Kuwa kocha bora haimaanishi kocha atafanya makubwa uefa akiwa na kila timu na kila msimu. Kocha ni kama mchezaji tu, yaani kuna kushuka na kupanda. Ronaldo de lima, thierry henry wanatambulika kama mastriker bora kuwahi kutokea lakini si kila timu waliochezea walifanya makubwa.Baada ya kuondoka barca tuambie lin pep kafany cha maaana UEFA ?
Kocha sio kama mchezaji wewe,,,ndio maana timu inapo puyanga anafkuzwa kocha sio wachezajiKuwa kocha bora haimaanishi kocha atafanya makubwa uefa akiwa na kila timu na kila msimu. Kocha ni kama mchezaji tu, yaani kuna kushuka na kupanda. Ronaldo de lima, thierry henry wanatambulika kama mastriker bora kuwahi kutokea lakini si kila timu waliochezea walifanya makubwa.
Maombe gani ambayo anayo mengi kuliko mourinhol?Kiujumla ndugu kuanzia ligi , uefa na mengine pep anayo mengi zaidi. Kwa hiyo ni kocha bora zaidi ya hao akina klop, mo, zidane, ancelotti n.k.
Nimekuambia kiujumla ndugu yaani jumlisha uefa, ligi, fa, copa de rey n.k .. Ferguson kaacha alama pale man u kwa sababu ya kuchukua makombe.Maombe gani ambayo anayo mengi kuliko mourinhol?
Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Naona hujaelewa. Narudia tena hakuna kocha aliyepata au atapata mafanikio makubwa na kila timu na kila msimu , hayupo. Sasa kama hayupo kwa hiyo dunia haina makocha bora? Msimamo wako wa kutomkubali Pep siwezi kuubadilisha endelea kuamini hivyo ila wanaojua kabumbu wanamkubaliKocha sio kama mchezaji wewe,,,ndio maana timu inapo puyanga anafkuzwa kocha sio wachezaji
Pep guadiola ni kocha wa kawaida sanaaaa
Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
In your own dreamsKiujumla ndugu kuanzia ligi , uefa na mengine pep anayo mengi zaidi. Kwa hiyo ni kocha bora zaidi ya hao akina klop, mo, zidane, ancelotti n.k.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Toka 2013 hajanyanyua UEFA Champions league halafu unataka kutuongopea mchana kweupeeeeeeeeeeeee.Naona hujaelewa. Narudia tena hakuna kocha aliyepata na atapata mafanikio makubwa na kila timu na kila msimu , hayupo. Sasa kama hayupo kwa hiyo dunia haina makocha bora? Msimamo wako wa kutomkubali Pep siwezi kuubadilisha endelea kuamini hivyo ila wanaojua kabumbu wanamkubali
Hawezi kuthubutu kwenda kuisuka Barcelona. Aibu itamkuta na analijua hiloWewe mwenye hoja, mwambie Pep arudi akaisuke upya Barca ndio utajua kama yeye ni kocha ama anajificha kwenye utajiri wa club