ndio ugumu wenyewe.huo ugumu wa hizo mechi za EPL uko wapi? au ndani ya akili yako? City kamaliza na 90+ points, Arseanal 89 points hizo mechi zilikuwa ngumu vipi?
Usipate Shida kumuelewesha,hajui level ya ushindani ya EPL,aangalie Sajili za EPL na ligi zake, Nottingham forest imepanda daraja but imemsajili Taiwo awonii Kutoka Union Berlin,mchezaji ambae Hata BayerLeverkusen hawawezi kumnunua,Kiwango cha ushindani ndio ugumu wenyewe.
La liga,Bundesiliga kote huko mshindi wa ligi alishajulikana mapema mechi tano na zaidi kabla ya mchezo wa mwisho,kitu ambacho kimekuwa tofauti sana kwa epl. Epl mpaka game za mwisho ndo mnamuona mshindi.
Epl achana nayo kabisa hii ligi, pamoja na ukubwa wa City bado Arsenal ilikua na matumaini makubwa ya kutwaa ubingwa.Mara Ngapi tuwaambie maana ya FARMERS LEAGUE??Mancity Hata achukue kombe back to back Mara kumi,haifanyi Epl kua Farmers League,
EPL ushindani upo na tunaona daily,Mancity Bora Sana,msimu wa pili mfululizo league inaamuliwa Siku Ya mwisho,
Liverpool ya Kloop Ilipata Points 99 na Bado haikushinda League,uliona wapi??
Mwaka huu Liverpool kashinda mechi ya 27 but kwenye title race Hayupo,uliona wapi??
Level ya ushindani ya EPL Huwezi kuikuta Bundesliga, League 1,La Liga Wala popote,
Huku EPL Kila mechi Ngumu, Nottingham Forest Vs Burney Sio sawa na Girona Vs Sevilla
Kikubwa wote wahispaniaArsenal tayari inaongozwa na mwanafunzi wake Mikel Arteta, kaifufua Arsenal imekuwa tishio, ni suala la muda tu Mikel Arteta atakuwa bora kuzidi hata mwalimu wake, Arsenal itabeba makombe back to back