Pep Guardiola, Mwalimu bora wa miaka yote

Pep Guardiola, Mwalimu bora wa miaka yote

mtu makini yeyote akieleza tatizo huwa anatoa na solution ya tatizo... umeeleza mengi kupinga pep sio kocha bora.. ila hujatutajia kocha bora duniani ni nani.. Zidane au??

binafsi xavi na iniesta nimemjua baada ya pep kuwapanga sana.. enzi za rijkaard hawakuvuma kabisa..

na lingine je messi kafundishwa mpira na nani?? unajua before barcelona ya wakubwa.. pep alikuwa anafanya kazi gani?
Hili ndo tatizo wengi hawajui soka in details wanabisha huku hawana info zake kutosha.

Pep kaanza kufundisha Barca B 2007, Messi made his debut October 2004. Kwa vyovyote vile Pep hajamfanya Messi kuwa Bora bali alimkuta Messi pamoja na Xavi na Iniesta kwenye peak zao. Hawa walimfanya Pep kuonekana bora ila sio otherwise

Hapo hapo nikuulize, unataka kusema Luis Enrique ni kocha mzuri sana? Nani kamfanya mwenzie aonekane bora Enrique au Barca maana Enrique nae kashinda kila kitu alipoifundisha Barca, ila Enrique alifeli miserably akiwa Kocha Italy

Pep ni kocha mzuri na ana ushawishi wa kipekee kwa players ila Sasa sifa zisizidi.

Binafsi bado namuweka Mou rank ya juu kwa ubora kuliko Pep. Mou amethibitisha Hilo katika timu tofauti tofauti na kwa kutumia wachezaji amabo sometimes ni tofauti na falsafa zake
 
Wamemtimua Carlo Ancelotti baada ya kugongwa vibaya na PSG first leg. Lile ndo kombe wanahitaji, Unadhani angepoteza bundesliga vile wangevunja kandarasi? Hapana. Sababu wanajua bundesliga ni yao tu

Pep hakutimuliwa ila pia hamna Cha ajabu alichofanya Bayern that's the point. Mleta uzi na mashabiki maandazi wengi wanataka kusema Pep alifanya ya ajabu Bayern, Hapana alifanya kile kile cha siku zote.
Ni kweli bundes hajafany maajabu. Ukumbuke yule mzee aliestafu alikuw ametoka kuchukuw makombe ma 3. Pep hakuweza. Hata hapa man city tusubiri msimu ujao akifanya vizuri tena. Nitamkubali. Nakumbuka man city ya Mancini iliwahi kuitwa MAN SITA.
 
Ni kweli bundes hajafany maajabu. Ukumbuke yule mzee aliestafu alikuw ametoka kuchukuw makombe ma 3. Pep hakuweza. Hata hapa man city tusubiri msimu ujao akifanya vizuri tena. Nitamkubali. Nakumbuka man city ya Mancini iliwahi kuitwa MAN SITA.
Ni Kocha mzuri anajua kuwaendeleza players individually I think he's the best at that ila Sasa watu wanampa sifa zinazozidi kitu ambacho sio kweli.
 
Kwanza Guardiola hakumfanya Messi awe Bora bali ni the other way around, Messi alimfanya Guardiola aonekane Bora.

Pep aliwakuta xavi na iniesta wakiwa kwenye peak zao, kwa kikosi kile hata Bashite angeweza shinda mataji na Barca

Pep was a failure at Bayern, Bayern kushinda bundesliga ni kama kupaka mkate siagi, kazi rahisi sana under Kocha yeyote yule, lile ni kombe Lao miaka nenda rudi hata kabla ya Pep. Bayern walihitaji UEFA kitu ambacho Pep alishindwa

Mancity atasumbua sana msimu huu na kubeba EPL ila UEFA asahau. Hatoshida UEFA tena na timu nyingine yeyote ile. Mtoto halali na hela kule

Pale pale city msimu ujao watakua wamepata dawa yake ndo EPL ilivyo, next season anatoka kapa. Utamkataa
Sibishan na wewe boss ila lazima ujue



messi huyu wa sasa so messi yule wa Guardiola


messi wa Guardiola hakuwah fika mechi 8 bila ku score



messi yule aliwema record ya goals zaid ya 90 kwa msimu mmoja




messi yule alizifunga team zote za La Liga magoli mawili kila mechi tena mfululizo



messi yule aliscore goal 50 kwa la liga tu




messi huyu wa leo kila siku analetewa stress na Ronaldo





Kuhusu bayern




lazima ujue bayern hawakumpenda Pep nae alilijua hilo



hawakuipenda falsafa yake



Walionesha chuki za waz ambazo hakuweza vumilia





Huyu wa man city subir mda utaongea




Man City anashinda na at the sama time ana posses




katika mechi moja sikumbuk dhid ya nan Pep alifanya city igonge pas zaid ya 900 hakuna team EPL ishawai fanya hivo




its about time



TUSUBIRI
 
Kwanza Guardiola hakumfanya Messi awe Bora bali ni the other way around, Messi alimfanya Guardiola aonekane Bora.

Pep aliwakuta xavi na iniesta wakiwa kwenye peak zao, kwa kikosi kile hata Bashite angeweza shinda mataji na Barca

Pep was a failure at Bayern, Bayern kushinda bundesliga ni kama kupaka mkate siagi, kazi rahisi sana under Kocha yeyote yule, lile ni kombe Lao miaka nenda rudi hata kabla ya Pep. Bayern walihitaji UEFA kitu ambacho Pep alishindwa

Mancity atasumbua sana msimu huu na kubeba EPL ila UEFA asahau. Hatoshida UEFA tena na timu nyingine yeyote ile. Mtoto halali na hela kule

Pale pale city msimu ujao watakua wamepata dawa yake ndo EPL ilivyo, next season anatoka kapa. Utamkataa
Huu upuuzi wako huwa mnauongea sana mashabiki wa man united
 
Pep alifanya barcelona iwe tamu kuliko hata dem ulomuahid ndoa


Pep alifanya messi aonekane mungu wa mpira


Alitengeneza kiungo hatari zaid duniani yaani Andres...sergio...Hernandez



Hakuwai kua nafas ya tatu akiwa la liga...yey alikua moja au mbili




Akaenda zake mapumziko marekani



Unamsikia kaenda bayern




Aisee Bayern anatangaza ubingwa,na mechi 5 mkononi


Bayern anatandaza soka mpaka unaeza shiba huku una njaa ya siku 3



Haters wanaanza ongea



Pep anaogopa epl



Sio muongeaji sana




anasogea Epl



kwa mara ya kwanza kwenye soka lake anashika nafas ya 3 akiwa na man city




Msimu wa pili anachukua wachezaje anaoamin anawatengeneza ili wafate falsafa yake



Leo hii man city anaweka record kila iitwapo leo



leo hii Kervin De Bruyne kila kukicha anaacha lawama


Sane amekua kama ana mapepo akiwa na mpira




Sterling kawa invicible



David silva kawa incredible



Ana kikos kipana na kizur mno




PEP GUARDIOLA umefanya niipende barcelona mpaka leo hii




come back to BARCA bro nataman kuhama nije city ila najua ukiondoka city ntakua na maumivu kama uloniachia barca na kutaman kuhama tena.....ntakua kama mwanamke malaya





WEWE NI KOCHA BORA TOKA DUNIA IANZISHWE NA SIDHAN KA ATATOKEA MWINGINE

Aliofanya Guardiola yamefanywa na Ancelloti, Mourinho na Zidane.
 
Hili ndo tatizo wengi hawajui soka in details wanabisha huku hawana info zake kutosha.

Pep kaanza kufundisha Barca B 2007, Messi made his debut October 2004. Kwa vyovyote vile Pep hajamfanya Messi kuwa Bora bali alimkuta Messi pamoja na Xavi na Iniesta kwenye peak zao. Hawa walimfanya Pep kuonekana bora ila sio otherwise

Hapo hapo nikuulize, unataka kusema Luis Enrique ni kocha mzuri sana? Nani kamfanya mwenzie aonekane bora Enrique au Barca maana Enrique nae kashinda kila kitu alipoifundisha Barca, ila Enrique alifeli miserably akiwa Kocha Italy

Pep ni kocha mzuri na ana ushawishi wa kipekee kwa players ila Sasa sifa zisizidi.

Binafsi bado namuweka Mou rank ya juu kwa ubora kuliko Pep. Mou amethibitisha Hilo katika timu tofauti tofauti na kwa kutumia wachezaji amabo sometimes ni tofauti na falsafa zake
Mourinho hana tofauti na Lwandamina
 
Kitu pekee alichompita morinho ni upara wake na si kingine,individual trophies morinho 25 vs 21pepe
Angalia kwa mda mfupi nan ana mafanikio zaid


pep kaanza barca kaja bayern now city



Mourinho kafundisha team kibao tena kubwa kwenye ligi zao




KWA haraka


Chelsea porto madrid man u inter n kaabza kitambo
 
Sibishan na wewe boss ila lazima ujue



messi huyu wa sasa so messi yule wa Guardiola


messi wa Guardiola hakuwah fika mechi 8 bila ku score



messi yule aliwema record ya goals zaid ya 90 kwa msimu mmoja




messi yule alizifunga team zote za La Liga magoli mawili kila mechi tena mfululizo



messi yule aliscore goal 50 kwa la liga tu




messi huyu wa leo kila siku analetewa stress na Ronaldo





Kuhusu bayern




lazima ujue bayern hawakumpenda Pep nae alilijua hilo



hawakuipenda falsafa yake



Walionesha chuki za waz ambazo hakuweza vumilia





Huyu wa man city subir mda utaongea




Man City anashinda na at the sama time ana posses




katika mechi moja sikumbuk dhid ya nan Pep alifanya city igonge pas zaid ya 900 hakuna team EPL ishawai fanya hivo




its about time



TUSUBIRI
Nakubaliana na wewe ila hiyo yote haikuwa sababu ya Pep solely. Ni kweli Pep ana ushawishi wa kipekee kwa players ila pia aliwakuta wachezaji wengine wote wakiwa kwenye peaks zao, ndo maana hata Spain national team 2010 hadi 2012 ilikua Moto sio sababu ya Pep ila pia na players walikua at their prime

Kuhusu magoli ya Messi ni more of positions, Messi Sasa is more of a playmaker kuliko strikers. Zamani alikua na uwezo wa kukaa up top sababu alikua na viungo wazuri wakumlisha ila Sasa yeye ndo anashuka kuwalisha wengine.

Ni sawa na kusema mbona CR7 anafunga zaidi RM kuliko wakati akiwa Manu, ni swala la position na role tu.

Pep pamoja na ufundi wake na sifa zoote mnazompa hatoweza shinda Kama Barca na hawezi shinda Tena UEFA sababu Barca ilimfanya Pep aonekane Bora na sio otherwise.
 
Nakubaliana na wewe ila hiyo yote haikuwa sababu ya Pep solely. Ni kweli Pep ana ushawishi wa kipekee kwa players ila pia aliwakuta wachezaji wengine wote wakiwa kwenye peaks zao, ndo maana hata Spain national team 2010 hadi 2012 ilikua Moto sio sababu ya Pep ila pia na players walikua at their prime

Kuhusu magoli ya Messi ni more of positions, Messi Sasa is more of a playmaker kuliko strikers. Zamani alikua na uwezo wa kukaa up top sababu alikua na viungo wazuri wakumlisha ila Sasa yeye ndo anashuka kuwalisha wengine.

Ni sawa na kusema mbona CR7 anafunga zaidi RM kuliko wakati akiwa Manu, ni swala la position na role tu.

Pep pamoja na ufundi wake na sifa zoote mnazompa hatoweza shinda Kama Barca na hawezi shinda Tena UEFA sababu Barca ilimfanya Pep aonekane Bora na sio otherwise.
RONALDO alipohojiwa kwann yupo tofaut na alivokua man



alisema at that time alipenda kuonesha uwezo wa kuchezea mpira as zidade,ronaldinho n delima do


ila anadai kua hiyo generation ilipita anahitaj ku score zaid thats y now ana score zaid
 
Back
Top Bottom