Pep Guardiola ni kocha wa kawaida sana

Pep Guardiola ni kocha wa kawaida sana

Kuna kitu nadhani hukifahamu
Pep aliingia barca akakuta kuna utawala wa Ronaldinho, Deco na Etoo, akauvunja akatengeneza wake wa Messi, Xavi na Iniesta bila gharama yoyote.
Pep wakati anafika aliwaondoa/aliwauza jumla ya wachezaji 12 , sasa unasemaje tena alikuta timu imeshasukwa na rijkaard?
Na kama Rijkaard alikuwa na ubora huo imekuwaje kashindwa kusuka timu nyingine baada ya kutoka barca?
usidandie ushabiki maandazi. Ifuatilie Barca kwa undani na utaelewa naongea nini
 
Ukishakuwa bora tu, wenye pesa watakutafuta. Hivi ulitegemea kwa kiwango kile cha samatta aende kucheza simba au yanga??
Kwa kiwango cha Pep hata akitoka happ City, basi kuna timu kubwa zitaweka mzigo wa maana mezani kama PSG, Juve, Barca, Man utd, Bayern, Spain national team n.k
Hata huyu huyo nuno usitegemee kwa kiwango alichonacho ataenda timu ya kawaida baada ya hapo
Swalk la kujiuliza kwa nn timu kubwa na zenye pesa zinamuhitaji sana PEP? Kwa nn isiwe kwa makocha wengine?
We unahisi timu kama PSG au Madrid watamuhitaji david moyes??
huo ni mtazamo wako. You are entitled to your own opinion
 
Vp bado umeshikilia msimamo wako??? Lete report
1593981225840.png
 
Ukishakuwa bora tu, wenye pesa watakutafuta. Hivi ulitegemea kwa kiwango kile cha samatta aende kucheza simba au yanga??
Kwa kiwango cha Pep hata akitoka happ City, basi kuna timu kubwa zitaweka mzigo wa maana mezani kama PSG, Juve, Barca, Man utd, Bayern, Spain national team n.k
Hata huyu huyo nuno usitegemee kwa kiwango alichonacho ataenda timu ya kawaida baada ya hapo
Swalk la kujiuliza kwa nn timu kubwa na zenye pesa zinamuhitaji sana PEP? Kwa nn isiwe kwa makocha wengine?
We unahisi timu kama PSG au Madrid watamuhitaji david moyes??
Pepsi ni utajiri wa vilabu ndio unaficha udhaifu wake. Ila ni kocha wa kawaida sana
 
Pepsi ni utajiri wa vilabu ndio unaficha udhaifu wake. Ila ni kocha wa kawaida sana
Wa kawaidaaa mnoooo yani ukitaka kujua we angalia akicheza na nuno yani hana ujanja anawekwaaa tuuh.. Sasa asume timu ya nuno ndio apewe pepsi na ya pepsi apewe nuno alaf wakutane si atapigwa hadi achakae [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bora useme morinho ni kocha wa kawaida
Morinhol ni kocha kuliko pepsi ila kinacho muangusha mou ni majivuno na kiburi chake ...ambacho kiba pelekea kushindwa kuisho vyema na wachezaji ila mou > pepsi

Mtafute mou alie kua na uchubna mafanikio wakati hajayapata mou alie nyenyekea na kuishi vizuri na wachezaji wake bro achaa wale wakina cambiasso waliupiga sanaaaa ... !
 
hehehe Gadiola alisoma post yako akasema ngoja nikuonyeshe
Angenionesha game ya kwanza wakati liverpool bado hawajatangazwa kua mabingwa.. ile mechi ambayo kila mtu bado ana uchu ligi bado mbichi sio saivi liva kashakua bingwa kwanni ajichoshe ..

Angepata hata sare kama Ole tuu na ilimshinda [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kufungwa kwa pep sasa hakuondoi ubora wake. Pep ashathibitisha ubora wake akiwa pale barca, je ile barca ilikuwa ya bajeti kubwa? Mafanikio anayopata klop sasa Pep ashayapata tena zaidi. Je klop akianza kuyumba hapo baadae kama akina Morinyo au wenger walivyoyumba hatatambulika kuwa mmoja wapo wa kocha bora kuwahi kutokea?
Arudi akaifundishe Barcelona na kuisuka upya.
Aliekuwa akimfichia aibu (Messi) keshaanza kuzeeka. Xavi hayupo. Iniesta hayupo.
 
Back
Top Bottom