Pep Guardiola ni kocha wa kawaida sana

Pep Guardiola ni kocha wa kawaida sana

Nuno Espirito Santo ndie kocha bora kuliko wote EPL.
Achana na Pep mpenda pesa. Kwa resources alizonazo hata wewe hapo ukiicoach City utapata mafanikio. Aende akaiiinue Newcastle with minimum budget ndio utamjua kama ni coach bora ama mpenda utajiri.
Unajua kuwa wolves wametumia kiasi kikuwa cha fedha mpaka kufika hapo walipo?
 
Unajua kuwa wolves wametumia kiasi kikuwa cha fedha mpaka kufika hapo walipo?
Kiasi gani tuambie sisi hatukujui ila tunachojua wolves ni timu yanye bajet ndogo sana ya usajiri
 
Kiasi gani tuambie sisi hatukujui ila tunachojua wolves ni timu yanye bajet ndogo sana ya usajiri
Ilinunuliwa na billionea wakichina wakiwa na lengo la kupanda ligi kuu ikamsign nuno santo kutoka porto... wakamsajili diogo jota kutoka atletico madrid ruben neves ambaye liverpool ilikuwa inamtaka, benik afobe ambaye akawa top score wa championship
Baada yakupanda wakasajili wachezaji wengine wakubwa
 
Ilinunuliwa na billionea wakichina wakiwa na lengo la kupanda ligi kuu ikamsign nuno santo kutoka porto... wakamsajili diogo jota kutoka atletico madrid ruben neves ambaye liverpool ilikuwa inamtaka, benik afobe ambaye akawa top score wa championship
Baada yakupanda wakasajili wachezaji wengine wakubwa

Na wako kwenye nafasi nzuri ya kuingia Top 4 wacheze UEFA msimu ujao.

Wakiikosa UEFA, Europa iko almost secured.
 
Ah kweli nimejua wee huijui hii profession kabisa.....huyo nuno nae akiendelea na kzi yake nzuri ataenda kwenye timu yenye hela...je nae wakatio huo utasema kuwa nae ni mtu wa hela.

Hiyo ni nature ya industry...mzuri will always ascend and u always make ur mark na timu zenye low budget. Mourinho made is name na porto with sijui 20 percent ya budget ya man utd ndio mpaka anawatoa pale old trafford.

Ukiangalia na kufuatilia kazi ya pep mdio utaona kuwa huyu jamaa anajua na ontop of that ameongeza a new way to view tactics...hiyo tatctical insight and acumen ndio inamfanya kuwa kocha mzuri.

Yes it goes without saying kuwa u need quality players kuleta tactical revolution but u have to admire how he brings his ideas into life kwa kupitia hao wachezaji.

U cant implement novel tactical ideas with utopolo players ...hilo haliwezekani ata siku moja. U need quality players to come up na great teams.

Mwisho kabisa...usidharau profession za watu kwa kusema kuwa eti ata mie ningepewa barca ningefundisha....trust me managing players ambao wanalipwa more than u the boss sio kitu kirahisi...kuna skills ambazo lazima uwe nazo, motovating them and gettingbthem to buy into ur ideas ni kitu kigumu sana.
Hupo Pepsi ni mtegemea utajiri wa club. Akafanye maajabu ya akina Nuno Espirito with limited budget ndio utajua ni kocha ama mpenda utajiri.
Hata pale Barcelona, aliikuta timu imeshasukwa na Frank Rijkaard. Yeye akapata credit za kudandia basi. Baada ya matunda ya Rijkaard kuanza kufutika akakimbilia Bayern then ManCity
 
Ah kweli nimejua wee huijui hii profession kabisa.....huyo nuno nae akiendelea na kzi yake nzuri ataenda kwenye timu yenye hela...je nae wakatio huo utasema kuwa nae ni mtu wa hela.

Hiyo ni nature ya industry...mzuri will always ascend and u always make ur mark na timu zenye low budget. Mourinho made is name na porto with sijui 20 percent ya budget ya man utd ndio mpaka anawatoa pale old trafford.

Ukiangalia na kufuatilia kazi ya pep mdio utaona kuwa huyu jamaa anajua na ontop of that ameongeza a new way to view tactics...hiyo tatctical insight and acumen ndio inamfanya kuwa kocha mzuri.

Yes it goes without saying kuwa u need quality players kuleta tactical revolution but u have to admire how he brings his ideas into life kwa kupitia hao wachezaji.

U cant implement novel tactical ideas with utopolo players ...hilo haliwezekani ata siku moja. U need quality players to come up na great teams.

Mwisho kabisa...usidharau profession za watu kwa kusema kuwa eti ata mie ningepewa barca ningefundisha....trust me managing players ambao wanalipwa more than u the boss sio kitu kirahisi...kuna skills ambazo lazima uwe nazo, motovating them and gettingbthem to buy into ur ideas ni kitu kigumu sana.
Go east
Go west
Pepsi is just a mediocre coach!
A pig is just a pig even when you put a lipstick on its lips
 
Hupo Pepsi ni mtegemea utajiri wa club. Akafanye maajabu ya akina Nuno Espirito with limited budget ndio utajua ni kocha ama mpenda utajiri.
Hata pale Barcelona, aliikuta timu imeshasukwa na Frank Rijkaard. Yeye akapata credit za kudandia basi. Baada ya matunda ya Rijkaard kuanza kufutika akakimbilia Bayern then ManCity

The way rijkaard's team and the way peps team played ni tofauti kabisa albeit the majority of the players played under both managers.
 
Ukishakuwa bora tu, wenye pesa watakutafuta. Hivi ulitegemea kwa kiwango kile cha samatta aende kucheza simba au yanga??
Kwa kiwango cha Pep hata akitoka happ City, basi kuna timu kubwa zitaweka mzigo wa maana mezani kama PSG, Juve, Barca, Man utd, Bayern, Spain national team n.k
Hata huyu huyo nuno usitegemee kwa kiwango alichonacho ataenda timu ya kawaida baada ya hapo
Swalk la kujiuliza kwa nn timu kubwa na zenye pesa zinamuhitaji sana PEP? Kwa nn isiwe kwa makocha wengine?
We unahisi timu kama PSG au Madrid watamuhitaji david moyes??
Nuno Espirito Santo ndie kocha bora kuliko wote EPL.
Achana na Pep mpenda pesa. Kwa resources alizonazo hata wewe hapo ukiicoach City utapata mafanikio. Aende akaiiinue Newcastle with minimum budget ndio utamjua kama ni coach bora ama mpenda utajiri.
 
Kuna kitu nadhani hukifahamu
Pep aliingia barca akakuta kuna utawala wa Ronaldinho, Deco na Etoo, akauvunja akatengeneza wake wa Messi, Xavi na Iniesta bila gharama yoyote.
Pep wakati anafika aliwaondoa/aliwauza jumla ya wachezaji 12 , sasa unasemaje tena alikuta timu imeshasukwa na rijkaard?
Na kama Rijkaard alikuwa na ubora huo imekuwaje kashindwa kusuka timu nyingine baada ya kutoka barca?
Hupo Pepsi ni mtegemea utajiri wa club. Akafanye maajabu ya akina Nuno Espirito with limited budget ndio utajua ni kocha ama mpenda utajiri.
Hata pale Barcelona, aliikuta timu imeshasukwa na Frank Rijkaard. Yeye akapata credit za kudandia basi. Baada ya matunda ya Rijkaard kuanza kufutika akakimbilia Bayern then ManCity
 
Sio kweli, ni wachezaji wachache sana pep aliwabakiza, wengi iwatengeneza yeye pale barca
The way rijkaard's team and the way peps team played ni tofauti kabisa albeit the majority of the players played under both managers.
 
Yani unachukua kombe na barca alafu unajiita bora?

Awaige akina klopp, mourinho waliokuwa na timu ndogo na wakabeba makombe.
kwa hoja hii ya kipumbavu , kina Uchebe, Mkwassa n.k ni makocha bora kabisa maana bajeti zao huwa ndogo kulinganisja na kina Mou
 
#siopovu
Ninacho kiona sasa ni kwamba kipara makulega bwana Guadiola ni over hyped coach ni kocha ambae watu wana mchukulia kama 50 cent ila ki uhalisia ni 20 pasenti.

Kwa team aliyo nayo Guadiola pamoja hata na injury angekua kocha mwenye huu ubora anao imbwa alikua sio mtu wa kupoteza game nje ndani kwa zaidi ya timu 3 msimu mmoja anapigwa ye anapigwa tu! Home anapigwa away.
Makocha ote wanao jitambua wamempiga nje ndani na mechi ya liverpool anaenda kubondwa tena,

Huyo kocha kweli? ana beki ghali zaidi uwanjani ,anakiungo bora EPL team ina kila kitu ile!
Hata ile baki ya kina benjamin mendy sio mbovu kama watu wanavyo itafsiri ni ubovu tu wa mbinu za kocha .

Guadiola ni kanjanja tu mmoja sema mjanja mjanja ana bustiwa na nguvu ya pesa za timu anazofundisha.

Ukimuangali clopp kafundisha timu ndogo kabisa(Mainz) mpaka Dortimund wanamchukua alitikisa sana Bundes liga tena na timu yenye bajeti ya bilinganya kwenye usaji

Same kwa dortimund ila alisumbua na UEFA mpaka fainali.
Hata liverpool anabeba UEFA na sasa PL wachezaji wake ni wakawaida ila kocha amefanya kazi yake ipasavyo na inaonekana.

Leo umpe guadiola wolvermpton,chelsea,Arseanal au spurs anazishusha daraja kabisa

Ni kocha wa kawaida sana

Mourinyo kachukua UEFA na Fc Porto hakuna alie kua anatarajia kaja kuitambulisha chelsea ambayo ilikua kama burley tu!

Guadiola ni kocha wakiwango cha kawaida sana hajafika hata kwa Ostadh Nuno Espenito wa wolvermpton.
#epl
#champion





Vp bado umeshikilia msimamo wako??? Lete report
 
Back
Top Bottom