Huyu atakuwa hajui mpira kabisaaaaa...wee mtu alitenegeneza timu inapiga mpira mpaka kibabu fergei anatetema [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mambo mengine una shindwa hata kushangaa yaani Pep sio best coach?[emoji1787][emoji1787]Kachukua E.P.L Back to Back unamuita kocha mmbovu !!!
Hebu taja makocha waliowahi kuchukua E.P.L Back to Back tangia ilipobadilishwa mfumo wake miaka ya 90..... Mi naanza na mou na Ferguson
Sent using Jamii Forums mobile app
Sahihi kabisa kabla ya ujio wa boss RomanLeizerAbromovich na mou chelsea ilikuwa kama burnley tu.
Kwani hujui ?
Chelsea wana pl 6 mou pekeake ana 3 wakat anakuja mlikua na pl 1Chelsea ilikua ndani ya top 4 hata kabla ya ujio wa Mourinho, Burnley lini iliwahi fika top 6? achilia 4
Abromovic alileta mapinduzi wa kifedha mourinhol kaketa mapinduzi ya footballnaona unachanganya sasa, kwani Mou na Abramovic ni kitu kimoja?
Abramovic ndie lieletae mageuzi Chelsea na sio Mourinho
Wa mawaidaa tuu hana loloteMambo mengine una shindwa hata kushangaa yaani Pep sio best coach?[emoji1787][emoji1787]
Abromovic alileta mapinduzi wa kifedha mourinhol kaketa mapinduzi ya football
Pesa haichezi mpila kaka
Wa mawaidaa tuu hana lolote
Chelsea wana pl 6 mou pekeake ana 3 wakat anakuja mlikua na pl 1
Kwani uongo?? Ilikuwa Kama Bunley ndymzee vipi umeshakula bangi au?
Chelsea ilikua kama burley kabla ya ujio wa Mourinho?
Kabla ya Mourinho Chelsea aka Mlipuko hawakuwahi kubeba EPL, MOURINHO kawapa tatu,Anchelot kawapa moja,so Chelsea ni katimu kadogo mnooChelsea wana pl 6 mou pekeake ana 3 wakat anakuja mlikua na pl 1
Dah.. umenikumbusha mbali sana.Huyu atakuwa hajui mpira kabisaaaaa...wee mtu alitenegeneza timu inapiga mpira mpaka kibabu fergei anatetema [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kusema ukweli Pep akipigikaga huwa naenjoy sana kwenye nafsi yangu.
Sijui ndio chuki zangu tu binafsi dhidi yake.😀
Acha ni save nguvu zangu sometimes unaweza haribu rasilimali mda kubishana nonsensesWa mawaidaa tuu hana lolote
mwanaspotiapp Uzi wako umeharibu kwa kusema before ya Mourinho Chelsea ilikuwa Kama burnley.Kingine kinachonisikitisha ulivyosema Guardiola akifundisha Chelsea itashuka daraja kwani Chelsea ina timu mbaya? au ukumbuki vizuri Liverpool ilipaki kibus kipindi Cha pili dhidi ya hii Chelsea.kiufupi umeandika uzi wako kimihemko na ushabiki wa kipuuzi usiojua soka.#siopovu
Ninacho kiona sasa ni kwamba kipara makulega bwana Guadiola ni over hyped coach ni kocha ambae watu wana mchukulia kama 50 cent ila ki uhalisia ni 20 pasenti.
Kwa team aliyo nayo Guadiola pamoja hata na injury angekua kocha mwenye huu ubora anao imbwa alikua sio mtu wa kupoteza game nje ndani kwa zaidi ya timu 3 msimu mmoja anapigwa ye anapigwa tu! Home anapigwa away.
Makocha ote wanao jitambua wamempiga nje ndani na mechi ya liverpool anaenda kubondwa tena,
Huyo kocha kweli? ana beki ghali zaidi uwanjani ,anakiungo bora EPL team ina kila kitu ile!
Hata ile baki ya kina benjamin mendy sio mbovu kama watu wanavyo itafsiri ni ubovu tu wa mbinu za kocha .
Guadiola ni kanjanja tu mmoja sema mjanja mjanja ana bustiwa na nguvu ya pesa za timu anazofundisha.
Ukimuangali clopp kafundisha timu ndogo kabisa(Mainz) mpaka Dortimund wanamchukua alitikisa sana Bundes liga tena na timu yenye bajeti ya bilinganya kwenye usaji
Same kwa dortimund ila alisumbua na UEFA mpaka fainali.
Hata liverpool anabeba UEFA na sasa PL wachezaji wake ni wakawaida ila kocha amefanya kazi yake ipasavyo na inaonekana.
Leo umpe guadiola wolvermpton,chelsea,Arseanal au spurs anazishusha daraja kabisa
Ni kocha wa kawaida sana
Mourinyo kachukua UEFA na Fc Porto hakuna alie kua anatarajia kaja kuitambulisha chelsea ambayo ilikua kama burnley tu!
Guadiola ni kocha wakiwango cha kawaida sana hajafika hata kwa Ostadh Nuno Espenito wa wolvermpton.
#epl
#champion
Wewe nahisi utakuwa mshabiki wa Man u au Arsenal sio kwa povu hiloKabla ya Mourinho Chelsea aka Mlipuko hawakuwahi kubeba EPL, MOURINHO kawapa tatu,Anchelot kawapa moja,so Chelsea ni katimu kadogo mnoo
Burnley inashiriki UEFA? Tuanzie halo kwanzaTupe stats za chelsea kabla ya mourinho ajaja
Tuone kama ilikuwa kama burnley
Kushiriki UEFA sio kipimo mkuu kumbuka Leiceister kashaenda tena akiwa bingwa Nothengham forest alibeba kabisa huko UEFA mpaka vitimu vibovu vibovu vinaendaga vikiamka na bahati... kipimo cha ubora wa timu ni dominance ,fan base, history mataji na brand EPL timu kubwa ni Liverpool ,Manchester United,Arsenal respectively.Burnley inashiriki UEFA? Tuanzie halo kwanza
Potelea mbali ila hoja yangu ya msingi natumaini umeipata Guadiola ni kocha wa kawaida sanamwanaspotiapp Uzi wako umeharibu kwa kusema before ya Mourinho Chelsea ilikuwa Kama burnley.Kingine kinachonisikitisha ulivyosema Guardiola akifundisha Chelsea itashuka daraja kwani Chelsea ina timu mbaya? au ukumbuki vizuri Liverpool ilipaki kibus kipindi Cha pili dhidi ya hii Chelsea.kiufupi umeandika uzi wako kimihemko na ushabiki wa kipuuzi usiojua soka.
Tungemchukia hata ferguson ambae alisema wazi kua hapendi kufanya kazi na waafricaWatu wengi wanamchukia pep kisa samuel etoo ...eti pep mbaguzi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kocha ana haki ya kuchagua wachezaji anaotaka kufanya nao kazi period.