Pep Guardiola ndio Kocha Bora kwa sasa Duniani

Pep Guardiola ndio Kocha Bora kwa sasa Duniani

Budget ya clubs anazofundisha huwa unaipitia? Ji kweli ni kocha bora sana, ila nae anakuwa na budget kubwa sana. Hata jana Mourinho alisema, una bench lenye 200m, wakati huo upo na quality ya hali ya juu ndani ya uwanja. Huwezi kulinganisha na hawa wanaopewa limited budget.
That dnt make sense ata yeye mourinho wakati yupo porto anaitoa man utd alikwa na budget just 10% ya man utd. But alivyofika chelsea mbona alikuwa na bench hatari sana. Nature ya industry ilibyo ni kwamba ukiwa mzuri utaenda kwenye club zenye uwezo mkubwa kifedha.

But remember one thing, though money can procure the best players in the world, it certainly can not forge the work ethic, tactical nous and passion for the game that pep has demonstrated many a years.
 
Ishu sio Budget sababu zipo timu nyingi zilizotumia fedha nyingi zzaidi ya manchester city lkn bado hazifanyi vizuri, mfano kuna msimu manchester united alitumia pesa nyingi kusajili akina Magure, Sancho nk lkn wako wapi alikazalika chelsea, Nottingham forest
Watu wanadharau sana kazi ya pep. Ni hatari yaani timu zake zinapiga ball mpaka mwili unasisimuka.
 
😄😄 mko wachache mnaoangalia uhalisia ni si ushabiki tu
Ubora wa Pep unajulikana lakini huwezi kusema yeye ndiyo bora zaidi ya wote. Pep anapata uwekezaji ambao makocha wengine hawapati (na hii ndiyo akili anayotumia, hasaini mkataba mpaka ahakikishiwe mzigo upo). Wanachofanya City ni kama PSG kule France. EPL top 6 clubs ukitoa City hazina investment kama ya City. Timu kama Arsenal au Spurs unategemea itafanya nini kum-challenge City. Klopp angepata pesa kama ya City angefanya kama Pep tu.
 
That dnt make sense ata yeye mourinho wakati yupo porto anaitoa man utd alikwa na budget just 10% ya man utd. But alivyofika chelsea mbona alikuwa na bench hatari sana. Nature ya industry ilibyo ni kwamba ukiwa mzuri utaenda kwenye club zenye uwezo mkubwa kifedha.

But remember one thing, though money can procure the best players in the world, it certainly can not forge the work ethic, tactical nous and passion for the game that pep has demonstrated many a years.
Paragraph ya mwisho umemaliza kila kitu. Pep ni kocha bora lakini siyo zaidi ya wote.
 
Kwanini hao wengine hawapewi na kwanini apewe Pep
Hapo sasa ni mambo ya timu na wamiliki wake namna zinavyojiendesha. Mfano United wanatumia pesa za mapato ya timu kwenye usajili wakati City kwenye project ya Pep walifanya investment.
 
Ubora wa Pep unajulikana lakini huwezi kusema yeye ndiyo bora zaidi ya wote. Pep anapata uwekezaji ambao makocha wengine hawapati (na hii ndiyo akili anayotumia, hasaini mkataba mpaka ahakikishiwe mzigo upo). Wanachofanya City ni kama PSG kule France. EPL top 6 clubs ukitoa City hazina investment kama ya City. Timu kama Arsenal au Spurs unategemea itafanya nini kum-challenge City. Klopp angepata pesa kama ya City angefanya kama Pep tu.
Ni kocha pekee anaefundisha kitu kikaonekana
 
Mpe wewe kwenye PS5

Ukweli tuukubari tu city aliyoikuta pep kaondoa wachezaji wangapi?

Yaya, kun,sagna,otamend,demikelis,Nasri,Frenandhinho,frenando, sane,
Hao wote walikuwa wanaanza
Baada ya muda gani? Kun alikuwa moto pale! Kun yupi labda?

Hakuna aliyekuwa mbaya kihiivyo hapo, Nasri anaenda City tayari keshapwaya Arsenal, Barca.

Amekaa miaka mingapi useme kuwa wachezaji walioanza kuzeeke angeendelea nao?

Yaya, bonge la mid, bifu la Pep na ngozi nyeusi likam-cost Yaya! Hujui hilo?

KDB, hakuwa kitu wakati anakuwa, amekomaa, unaona matunda yake, na mwisho atazeeka, ataanzia benchi au kuachwa kabisa.

Wakati Pep anaingia City, taja kikosi alichokikuta, kakitumia muda gani na kilikuwa na hali gani?
 
Alipo kuja Chelsea yenye pesa aliipa iyo UEFA?

KWAIYO DIMATEO KUIPA UEFA CHELSEA NI BORA?
Si aliipatia makombe ya EPL, FA na Caring cup?

Hakuchukua UEFA CHAMPIONS LEAGUE akiwa na Intermilan FC ambayo zaidi ya miaka 35 haikuwahi kubeba hilo kombe?

Nakukumbusha Mourinho ndiye sababu ya Kipara kuondoka Barcelona baada ya kunyang'anywa kombe la La Liga na kutolewa na Real Madrid kwenye kombe la Mfalme kwa wiki 1 pekee.

Head to head Mourinho anaongoza kumtandika Pep kipara kwenye mtoano.

Pep bila pesa ni Harry Potter aliyechangamka...[emoji38]
 
Guardiola msimu wake wa kwanza City alipewa €216m. Msimu uliofuata akapewa €317m.

Solskjaer msimu wake wa kwanza United alipewa €234m. Msimu uliofuata akapewa €83m.

City wamiliki wake ndani ya misimu 2 ya Pep wali-invest €533m.

Yani budget aliyopewa Pep msimu wake wa 2 (aliobeba ubingwa) ni budget ya misimu 2 aliyopewa Solskjaer.

Msimu wa 3 na wa mwisho kwa Solskjaer kusajili akapewa €142m hata ukijumlisha bado haifikii pesa aliyopewa Pep ktk misimu 2 na ukumbuke Solskjaer alipewa kikosi kibovu zaidi post Ferguson.

Msimu wa 3 Pep alipewa €78m. Ukijumlisha ni €611m. Msimu wa 4 Pep akapewa tena €166m.

Katika misimu 4 Pep katumia €777m. Huo ni wastani wa €194.25 kila msimu, ambayo hiyo pesa inaweza kusajili wachezaji 3 wa €64.75 kwa msimu na ktk 4 seasons ni 12 players. Na baada ya miaka 7 ndiyo tumeona matokeo ya huo uwekezaji, sasa hivi wanaoanza na wanaokaa bench Man City wana uwezo sawa/unaokaribiana.

Kwenye misimu 7 Pep katumia zaidi ya €1.2B

Sasa niambie ni top manager gani Europe akiwekewa huo mzigo kwa misimu 7 mfululizo hawezi kufanya anachokifanya Pep?
Mahaba niue wa Mume wao Kipara hawatakujibu hili jiwe ulilowapiga nalo [emoji28]
 
Kabla yake Tot ilifika fainali UCL yeye Mou kaifanyia ninI Tot?
Si bora hata akina Mourinho walikuwa wanafundisha klabu zilizokuwa kwenye top four, sasa hilo tulatula lenu linaogopa nini kutofundisha klabu ambayo haijabeba ubingwa wa ligi kuu kama si kuangushia tu kwenye mserereko wa URAHISI? [emoji2]
 
Kwa hio Porto ni timu ndogo?
We Pimbi fatilia uwepo wa Porto FC miaka ya 2002 ikiwa inacheza fainali za UEFA CHAMPIONS LEAGUE na Man Utd ilikuwa ina Wachezaji gani kiubora na hata malipo ya mishahara yao kisha urudi kunishukuru kukupatia maarifa usiyoyajua ila unakaza tu fuvu lako sababu ya mahaba niue kwa Kiparangoto wako huyo [emoji1787]
 
Swali unafikiri Mourinho ukimpa Hulk City anaweza shinda EPL au Espanyol anaweza shinda La Liga?. Huyo Mou kaenda Tot kafurushwa. Anaweza shinda EPL na Crystal Palace?
Kwani alipokuwa 2002 na Porto FC ilikuwa na ukubwa gani hadi kabeba nayo UEFA CHAMPIONS LEAGUE mbele ya timu kubwa Man Utd? Tuanzie hapo kwanza.
 
Baada ya muda gani? Kun alikuwa moto pale! Kun yupi labda?

Hakuna aliyekuwa mbaya kihiivyo hapo, Nasri anaenda City tayari keshapwaya Arsenal, Barca.

Amekaa miaka mingapi useme kuwa wachezaji walioanza kuzeeke angeendelea nao?

Yaya, bonge la mid, bifu la Pep na ngozi nyeusi likam-cost Yaya! Hujui hilo?

KDB, hakuwa kitu wakati anakuwa, amekomaa, unaona matunda yake, na mwisho atazeeka, ataanzia benchi au kuachwa kabisa.

Wakati Pep anaingia City, taja kikosi alichokikuta, kakitumia muda gani na kilikuwa na hali gani?
Nasri alicheza Barca?
 
Si aliipatia makombe ya EPL, FA na Caring cup?

Hakuchukua UEFA CHAMPIONS LEAGUE akiwa na Intermilan FC ambayo zaidi ya miaka 35 haikuwahi kubeba hilo kombe?

Nakukumbusha Mourinho ndiye sababu ya Kipara kuondoka Barcelona baada ya kunyang'anywa kombe la La Liga na kutolewa na Real Madrid kwenye kombe la Mfalme kwa wiki 1 pekee.

Head to head Mourinho anaongoza kumtandika Pep kipara kwenye mtoano.

Pep bila pesa ni Harry Potter aliyechangamka...[emoji38]
Huna point mdada
 
Si bora hata akina Mourinho walikuwa wanafundisha klabu zilizokuwa kwenye top four, sasa hilo tulatula lenu linaogopa nini kutofundisha klabu ambayo haijabeba ubingwa wa ligi kuu kama si kuangushia tu kwenye mserereko wa URAHISI? [emoji2]
City ilikuwa na ukubwa upi wa kuinyanyasa Madrid? Wakati wapo kina Mancini na pelegrin?

Pep katengeneza system
 
Back
Top Bottom