Pep Guardiola, Mwalimu bora wa miaka yote

Jerry Rebiam

JF-Expert Member
Joined
May 22, 2016
Posts
402
Reaction score
358
Pep alifanya barcelona iwe tamu kuliko hata dem ulomuahid ndoa


Pep alifanya messi aonekane mungu wa mpira


Alitengeneza kiungo hatari zaid duniani yaani Andres...sergio...Hernandez



Hakuwai kua nafas ya tatu akiwa la liga...yey alikua moja au mbili




Akaenda zake mapumziko marekani



Unamsikia kaenda bayern




Aisee Bayern anatangaza ubingwa,na mechi 5 mkononi


Bayern anatandaza soka mpaka unaeza shiba huku una njaa ya siku 3



Haters wanaanza ongea



Pep anaogopa epl



Sio muongeaji sana




anasogea Epl



kwa mara ya kwanza kwenye soka lake anashika nafas ya 3 akiwa na man city




Msimu wa pili anachukua wachezaje anaoamin anawatengeneza ili wafate falsafa yake



Leo hii man city anaweka record kila iitwapo leo



leo hii Kervin De Bruyne kila kukicha anaacha lawama


Sane amekua kama ana mapepo akiwa na mpira




Sterling kawa invicible



David silva kawa incredible



Ana kikos kipana na kizur mno




PEP GUARDIOLA umefanya niipende barcelona mpaka leo hii




come back to BARCA bro nataman kuhama nije city ila najua ukiondoka city ntakua na maumivu kama uloniachia barca na kutaman kuhama tena.....ntakua kama mwanamke malaya





WEWE NI KOCHA BORA TOKA DUNIA IANZISHWE NA SIDHAN KA ATATOKEA MWINGINE
 
Jina lake tu ni Mlinzi-ola...Guard-iola na kazi yake ni kulinda masilahi yake popote atakapokwenda ilimradi tu akiwezeshwa.
Nachomkubali huyu jamaa anauwezo wa kubadilisha mchezaji wa kawaida kuwa bora sana...nasema hivyo kwa kuwa hana tabia ya kusajiri wachezaji wenye majina makubwa.
 
Kwanza Guardiola hakumfanya Messi awe Bora bali ni the other way around, Messi alimfanya Guardiola aonekane Bora.

Pep aliwakuta xavi na iniesta wakiwa kwenye peak zao, kwa kikosi kile hata Bashite angeweza shinda mataji na Barca

Pep was a failure at Bayern, Bayern kushinda bundesliga ni kama kupaka mkate siagi, kazi rahisi sana under Kocha yeyote yule, lile ni kombe Lao miaka nenda rudi hata kabla ya Pep. Bayern walihitaji UEFA kitu ambacho Pep alishindwa

Mancity atasumbua sana msimu huu na kubeba EPL ila UEFA asahau. Hatoshida UEFA tena na timu nyingine yeyote ile. Mtoto halali na hela kule

Pale pale city msimu ujao watakua wamepata dawa yake ndo EPL ilivyo, next season anatoka kapa. Utamkataa
 
sababu kubwa ya pep kuondoka bayern ni kutaka kuleta mpira wa pasi pale kitu ambacho wajerumani hawakitaki hao bayern toka pep ameondoka wamechukua UEFA? ...Mbona kocha hawamtimui?
 
Umemsahau mentor wake Johan Cruyff.
Na mwenyewe alisema anaenda Man City kufundisha mpira kama ambavyo Cruyff alivyoufundisha.

Soma alivyo mzungumzia mentor wake

“Before he came we didn’t have a cathedral of football, this beautiful church, at Barcelona,” Guardiola says. “We needed something new. And now it is something that has lasted. It was built by one man, by Johan Cruyff, stone by stone.

“That’s why he was special.”
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Haya maneno nimeyaelewa mkuu
 
sababu kubwa ya pep kuondoka bayern ni kutaka kuleta mpira wa pasi pale kitu ambacho wajerumani hawakitaki hao bayern toka pep ameondoka wamechukua UEFA? ...Mbona kocha hawamtimui?
Wamemtimua Carlo Ancelotti baada ya kugongwa vibaya na PSG first leg. Lile ndo kombe wanahitaji, Unadhani angepoteza bundesliga vile wangevunja kandarasi? Hapana. Sababu wanajua bundesliga ni yao tu

Pep hakutimuliwa ila pia hamna Cha ajabu alichofanya Bayern that's the point. Mleta uzi na mashabiki maandazi wengi wanataka kusema Pep alifanya ya ajabu Bayern, Hapana alifanya kile kile cha siku zote.
 
We mshabiki mandazi hata ukipinga huwezi shusha ubora wa pep acha mihemuko
 
mtu makini yeyote akieleza tatizo huwa anatoa na solution ya tatizo... umeeleza mengi kupinga pep sio kocha bora.. ila hujatutajia kocha bora duniani ni nani.. Zidane au??

binafsi xavi na iniesta nimemjua baada ya pep kuwapanga sana.. enzi za rijkaard hawakuvuma kabisa..

na lingine je messi kafundishwa mpira na nani?? unajua before barcelona ya wakubwa.. pep alikuwa anafanya kazi gani?



 
Maneno yako hayo subiri mudaa uongeee ndio utajua pep ni coach
 
Kuna wapingaji watapinga,ila jamaa ni fundi tuache masihara
 
Una uhakika na hiki unachokiongea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…