Pep Guardiola ndio Kocha Bora kwa sasa Duniani

Fifa club world cup alibeba akiwa na klabu zipi na miaka gani?

Una mahaba hadi unaongeza chumvi [emoji16]

Kabeba mara 2 tu akiwa na Barcelona aliyoikuta ilitoka kubeba UEFA CHAMPIONS LEAGUE chini ya Rijkard.

Mahaba yatakuua wewe Mwa-City [emoji4]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 

kitu ambacho unajaribu kukifumbia macho ni kuwa, PEP amespend millions kuwa na timu aliyonayo sasa, anakwenda mwaka msimu wa 7 bado anaitafuta Champion League, Sasa tizama spending ya Carlo toka awe kocha wa Real Madrid na mafanikio aliyoyapata ndio utaona utafauti wao.
 
Kuwa kocha bora haina maana upewe timu yoyote ile
Pep kajitahidi sana kwa bajeti anayopewa kupata wachezaji sahh
Kuna kocha mmoja katumia 100mill kwa kibaka mmoja asiye na msaada kwenye timu 🍻
 
Uyo morinyo akae kimya TU mpira ushamshinda,yeye mbona pia kafundisha club kubwa zenye bajeti kubwa ila kimafanikio hamfikii pep hata nusu
 
Kwa hiyo unataka kuniambia Ancelloti/Mourinho/Fergie wakipewa Southampton kwa bajeti kiduchu kama hii walionayo na wakapewa muda wanaweza beba kikombe cha EPL?
Mou mtoe kwenye hii orodha, alishadhihirisha mara nyingi hata kwa bajeti ya kawaida anaweza kupata vikombe.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Ancelloti alipokuwa Everton alikuwa anapigwa na Guardiola nje ndani, sema jamaa aliweza fanya Everton kuwa katimu ka ushindani ila mfumo wa Carlo ule ni WA darasani, ila wa Pep sio wa darasani, ile ni alien level .
Naunga mkono hoja[emoji4]
 
ivi swali nililo uliza na ulicho andika mbona ni IPP
Nimekutafunia jibu kuwa pesa za Chelsea FC zimezingatia FFP ndiyomaana husikii akihusishwa na malalamiko wala mashtaka yoyote maana asilimia kubwa ya Wachezaji waliosajiliwa wamepewa mikataba mirefu sana.

Sasa hilo Kipara lenu mara ngapi lililalamikiwa na FIFA hadi lilishitakiwa kwa ubadhirifu wa pesa kupita kiasi hadi lilikata rufaa?

Je mwaka huu March halikulalamikiwa na kuwekwa chini ya uchunguzi na FA kwa kutofata na kukidhi vigezo vya sheria za FFP kwa makosa makosa zaidi ya 100?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Huyo ni manager wa Billion Pound Squad, kuchukua kombe na Leicester kama Ranieri, Blackburn kama Dalgish, Valencia kama Benitez, Arbedeen kama Ferguson, Porto kama Mourinho hawezi na hawezi hata kujaribu.
Tangu fergi amestaafu mbona man UTD imetumia mabilioni kibao ila hamna kitu[emoji4]
 
Kuwa kocha bora haina maana upewe timu yoyote ile
Pep kajitahidi sana kwa bajeti anayopewa kupata wachezaji sahh
Kuna kocha mmoja katumia 100mill kwa kibaka mmoja asiye na msaada kwenye timu 🍻
Amekaa misimu saba pale man City ndio anainusa CL, hype kubwa tu mnampa ila kwa budget anayopewa hana uspesho kivile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…