Siyo wivu Man City wamevunja sheria za FFP huku kocha wao Pep akilalamika kuwa hakujua kama City nyuma ya pazia wanafanya mambo kwa kuvunja sheria. Wakikutwa na hatia, rungu zito sana litawapiga: kushushwa daraja au kuvuliwa ubingwa miaka yote waliyovunja sheria za FFP.Watu wana wivu tu wakiwemo FA kama pesa hata Man U Chelsea wote big spenders. Nimeona sehemu watu wanaomba Pep abebe UEFA awaachie ligi yao. Pep mwenyewe kasema bado yupo pale City ataendelea kuwanyoosha kwa kubeba back to back EPL.
Alisajili wachezaji 13Kwani huyo Pep toka alipotoka Barca amewahi kuchukua UCL? Ameenda kwa Bavarians kakaa misimu mingapi bila bila, kaenda Man City huu ni msimu wa ngapi ndio anaunusa ubingwa wa UCL!
Sikatai kuwa ni kocha bora sana, huenda the best, lakini angalieni bajeti anayopewa kila anapoenda.
Wanajichanganya maana kama ni cl don carlo kachukua mfululizo lakn bado wanasema mbona hakuchukua na everton sasa kocha bora ni yupiNilichoona humu watu wamejificha kwenye kichaka cha Champions League. Kama issue ni pesa Chelsea kaspend millions lakini cheki wanavyohangaika. Pep apewe maua yake.
Sasa kwa nini unaniita mjinga tena mkuu?We ni mjinga Ole Sosha alikuwa Top spender zaidi ya Gurdiola na Manchester haikuwahi kubeba lolote chini yake.
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kalaghabao [emoji28]Bench la chelsea njee ni shi ngap?
Bruh bajeti ya man u man city hazipishani sanaMtaje tu ni EtH. Pep kila timu anayoenda kuna unlimited funds. Kuna makocha wengi tu Europe wakipewa budget ya Pep watafanya anachokifanya kwasababu yeye kazi yake kubwa ni kuchukua wachezaji waliopikwa na kuwakusanya.
Kimbinu alishazidiwa hata na Solskjaer. Alikula vichapo 3 mfululizo ktk msimu. Pale Etihad ilikuwa United anachukua points tu.
Acha kumlinganisha Gurdiola na wapuuzi.Sasa kwa nini unaniita mjinga tena mkuu?
Amekuwa man City misimu saba ndio anakaribia kuchukua ucl, angekuwa chelsea kipindi cha Abramovich asingekaa mda wote huo.
Bayern amepndoka bila UCL, angalia na linganisha rekodi yake na Carlo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1783]. Umesahau Messi ,inesta na shavi ,Leo hayupo nao imegeukiwa pesa lakini mbinu hawatamkiHa ha ha....kweli aisee
Maana alipokua Barca,
wakasema ligi gani ile haina ushindani
Kaenda Bayern wakasema ligi ya walevi,hamna jipya
Kaja epl wakasema atapotea,
Sahv wantaftana Nini kimetokea mhuni kawazidi mbinu japo nao wanatumia pesa Kama yeye[emoji1]
Na hata mwaka huu 2023 kabahatika kukutana na timu vimeo zilizojichokea ndiyomaana kawin, sidhani ile Bayern Munich ingekuwa na Thomas Tuchel kwa zaidi ya miezi mitatu nyuma angeifunga kizembe vile.Amekaa misimu saba pale man City ndio anainusa CL, hype kubwa tu mnampa ila kwa budget anayopewa hana uspesho kivile.
Yaleyale ,akiwa Barca ,wachezaji wamelelewa pamoja kwenye akademMtaje tu ni EtH. Pep kila timu anayoenda kuna unlimited funds. Kuna makocha wengi tu Europe wakipewa budget ya Pep watafanya anachokifanya kwasababu yeye kazi yake kubwa ni kuchukua wachezaji waliopikwa na kuwakusanya.
Kimbinu alishazidiwa hata na Solskjaer. Alikula vichapo 3 mfululizo ktk msimu. Pale Etihad ilikuwa United anachukua points tu.
Ila makombe ananyakua kama aliyatengeneza yeye duuuh [emoji849]Binafs morinyo nu conservative Sana,anafundisha mpira wa kizamani (too defensive) na hayuko flexible kubadilika kimbinu
Timu zote anazofundisha morinyo huwa hazishambulii KABISA,huambulia magoli kiduchu sana
Upo sahihi kabisa mkuu, Pep is overrated!Na hata mwaka huu 2023 kabahatika kukutana na timu vimeo zilizojichokea ndiyomaana kawin, sidhani ile Bayern Munich ingekuwa na Thomas Tuchel kwa zaidi ya miezi mitatu nyuma angeifunga kizembe vile.
Ni basi tu Kocha TT kakabidhiwa timu na hakukaa nayo hata zaidi ya siku 11 kakutana na Man City, ni muda mchache sana Kocha mpya kueleweka kwa Wachezaji;
Attitudes.
Techniques.
Tactics.
Formations.
Winning mentalities
Philosophies.
So Pep aliokota embe dodo mchangani (URAHISI).
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kwakuongezea ,wakati anaingia man city ,alisema wazi misimu miwili ya mwanzo anakazi ya kusuka kikosi na sio kubeba ndooAcha kumlinganisha Gurdiola na wapuuzi.
Ndani ya misimu Saba pale EPL kabeba mitano na miwili kaishika nafasi ya 2 na tatu. Hawajawahi kushika nafasi ya 4 hapo EPL huoni kama Hilo ni Jini!!!
Hiyo kuchukua Uefa ameshafanya hivyo Sana na Barca. Kwa umri wake ana kama miaka kingine 20 mbele atavunja record zote unazozijua za makocha wote unaowajua wewe. Ameikuta Manchester city ina vikombe vi5 vya EPL Leo ina vikombe 10 ndani ya misimu 7. Bado vikombe 10 afkie rokodi ya Manchester United mwenye vikombe 20 na bado vikombe 9 afikie vikombe 19 vya Liverpool.
Kama wewe huoni Gurdiola ni habari nyingine basi utakuwa na kichaa!
Kuhusu Budget nakubali lakini bajeti kubwa sio kila kitu. Tottenham anaspend hela nyingi Ila haifanyi lolote. PSG ni among top spender Ulaya Ila hafanyi lolote.
Manchester United ni among top spenders pale Ulaya Ila tangu mwaka astaafu Ferguson timu haina mbele walA nyuma
Al Nasry Ile timu ya Christiano Ronaldo ni among top spenders pale Saud Arabia Ila nenda kaangalie msimamo WA ligi Yao uone wanashika nafasi ya ngapi.
Nasema tena Acha kumlinganisha Gurdiola na wapuuzi
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Huo mpira wa kizamani ndiyo ulevi wetu sisi wengine sasa, usitupangie aina ya mpira wa kushabikia.Binafs morinyo nu conservative Sana,anafundisha mpira wa kizamani (too defensive) na hayuko flexible kubadilika kimbinu
Timu zote anazofundisha morinyo huwa hazishambulii KABISA,huambulia magoli kiduchu sana
Baadhi ya wachezaji wakubwa ambao Pep aliwapiga chini Ronaldinho, DecoYaya Touré, Zlatan Ibrahimović, Eto'o, Fabregas
Akamleta Pedro, David Villa, Mascherano na Busquets, akamfanya Messi acheze kama fake 9
Kama haitoshi akamleta Dani Alves akamrudisha Piqué pae Barça kutokea United
Achilia mbali ubora wa uchezaji ile possession na pressing mpaka kwenye 18 ya adui
Muulize Fergusson hatasau pale Wembley mwaka 2009 fainali ya UEFA lilipigiwa mbungi mpaka mzee akawa anatetemeka hajui afanye nini
Wanajichanganya maana kama ni cl don carlo kachukua mfululizo lakn bado wanasema mbona hakuchukua na everton sasa kocha bora ni yupi
Kweli kabisaa.bila budget huyu jamaa wa kawaida.wachezaji wana mbeba sana.mtu bench tu ni billion squad.Hoja ni kuwa mafanikio ni matokeo ya uwekezaji na mwalimu mzuri. Chelsea kwa sasa wamewekeza vizuri kwa wachezaji wazuri ila bado kumpata mwalimu bora. Kuna makocha waliodhihirisha kuwa hata kwa bajeti ndogo, wanaweza kupata matokeo.Pep bila bajeti kubwa ni wa kawaida sana.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Hahaha...na kikosi chake cha ma billioni.wanaleta hoja kuwa Carlo hakuchukua kikombe Everton ambayo amekaa msimu mmoja na nusu, wakati PEP ana mwaka wa 7 City bado anatafuta Champion league yake ya kwanza 😂 😂 😂
Mkuu hatukatai Man City ya Mancini na Pellegrin ilikua moto kabla ya Ujio wa Pep lakini ilikua haijadominate kiasi cha kushinda back to back tittles.Pep ni kocha mzuri atukatai nakuuliza wewe mtoa mada ni lini man city ilikuwa na shida ya makombe ya ligi? Pep kaja kaikuta man city ya moto yeye alichofanya ni kuendeleza tu pale ilipoishia kwa bajeti anayotumia city Alitakiwa awe na UEFA zaidi ya 2 mpaka sasa..