Pep Guardiola, Mwalimu bora wa miaka yote

Mkuu acha chuki na Pep.Pep kaondoa Man city zaidi ya wachezaji 10 waliokuwa wanaanza then kaleta wachezaji anaowahitaji yeye then unasema Pep si chochote?.

Pep kaikuta Man city ikiwa yakawaida na sio useme bora,Pep kaikuta Man city inacheza mpira ambao haueleweki,leo hii kaleta aina ya mpira wake ambao mlisema EPL hauwezi kufua dafu lkn anawakimbiza.

Pep kakuza majina ya wachezaji wa Man city,hakuna hata mchezaji mmoja wa Man city alienunuliwa zaidi ya yuro 60Million but leo nenda kawaguse wakina KDB,Fernadinho,Gabrie,Hudogan,Sterling huyu alietaka kuuzwa na kuongezewa na pesa ili amchukue Sanchez.

Unasema Klop kocha bora,kocha bora ambae ameperform Bundasiliga lkn EPL mwka wa tatu huu akiendelea kujenga timu a ha ha ha.

Tatizo sio useme R city,Chelsea walikuwa kwenye form,walikuwa kwenye form huku ndio Chelsea akichukua ubingwa kwa tofauti ya point saba.R city sikumbuki vzr,Na uhakika M city itachukua ubingwa kwa zaidi ya point 20 na atatangaza ubingwa itakapofiia mwezi wa pili.

Kuhusu Man city kuchukua Uefa hilo anaweza akachukua au asichukue maana Uefa nje ya kuwa na kikosi bora lkn bahati pia hutawala.Kwahiyo mie binafsi naweza kukuambia Man utd anaweza chukua uefa ingawa ana kikosi kibovu sana ukilinganasha na Chelsea,Tot,Liver,Man city ila kwa sababu ya bahati anaweza.

Mwisho Man city atawachukua ubingwa mara tatu mfulululizo kama Pep ataendelea kukaa hapo.

Pep Man city hakuna mchezaji hata mmoja aliemchukua kwa Euro 65Million lkn tumeona kwenye vikosi vyenu.

Pep mnachuki nae lkn kaja kuwaonyesha ligi ya EPL niligi ambayo haina ushindani maana tofauti ya point 15 hakuna ligi nyingine mpaka sasa imetokea tofauti ya point hizo nje ya ligi yenu bora ya EPL.

Mwisho Mou atafukuzwa tena Man u,sio kwa sababu hajui bali kwa sababu kuna kocha kamzid uwezo kaja kumpiga.

Cha kufurahisha Pep ana miaka 9 tu katika ukocha wake lkn nizaid ya vibabu vilivyokaa miaka 20 kwenye okocha.

Narudia UEFA haina mwenyewe ndio mana Mou anaelekea kufikisha miaka 10 bila uefa,lkn Zizou anazo 2.

Kama unamtoa City uefa basi pia kumbuka hakuna timu ya EPL yenye uwezo wa kuchukua Uefa.

Msiempenda Pep kaja kwenye ligi yenu yunahitaji mumpe tena mtihani mwingine,maana ule wa mpira wa Tiktaka kufua dafu EPL tumeshapata majibu yake.Toeni tena mtihani mwingine kiongozi.
 

Miaka miwili ni utawala????? Du magufuli kawaweza kwelikweli kitendo cha kufungia ajira mnapoga soga tu za uongo.
 
Miaka miwili ni utawala????? Du magufuli kawaweza kwelikweli kitendo cha kufungia ajira mnapoga soga tu za uongo.
Utawala unaanzia na kuishia miaka mingapi?
Umekariri mkuu?
 
Duh! Itakuwa huna akili timamu klop ni bora kuliko pep?

Kwa mantinki izo za kitoto ina maana klop ni bora kuliko mourinho na zizzou?
 
Kwa mantiki iyo hata zizzou ni boya tu kwa klop?
 
Mkuu sijui watu Wanaangalia Ligi moja Tuu ya EPL baaasi Kwengine hawafuatiliii,
Kocha Kama Vicente del bosque kocha Bora muda wrote Madrid 2000-2005 alikuwa hakanyagi MTU pale,AC Milan 2000-2006 Carlo Anceloti ya kina Clarence seedof,Man united ya 1999 Sir Alex furgie....Kina Ole gunar solsijier,Teddy Sheringham,And Cole,
No Vema watu waweke vigezo yaani Standards au KPI ili kika Mmoja Tujue Tunajadili nini...
Kama ni
1.Makombe ligi,Uefa,Dunia
2.Kutoa Wachezaji bora kwenye ligi,Ulaya.
3.kuweka Historia Ya Kutofungwa,kufunga magoli mengi,
4.Tuweke vigezo ambavyo kila MTU Atavielewa na Vinaonekana Vinaweza Kuhesabika
 
Kaa ujue hakuna kocha ambae hajengi team coz kila kocha ana hitaj lake


Barca ya pep inasemekana ndo team bora ya mda wote


ni kwel iniesta xavi messi na hata busquet wapo njema ila pep aliwafanya waonekane world class players kama ambavyo inayokea kwa KDB sterling na silva this time




Bayern ya pep ndo team pekee iliyoshinda game 19 consecutive kuliko team yoyote kwe ligi 5 bora duniani n amebakiza game 2 kwa city kuvunja record yake kama atashinda hizo game




Barca ya Pep ndo barca pekee iloshinda game 18 consecutive kwenye la liga



Barca ile ndo team pekee duniani yenye vikombe 11 kwa miaka 2




City ya pep imetangaza ubingwa mapema kilichobak ni kuweka na kuvunja record



n amin usiamin city kwa mech alizofika now ni record bora kabisa kwa Epl



na hata akifungwa still ni record



haya shabik kitumbua mshukuru mungu upo kwenye generation ya kocha bora kabisa
 
kwanza hivo vikos hakuna kilicho sawa na barca ya pep hata ukimuuliza mtoto



Fergie ni legendary ila so bora kwa pep


n unavotoa hoja kwa hasira hizi angalia unakua unaropoka tu ni kila mtu akitumia hasira bass wengine tutakua tunatafta ban za bure
 
Average trainer anawakibiza matrainer wakubwa kama Mournho how come Dude?.
Mkuu umeniquote vibaya sijamtaja Mou kama trainer mkubwa...but naimani Pep ni kocha bora lila sio wa muda wote, na hawezi kuwa kocha bora wa mda wote...labda atwae champions league na city
 
Huna mashiko Man...
Kwa taarifa yako "Robotatu ya dunia ni maji kias kinachobaki ni Pep"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…